CCM wameshindwa kupeleka Mwakilishi kwenye Mkutano wa CHADEMA?

CCM wameshindwa kupeleka Mwakilishi kwenye Mkutano wa CHADEMA?

Nimejaribu kuangalia faster faster sijaiona sura yoyote ya Kijani. je CCM wameshindwa kupeleka Mwakilishi kwenye Mkutano wa CHADEMA? Bado hawaamini kuwa Zama zinabadilika? Hawaamini kuwa Nanihiii hayupo?

Pichani ni baadhi ya Wawakilishi wa vyama vya siasa

View attachment 2220393
Itakuwa sukuma GANG wamewazuia kama baadhi ya KUNGUNI wanavyo sema kila wakishindwa jambo
 
Mkutano haujaisha ndugu yangu, kuwa na subra.
Sijui nikuweke fungu gani! Uzinduzi unahudhuliwa na waalikwa bila kujali chama, hata polisi wanaweza kualikwa. Mkutano ni kwa wajumbe wahusika tu hata kama ni mwanachama hauruhusiwi kama si mjumbe.
 
Nimejaribu kuangalia faster faster sijaiona sura yoyote ya Kijani. je CCM wameshindwa kupeleka Mwakilishi kwenye Mkutano wa CHADEMA? Bado hawaamini kuwa Zama zinabadilika? Hawaamini kuwa Nanihiii hayupo?

Pichani ni baadhi ya Wawakilishi wa vyama vya siasa

View attachment 2220393
Walikaribishwa?
 
Hamuwapangii CCM cha kufanya na msiwafokee.

Nyinyi kwa nyinyi hamuaminiani hadi mnagawana sare usiku.

CCM wana kazi nyingi kuwatumikia wananchi wa Tanzania.

Msilazimishe URAFIKI wa KINAFIKI.
 
Hamuwapangii CCM cha kufanya na msiwafokee.

Nyinyi kwa nyinyi hamuaminiani hadi mnagawana sare usiku.

CCM wana kazi nyingi kuwatumikia wananchi wa Tanzania.

Msilazimishe URAFIKI wa KINAFIKI.
Relax utakufa kwa kihoro Bure, kunywa Maji
 
Back
Top Bottom