Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Nai-row-bee
Kwani anko magu alitibiwa nje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani anko magu alitibiwa nje
AkiwatumikishaKwa mabwana zake aliokuwa akiwatumikia
Mbwaa koko huwa athaminiki,laana hukupata hapahapa dunianiNimekaa nikatafakari inakuaje mwandamizi kama Jecha Salum Jecha ndani ya CCM asipelekwe kutibiwa nje ya nchi licha ya mchango wake uliotukuka katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kule Visiwani.
Ikumbukwe, Jecha ndio aliyekuwa mwenyekiti wa tume visiwani humo na alifuta uchaguzi baada ya kuona hali ya sintofahamu.
Sasa CCM walishindwaje kumpeleka Jecha hapo Apollo India akapate matibabu ya daraja la juu? Ama kweli tenda wema nenda zako
Huko nje ya nchi,pia watu wanafariki.Nimekaa nikatafakari inakuaje mwandamizi kama Jecha Salum Jecha ndani ya CCM asipelekwe kutibiwa nje ya nchi licha ya mchango wake uliotukuka katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kule Visiwani.
Ikumbukwe, Jecha ndio aliyekuwa mwenyekiti wa tume visiwani humo na alifuta uchaguzi baada ya kuona hali ya sintofahamu.
Sasa CCM walishindwaje kumpeleka Jecha hapo Apollo India akapate matibabu ya daraja la juu? Ama kweli tenda wema nenda zako
Wanaopelekwa India hawafi? Au naye ni mwema?Nimekaa nikatafakari inakuaje mwandamizi kama Jecha Salum Jecha ndani ya CCM asipelekwe kutibiwa nje ya nchi licha ya mchango wake uliotukuka katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kule Visiwani.
Ikumbukwe, Jecha ndio aliyekuwa mwenyekiti wa tume visiwani humo na alifuta uchaguzi baada ya kuona hali ya sintofahamu.
Sasa CCM walishindwaje kumpeleka Jecha hapo Apollo India akapate matibabu ya daraja la juu? Ama kweli tenda wema nenda zako
Aliwatukana sana hangeweza kwenda huko.Kwani anko magu alitibiwa nje
Kumbe kusikiliza amri ya mkubwa ukaitekeleza hata Kama ni kinyume na sheria ni kutumikisha?Akiwatumikisha
Shetani hana rafikiNimekaa nikatafakari inakuaje mwandamizi kama Jecha Salum Jecha ndani ya CCM asipelekwe kutibiwa nje ya nchi licha ya mchango wake uliotukuka katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kule Visiwani.
Ikumbukwe, Jecha ndio aliyekuwa mwenyekiti wa tume visiwani humo na alifuta uchaguzi baada ya kuona hali ya sintofahamu.
Sasa CCM walishindwaje kumpeleka Jecha hapo Apollo India akapate matibabu ya daraja la juu? Ama kweli tenda wema nenda zako
Nilitaka kukoment hivi ila umeniwahiLabda waliona watapata shida tu kusafirisha mwili
Dawa ndiyo hiyohiyo ili na wengine wajifunze.Nimekaa nikatafakari inakuaje mwandamizi kama Jecha Salum Jecha ndani ya CCM asipelekwe kutibiwa nje ya nchi licha ya mchango wake uliotukuka katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kule Visiwani.
Ikumbukwe, Jecha ndio aliyekuwa mwenyekiti wa tume visiwani humo na alifuta uchaguzi baada ya kuona hali ya sintofahamu.
Sasa CCM walishindwaje kumpeleka Jecha hapo Apollo India akapate matibabu ya daraja la juu? Ama kweli tenda wema nenda zako
Mpuuzi sana. Kwani hakufia Kisiwandui?Amefia Tanganyika
Watanganyika ndio walimlinda baada ya hujuma za 2015 , akaona labda watamlinda pia kwenye kifoMpuuzi sana. Kwani hakufia Kisiwandui?
Magu hakuumwa,bali betri iliisha chajiKwani anko magu alitibiwa nje
Kutibiwa nje siyo tatizo; tatizo ni huduma za kitabibu anazopata. Hata Magufuli alitibiwa Mzena mpaka umauti unamkuta. Juzikati tu Sudan imesema hospitali nzuri ya kufundishia madaktari wao Muhimbili.Nimekaa nikatafakari inakuaje mwandamizi kama Jecha Salum Jecha ndani ya CCM asipelekwe kutibiwa nje ya nchi licha ya mchango wake uliotukuka katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kule Visiwani.
Ikumbukwe, Jecha ndio aliyekuwa mwenyekiti wa tume visiwani humo na alifuta uchaguzi baada ya kuona hali ya sintofahamu.
Sasa CCM walishindwaje kumpeleka Jecha hapo Apollo India akapate matibabu ya daraja la juu? Ama kweli tenda wema nenda zako
Yawezekana alifia angani akikimbizwa IndiaNai-row-bee
Ulidanganywa. Alifia Nairobi au njiani kwenda India.Kutibiwa nje siyo tatizo; tatizo ni huduma za kitabibu anazopata. Hata Magufuli alitibiwa Mzena mpaka umauti unamkuta. Juzikati tu Sudan imesema hospitali nzuri ya kufundishia madaktari wao Muhimbili.
Hakupelekwa Pombe nje ya nchi itakuwa jecha?Nimekaa nikatafakari inakuaje mwandamizi kama Jecha Salum Jecha ndani ya CCM asipelekwe kutibiwa nje ya nchi licha ya mchango wake uliotukuka katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kule Visiwani.
Ikumbukwe, Jecha ndio aliyekuwa mwenyekiti wa tume visiwani humo na alifuta uchaguzi baada ya kuona hali ya sintofahamu.
Sasa CCM walishindwaje kumpeleka Jecha hapo Apollo India akapate matibabu ya daraja la juu? Ama kweli tenda wema nenda zako