pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Unadhani hao ni watakatifu?Duh wanaikodi DFPA?
Wapo kwa ajili ya maendeleo na maendeleo yanaletwa na ccm, wakiambiwa kuna ataepinga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani hao ni watakatifu?Duh wanaikodi DFPA?
Ila huenda ni kweliUnadhani hao ni watakatifu?
Wapo kwa ajili ya maendeleo na maendeleo yanaletwa na ccm, wakiambiwa kuna ataepinga?
KUNA BALOZI WA CHINA ALIWAHI KUVALISHWA TSHIRT NA KOFIA YA CCMJana nilipiga Maeneo ya Lusahunga, Nyakahura na Nyakanazi kwenye kutafuta mkate wa Kila SIKU.
Kwa bahati mbaya sana nimekutana na "Ujinga" wa Karne wa CCM kutumia Magari yalitoyotelewa Kwa msaada Kwa miradi mahususi (DFPA) kwenye mkutano wao.
This is unacceptable na ujinga wa hali ya juu, gari Mojawapo ilikua imefutwa maandishi ila wakasahau kubadilisha namba.
Natoa rai wahusika wachukuliwe hatua Ili kuandoa dhana potofu Kwa Wafadhili na Kwa Watanzania Kwa ujumla. View attachment 2770483View attachment 2770483
View attachment 2770486
KUNA BALOZI WA CHINA ALIWAHI KUVALISHWA TSHIRT NA KOFIA YA CCM
"Na ukweli haunin'ginii " dk slaaIla huenda ni kweli
Hahaha 🤣"Na ukweli haunin'ginii " dk slaa