Uchaguzi 2020 CCM wako tayari kwa lolote, hawako tayari kukikabidhi nchi kwa Upinzani. Mnalijua hilo?

Uchaguzi 2020 CCM wako tayari kwa lolote, hawako tayari kukikabidhi nchi kwa Upinzani. Mnalijua hilo?

WATZ NI WAOGA SANA!JUZI NAONGEA NA MKUU WA KITUO CHA POLISI KIMOJA HV!!ANASEMA WABONGO WAOGA SANA HUWA TUNAPIGA MABOM KUTISHIA TU KAMA HAMTAOGOPA MKAENDELEA TUNA NYANYUA MIKONO NA KUSEMA HATUWEZI TUSIJE TUKAUA WATU!!SASA NYIE BOMU MOJA TU MSHAKIMBIA!!!
Acha kujifariji mpuuzi wewe, Nyamongo walikimbia yale mabomu ya mapolisi? Safari ndio mtajua hamjui.
 
Wataachia tu Mkuu hawana namna hakuna kitu kitakachoshinda nguvu ya umma.....
Nguvu ya umma ipi kwa mfano?. Hii ya genge la wahuni wa saccos ya Mbowe.?. Ninyi kwanza hamwaminiani mtatawanyika nyote ninyi mkifinywa kidogo tu.
Kama kweli mpo na nguvu ya umma, mbona juzi kwenye adhabu ya tume mliufyata mkia na kutepeta kuanzia mwenyekiti wenu marienge.
 
Nguvu ya umma ipi kwa mfano?. Hii ya genge la wahuni wa saccos ya Mbowe.?. Ninyi kwanza hamwaminiani mtatawanyika nyote ninyi mkifinywa kidogo tu.
Kama kweli mpo na nguvu ya umma, mbona juzi kwenye adhabu ya tume mliufyata mkia na kutepeta kuanzia mwenyekiti wenu marienge.
Mkuu jipangeni kuachia nchi.....
 
siku Lissu anatagazwa mshindi tukiwa tunasheherekea ushindi tutayauwa kwa kuyakata shingo ma CCM si chini ya buku hivi, najua yatakayo baki yatatimua mBio mithili ya farasi adi ukimbizini………………….hili halina ubishi kabisaaa ni swala la muda tuu
 
Kwani hii nchi ni mali ya Ccm??? Hii nchi ni mali ya watanzania na wakiamua lolote lile hakuna yeyote yule atakayeweza kufanya lolote lile??? Yaani wapuuzi wa Ccm mmekaa mnajimilikisha hii nchi kama yenu vile alafu mnasema wazi wazi. Mwaka huu ndo mtajua kuwa hamjui
CCM kinajua kuwa siyo rahisi kushinda kwa sanduku la kura, sasa wapo tayari kwa lolote ilimradi warudi Ikulu upinzani wapende wasipende.

CCM kinajua kina Madudu mengi hasa kwenye miradi hasa kwenye miradi hii mimea ya STIGLERS, SGR na ununuzi wa ndege ambao hata CAG hakueleza ni vipi alishindwa kukagua. Hii miradi Lissu amesema imejaa harufu ya upigaji. Ndiyo maana hawako tayari kuachia dola.

USHAHIDI KWAMBA CCM IMECHOKWA
# Ilipokonya Ushindi Zanzibar 2015
# Kuengua Wagombea wa Upinzani
# Wametamka mara nyingi kua hawako tayari kukabidhi nchi hasa Zanzibar
# Matumizi makubwa ya jeshi la polisi
# Matimizi ya NEC- Tumeona Tume bila kujua wakifanya njama wazi wazi baada ya kumpigia mgombea ubunge wa CHADEMA Karagwe wakidhani ni Mkurugenzi.
# Kushusha bendera za upinzani na kuchana mabango yao.

