CCM "wakome" kutumia Magari ya Wafadhili kwenye Mikutano Yao!

CCM "wakome" kutumia Magari ya Wafadhili kwenye Mikutano Yao!

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Jana nilipiga Maeneo ya Lusahunga, Nyakahura na Nyakanazi kwenye kutafuta mkate wa Kila SIKU.

Kwa bahati mbaya sana nimekutana na "Ujinga" wa Karne wa CCM kutumia Magari yalitoyotelewa Kwa msaada Kwa miradi mahususi (DFPA) kwenye mkutano wao.

This is unacceptable na ujinga wa hali ya juu, gari Mojawapo ilikua imefutwa maandishi ila wakasahau kubadilisha namba.

Natoa rai wahusika wachukuliwe hatua Ili kuandoa dhana potofu Kwa Wafadhili na Kwa Watanzania Kwa ujumla.
IMG_20231002_111347.jpg
IMG_20231002_111347.jpg

 
Jana nilipiga Maeneo ya Lusahunga, Nyakahura na Nyakanazi kwenye kutafuta mkate wa Kila SIKU.

Kwa bahati mbaya sana nimekutana na "Ujinga" wa Karne wa CCM kutumia Magari yalitoyotelewa Kwa msaada Kwa miradi mahususi (DFPA) kwenye mkutano wao.

This is unacceptable na ujinga wa hali ya juu, gari Mojawapo ilikua imefutwa maandishi ila wakasahau kubadilisha namba.

Natoa rai wahusika wachukuliwe hatua Ili kuandoa dhana potofu Kwa Wafadhili na Kwa Watanzania Kwa ujumla. View attachment 2770483View attachment 2770483
View attachment 2770486
Hata Chongolo anatumia ndege za ATCL bila kulipa chochote
 
Back
Top Bottom