Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Relax, utakufa kwa kihoroBora kwa kuwa walisema sabaya alikuwa anawabaka?
Pambalu ni bora hata kuliko wabunge wa ccm woteIla wakamsikilize mdude na pambalu?
Ni kupoteza muda tu
Nimejaribu kuangalia faster faster sijaiona sura yoyote ya Kijani. je CCM wameshindwa kupeleka Mwakilishi kwenye Mkutano wa CHADEMA? Bado hawaamini kuwa Zama zinabadilika? Hawaamini kuwa Nanihiii hayupo?
Pichani ni baadhi ya Wawakilishi wa vyama vya siasa
View attachment 2220393
Ilikuaje akasema sabaya alikua anawabaka na kuwalawiti? Au huo ndio ubora?Pambalu ni bora hata kuliko wabunge wa ccm wote
CCM ni wakorofiNimejaribu kuangalia faster faster sijaiona sura yoyote ya Kijani. je CCM wameshindwa kupeleka Mwakilishi kwenye Mkutano wa CHADEMA? Bado hawaamini kuwa Zama zinabadilika? Hawaamini kuwa Nanihiii hayupo?
Pichani ni baadhi ya Wawakilishi wa vyama vya siasa
View attachment 2220393
Msajili ni CCM pure huwa anaenda kwa ndugu zake ACT..Ccm huwa wanawakilishwa na Naibu Msajili wa vyama. Je, huyo naye hajahudhuria?
Watasema wako busy,Sasa sijui hata Bashite yupo busy na nini.Nimejaribu kuangalia faster faster sijaiona sura yoyote ya Kijani. je CCM wameshindwa kupeleka Mwakilishi kwenye Mkutano wa CHADEMA? Bado hawaamini kuwa Zama zinabadilika? Hawaamini kuwa Nanihiii hayupo?
Pichani ni baadhi ya Wawakilishi wa vyama vya siasa
View attachment 2220393
Tujibu hoja kwanza, tusijibu hoja kwa swaliJe. Wamealikwa? Je CHADEMA huwa wanaenda wakialikwa na hao CCM ?
It takes two to tangle.
Wewe una uelewa mdogo sana saaanaIlikuaje akasema sabaya alikua anawabaka na kuwalawiti? Au huo ndio ubora?
Baraza kuu ndio mkutano mkuu wa chama, au?! Nilidhani ndio kama NEC ya CCM.
Tumekuwa na mazoea ya kualika vyama vingine kwenye mkutano mkuu pekee.
kabisa yaani , Anaitwa Sisty Nyahoza..Ccm huwa wanawakilishwa na Naibu Msajili wa vyama. Je, huyo naye hajahudhuria?
Pamoja na Mahera ,huwa Ni muwakilishi wa CCM...Ccm huwa wanawakilishwa na Naibu Msajili wa vyama. Je, huyo naye hajahudhuria?
Nauliza tena; kuna vikao vya baraza kuu ambavyo wageni toka vyama vingine walihudhuria hapo nyuma?USHAURI WANGU:
..Vyama vihudhurie mikutano ya vyama ambavyo wanaendana na kukubaliana kimsimamo na kisera.
Kuokoa muda ni kusikiliza wabunge kama hawaIla wakamsikilize mdude na pambalu?
Ni kupoteza muda tu
Kabisa CCM BWamewakilishwa na ACT.
CCM iko bize na kuisimamia serikali imalize haraka miradi yote ya serikali ya AWAMU ya 5......Nimejaribu kuangalia faster faster sijaiona sura yoyote ya Kijani. je CCM wameshindwa kupeleka Mwakilishi kwenye Mkutano wa CHADEMA? Bado hawaamini kuwa Zama zinabadilika? Hawaamini kuwa Nanihiii hayupo?
Pichani ni baadhi ya Wawakilishi wa vyama vya siasa
View attachment 2220393
Hivi huwa hamna majina mengine ya wabunge wa viti maalum zaidi ya haohao ndugu ,jamaa ,marafiki na wapenzi ?!!!Kabisa CCM B
Mdude yuleyule mwenye mdomo wa maneno machafu aliyesema atamuonesha mama yetu ?!!!!Ila wakamsikilize mdude na pambalu?
Ni kupoteza muda tu