silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Mimi sikifagirii chama hiki cha CCM... lakini situation inaonesha kimeshashinda, kwasababu Zenj wamesha vunjwa mbavu kwa kumsimamisha Dr. Shein, na kumleta huku bilali ni saikolojia kubwa sana kwani kura zoooteee za CUF zimesha nyang, anyway na CCM kutoka Zenj
Majimbo zaidi ya kumi sasa yameshakuwa Confirmed kuwa yapo chini ya CCM,, Source THE GUARDIAN 21STAUGUST2010,, SASA KUTOKANA NA MAJIMBO HAYO AMBAYO UKITAKA HABARI KAMILI NENDA THE gUARDIAN tayari CCM wamesha pata kura kadhaa ambazo wao kwa sasa wanahitaji kuongea tuu kidogo ili wajihakikishie ushindi,,
Navilaumu sana Vyama Pinzani kwa kuto simamisha wagombea katika baadhi ya majimbo kwani kwa staili hiyo maana yake wamekubali CCM wachukue tena nchi yetu waendelee kuiharibu kwa ufisadi...
Mimi inaniuma sana
Majimbo zaidi ya kumi sasa yameshakuwa Confirmed kuwa yapo chini ya CCM,, Source THE GUARDIAN 21STAUGUST2010,, SASA KUTOKANA NA MAJIMBO HAYO AMBAYO UKITAKA HABARI KAMILI NENDA THE gUARDIAN tayari CCM wamesha pata kura kadhaa ambazo wao kwa sasa wanahitaji kuongea tuu kidogo ili wajihakikishie ushindi,,
Navilaumu sana Vyama Pinzani kwa kuto simamisha wagombea katika baadhi ya majimbo kwani kwa staili hiyo maana yake wamekubali CCM wachukue tena nchi yetu waendelee kuiharibu kwa ufisadi...
Mimi inaniuma sana