Kamanda
Senior Member
- Dec 5, 2007
- 150
- 176
Wakuu,
Siko mbali sana kutoka kwenye jiko la Chama Cha Mapinduzi (CCM) ofisi ndogo a hata makao makuu kwenyewe. Hii nimeipata muda huu kuwa mikakati iliyokuwa imepangwa kupata ushindi wa kishindo wa asilimia 89% imekwama na sasa inasukwa namna ya kupata ushindi wa 83%.
Hatua hiyo inatokana na kutishwa na ujio wa Dk. Slaa katika kinyang'anyiro, amewatisha.
Mbinu zitakazofanyika kupata ushindi huo zinapangwa sasa na jamaa wakiongoziwa na wazee wa riging; ambao wanajua kazi zao.
Ntawajulisha muda
Siko mbali sana kutoka kwenye jiko la Chama Cha Mapinduzi (CCM) ofisi ndogo a hata makao makuu kwenyewe. Hii nimeipata muda huu kuwa mikakati iliyokuwa imepangwa kupata ushindi wa kishindo wa asilimia 89% imekwama na sasa inasukwa namna ya kupata ushindi wa 83%.
Hatua hiyo inatokana na kutishwa na ujio wa Dk. Slaa katika kinyang'anyiro, amewatisha.
Mbinu zitakazofanyika kupata ushindi huo zinapangwa sasa na jamaa wakiongoziwa na wazee wa riging; ambao wanajua kazi zao.
Ntawajulisha muda