Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
CCM ni wagonjwa sana sana, sasa gari unaifuta maandishi kwa mtindo huo kweli?Ukiuliza utaskia wanakwambia hao ni wadau wa sekta binafsi walifika kutoa salamu kwenye mkutano.
Nipe namba tafadhali sitakuangushaMsalimie mtoto wa nzi mmoja mkongwe hapo Lusahunga
Naunga hoja mkonoCCM na viongozi wao hawana maarifa hata chembe.
Wameishiwa pumzi,wanapaswa kupumzishwa kwa hiari ama kwa lazima kwa mustakabali mwema wa Tanzania ya kesho.
Utaharibu mkuu🤣🤣🤣Nipe namba tafadhali sitakuangusha
Hata Chongolo anatumia ndege za ATCL bila kulipa chochoteJana nilipiga Maeneo ya Lusahunga, Nyakahura na Nyakanazi kwenye kutafuta mkate wa Kila SIKU.
Kwa bahati mbaya sana nimekutana na "Ujinga" wa Karne wa CCM kutumia Magari yalitoyotelewa Kwa msaada Kwa miradi mahususi (DFPA) kwenye mkutano wao.
This is unacceptable na ujinga wa hali ya juu, gari Mojawapo ilikua imefutwa maandishi ila wakasahau kubadilisha namba.
Natoa rai wahusika wachukuliwe hatua Ili kuandoa dhana potofu Kwa Wafadhili na Kwa Watanzania Kwa ujumla. View attachment 2770483View attachment 2770483
View attachment 2770486
Ndio maana wanakosaga guts za kuwachukulia hatua watendaji hovyo kwenye report ya CAGHata Chongolo anatumia ndege za ATCL bila kulipa chochote
Dah naheshimu msimamo wakoUtaharibu mkuu🤣🤣🤣
Yes !Ndio maana wanakosaga guts za kuwachukulia hatua watendaji hovyo kwenye report ya CAG
Dah naheshimu msimamo wako
Hapo ufipa kuna ofisi za atcl mnakagua ticket za wasafiri?Hata Chongolo anatumia ndege za ATCL bila kulipa chochote
Hahahahaa kwahio pale Lumumba mnazo?Hapo ufipa kuna ofisi za atcl mnakagua ticket za wasafiri?
Swali lako duniHapo ufipa kuna ofisi za atcl mnakagua ticket za wasafiri?
Duh wanaikodi DFPA?Huwa wanayakodi kutoka kwa wahusika,
Fursa kibao hapa