ANGALIZO KWA CCM
Mkumbuke kwamba taifa hili liliachwa likiwa moja na Mwalimu Nyerere. Aliasisi upinzani ninyi mkiwa hamtaki lakini muelewe kuwa wapinzani wamesema Uchaguzi huu 2020 sasa basi, wamesema wakishindwa hawatamuachia Mungu.

Sasa mkishindwa mwaka huu lazimisheni muone. Kama mna ubavu mnaengua wapinzani Wa nini? Kama mnajua mnakubalika mnashusha bendera na kuchana mabango ya wenzenu ya nini?
 
CCM kinajua kuwa siyo rahisi kushinda kwa sanduku la kura, sasa wapo tayari kwa lolote ilimradi warudi Ikulu upinzani wapende wasipende.

CCM kinajua kina Madudu mengi hasa kwenye miradi hasa kwenye miradi hii mimea ya STIGLERS, SGR na ununuzi wa ndege ambao hata CAG hakueleza ni vipi alishindwa kukagua. Hii miradi Lissu amesema imejaa harufu ya upigaji. Ndiyo maana hawako tayari kuachia dola.

USHAHIDI KWAMBA CCM IMECHOKWA
# Ilipokonya Ushindi Zanzibar 2015
# Kuengua Wagombea wa Upinzani
# Wametamka mara nyingi kua hawako tayari kukabidhi nchi hasa Zanzibar
# Matumizi makubwa ya jeshi la polisi
# Matimizi ya NEC- Tumeona Tume bila kujua wakifanya njama wazi wazi baada ya kumpigia mgombea ubunge wa CHADEMA Karagwe wakidhani ni Mkurugenzi.
# Kushusha bendera za upinzani na kuchana mabango yao.

ANGALIZO KWA CCM
Mkumbuke kwamba taifa hili liliachwa likiwa moja na Mwalimu Nyerere. Aliasisi upinzani ninyi mkiwa hamtaki lakini muelewe kuwa wapinzani wamesema Uchaguzi huu 2020 sasa basi, wamesema wakishindwa hawatamuachia Mungu.

Sasa mkishindwa mwaka huu lazimisheni muone. Kama mna ubavu mnaengua wapinzani Wa nini? Kama mnajua mnakubalika mnashusha bendera na kuchana mabango ya wenzenu ya nini?
Hakuna chama, narudia tena hakuna chama cha kuishinda ccm. Hivyo kukabidhi nchi kwa mabwabwa wenzetu,pamoja na kina Amsterdam watanzania hawako tayari. Njooni na nguvu ya uma, visu, vijiko, misumeno vyote vitatulizwa. Chadema hii ya vibaraka na wakala wa mabeberu ni nyepesi kama unyoya.
 
siku Lissu anatagazwa mshindi tukiwa tunasheherekea ushindi tutayauwa kwa kuyakata shingo ma CCM si chini ya buku hivi, najua yatakayo baki yatatimua mBio mithili ya farasi adi ukimbizini………………….hili halina ubishi kabisaaa ni swala la muda tuu
Huo utakuwa mwisho wa hilo genge la wahuni wa saccos ya Mbowe. Ni suala la muda tu. Amani ya nchi hii, inalindwa kama mboni ya jicho na watanzania wazalendo.
 
CCM kinajua kuwa siyo rahisi kushinda kwa sanduku la kura, sasa wapo tayari kwa lolote ilimradi warudi Ikulu upinzani wapende wasipende.

CCM kinajua kina Madudu mengi hasa kwenye miradi hasa kwenye miradi hii mimea ya STIGLERS, SGR na ununuzi wa ndege ambao hata CAG hakueleza ni vipi alishindwa kukagua. Hii miradi Lissu amesema imejaa harufu ya upigaji. Ndiyo maana hawako tayari kuachia dola.

USHAHIDI KWAMBA CCM IMECHOKWA
# Ilipokonya Ushindi Zanzibar 2015
# Kuengua Wagombea wa Upinzani
# Wametamka mara nyingi kua hawako tayari kukabidhi nchi hasa Zanzibar
# Matumizi makubwa ya jeshi la polisi
# Matimizi ya NEC- Tumeona Tume bila kujua wakifanya njama wazi wazi baada ya kumpigia mgombea ubunge wa CHADEMA Karagwe wakidhani ni Mkurugenzi.
# Kushusha bendera za upinzani na kuchana mabango yao.

