Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Nimejaribu kuangalia faster faster sijaiona sura yoyote ya Kijani. je CCM wameshindwa kupeleka Mwakilishi kwenye Mkutano wa CHADEMA? Bado hawaamini kuwa Zama zinabadilika? Hawaamini kuwa Nanihiii hayupo?
Pichani ni baadhi ya Wawakilishi wa vyama vya siasa
Pichani ni baadhi ya Wawakilishi wa vyama vya siasa