CCM wameshindwa kupeleka Mwakilishi kwenye Mkutano wa CHADEMA?

CCM wameshindwa kupeleka Mwakilishi kwenye Mkutano wa CHADEMA?

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Nimejaribu kuangalia faster faster sijaiona sura yoyote ya Kijani. je CCM wameshindwa kupeleka Mwakilishi kwenye Mkutano wa CHADEMA? Bado hawaamini kuwa Zama zinabadilika? Hawaamini kuwa Nanihiii hayupo?

Pichani ni baadhi ya Wawakilishi wa vyama vya siasa

IMG-20220511-WA0066.jpg
 
..Ccm huwa wanawakilishwa na Naibu Msajili wa vyama. Je, huyo naye hajahudhuria?
Baraza kuu ndio mkutano mkuu wa chama, au?! Nilidhani ndio kama NEC ya CCM.

Tumekuwa na mazoea ya kualika vyama vingine kwenye mkutano mkuu pekee.
 
Back
Top Bottom