ANGALIZO KWA CCM
Mkumbuke kwamba taifa hili liliachwa likiwa moja na Mwalimu Nyerere. Aliasisi upinzani ninyi mkiwa hamtaki lakini muelewe kuwa wapinzani wamesema Uchaguzi huu 2020 sasa basi, wamesema wakishindwa hawatamuachia Mungu.

Sasa mkishindwa mwaka huu lazimisheni muone. Kama mna ubavu mnaengua wapinzani Wa nini? Kama mnajua mnakubalika mnashusha bendera na kuchana mabango ya wenzenu ya nini?
Mwana CCM wenyewe hawaitaki CCM
 
Walipofanya hayo mabavu mmechukua hatua gani ?

Mtaacha kulialia hadi lini?
 
Wameahaona nyie marofa. Mnafanyiwa rough zote mnakimbilia nyuma ya keyboard
 
CCM kinajua kuwa siyo rahisi kushinda kwa sanduku la kura, sasa wapo tayari kwa lolote ilimradi warudi Ikulu upinzani wapende wasipende.

CCM kinajua kina Madudu mengi hasa kwenye miradi hasa kwenye miradi hii mimea ya STIGLERS, SGR na ununuzi wa ndege ambao hata CAG hakueleza ni vipi alishindwa kukagua. Hii miradi Lissu amesema imejaa harufu ya upigaji. Ndiyo maana hawako tayari kuachia dola.

USHAHIDI KWAMBA CCM IMECHOKWA
# Ilipokonya Ushindi Zanzibar 2015
# Kuengua Wagombea wa Upinzani
# Wametamka mara nyingi kua hawako tayari kukabidhi nchi hasa Zanzibar
# Matumizi makubwa ya jeshi la polisi
# Matimizi ya NEC- Tumeona Tume bila kujua wakifanya njama wazi wazi baada ya kumpigia mgombea ubunge wa CHADEMA Karagwe wakidhani ni Mkurugenzi.
# Kushusha bendera za upinzani na kuchana mabango yao.

ANGALIZO KWA CCM
Mkumbuke kwamba taifa hili liliachwa likiwa moja na Mwalimu Nyerere. Aliasisi upinzani ninyi mkiwa hamtaki lakini muelewe kuwa wapinzani wamesema Uchaguzi huu 2020 sasa basi, wamesema wakishindwa hawatamuachia Mungu.

Sasa mkishindwa mwaka huu lazimisheni muone. Kama mna ubavu mnaengua wapinzani Wa nini? Kama mnajua mnakubalika mnashusha bendera na kuchana mabango ya wenzenu ya nini?
The point is that, Meko fool lacks the mental capacity to serve this country as a local government chairman, sorry I mean a president.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi vyama vya upinzani (CHADEMA kwa bara na ACT kwa Zanzibar), wanasubiri maajabu gani kwenye wao kupenya kwenye uchaguzi huu? Tetesi za Zanzibar tu kwa mfano mpaka sasa -ACT hawana chao! Mara tunaambiwa simu haziruhusiwi vituo vya kupigia kura. Wale mawakala wa vyama watafanyaje kazi? Na je usalama wao ukoje? Rushwa nayo itawaacha salama?

Kwenye huo wizi unaosemwa ambao utafanywa/ unafanywa tayari, mbona hatuoni strategies zozote za hivi vyama kwenye kukabili haya? Zaidi ya kuhoji kwa mabarua ambayo wala hayajibiwi hivi vyama vimejipangaje kwenye wizi huo wa kura? Najua hawawezi kuweka wazi kabisa strategies ila walau watutoe hofu. Bila ya kuwahakikishia wananchi eneo hili, aisee watu hawatatoka kwenda kupiga kura. Mpaka sasa hali ya Zanzibar tu imeanza kutukatisha tamaa.
 
