Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Jana nilipiga Maeneo ya Lusahunga, Nyakahura na Nyakanazi kwenye kutafuta mkate wa Kila SIKU.
Kwa bahati mbaya sana nimekutana na "Ujinga" wa Karne wa CCM kutumia Magari yalitoyotelewa Kwa msaada Kwa miradi mahususi (DFPA) kwenye mkutano wao.
This is unacceptable na ujinga wa hali ya juu, gari Mojawapo ilikua imefutwa maandishi ila wakasahau kubadilisha namba.
Natoa rai wahusika wachukuliwe hatua Ili kuandoa dhana potofu Kwa Wafadhili na Kwa Watanzania Kwa ujumla.
Kwa bahati mbaya sana nimekutana na "Ujinga" wa Karne wa CCM kutumia Magari yalitoyotelewa Kwa msaada Kwa miradi mahususi (DFPA) kwenye mkutano wao.
This is unacceptable na ujinga wa hali ya juu, gari Mojawapo ilikua imefutwa maandishi ila wakasahau kubadilisha namba.
Natoa rai wahusika wachukuliwe hatua Ili kuandoa dhana potofu Kwa Wafadhili na Kwa Watanzania Kwa ujumla.