Hivi vyama vya upinzani (CHADEMA kwa bara na ACT kwa Zanzibar), wanasubiri maajabu gani kwenye wao kupenya kwenye uchaguzi huu? Tetesi za Zanzibar tu kwa mfano mpaka sasa -ACT hawana chao! Mara tunaambiwa simu haziruhusiwi vituo vya kupigia kura. Wale mawakala wa vyama watafanyaje kazi? Na je usalama wao ukoje? Rushwa nayo itawaacha salama?

Kwenye huo wizi unaosemwa ambao utafanywa/ unafanywa tayari, mbona hatuoni strategies zozote za hivi vyama kwenye kukabili haya? Zaidi ya kuhoji kwa mabarua ambayo wala hayajibiwi hivi vyama vimejipangaje kwenye wizi huo wa kura? Najua hawawezi kuweka wazi kabisa strategies ila walau watutoe hofu. Bila ya kuwahakikishia wananchi eneo hili, aisee watu hawatatoka kwenda kupiga kura. Mpaka sasa hali ya Zanzibar tu imeanza kutukatisha tamaa.
Wewe mwananchi upo tayari kuruka siku Mbowe akisema sasa tunaingia road kudai haki yetu na yeyote hasiyeshiriki maandamano atandikwe bakora ?
Umeshaagana na nyonga ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha haaaa. Naona maombi ya baadhi ya wachungaji na mashekhe leo maombi yao yamekuwa ni kumtukuza Magufuli badala ya kumtukuza Mungu. Wachungaji na Mashekhe wanapiga kampeni kwa kutaja mafly over kwa kuponda wapinzani na kuponda wanaowaita Mabeberu. Sasa sijui wanaomba au wanapiga madongo.
Hao si wachungaji wa kondoo bali wanachunga nguruwe pori,na kama ni mashehe basi ni mashehe ubwabwa
 
CCM kinajua kuwa siyo rahisi kushinda kwa sanduku la kura, sasa wapo tayari kwa lolote ilimradi warudi Ikulu upinzani wapende wasipende.

CCM kinajua kina Madudu mengi hasa kwenye miradi hasa kwenye miradi hii mimea ya STIGLERS, SGR na ununuzi wa ndege ambao hata CAG hakueleza ni vipi alishindwa kukagua. Hii miradi Lissu amesema imejaa harufu ya upigaji. Ndiyo maana hawako tayari kuachia dola.

USHAHIDI KWAMBA CCM IMECHOKWA
# Ilipokonya Ushindi Zanzibar 2015
# Kuengua Wagombea wa Upinzani
# Wametamka mara nyingi kua hawako tayari kukabidhi nchi hasa Zanzibar
# Matumizi makubwa ya jeshi la polisi
# Matimizi ya NEC- Tumeona Tume bila kujua wakifanya njama wazi wazi baada ya kumpigia mgombea ubunge wa CHADEMA Karagwe wakidhani ni Mkurugenzi.
# Kushusha bendera za upinzani na kuchana mabango yao.

ANGALIZO KWA CCM
Mkumbuke kwamba taifa hili liliachwa likiwa moja na Mwalimu Nyerere. Aliasisi upinzani ninyi mkiwa hamtaki lakini muelewe kuwa wapinzani wamesema Uchaguzi huu 2020 sasa basi, wamesema wakishindwa hawatamuachia Mungu.

Sasa mkishindwa mwaka huu lazimisheni muone. Kama mna ubavu mnaengua wapinzani Wa nini? Kama mnajua mnakubalika mnashusha bendera na kuchana mabango ya wenzenu ya nini?
Peter Mutharika hakutaka kuachia kwa hiyari, akalazimishwa kuachia

Ghadafi hivo hivo

Compaore pia

Mugabe

Mobutu


Kifupi ni kwamba Madikteta hulazimishwa kuachia madaraka!
 
Back
Top Bottom