Itakuwa sukuma GANG wamewazuia kama baadhi ya KUNGUNI wanavyo sema kila wakishindwa jamboNimejaribu kuangalia faster faster sijaiona sura yoyote ya Kijani. je CCM wameshindwa kupeleka Mwakilishi kwenye Mkutano wa CHADEMA? Bado hawaamini kuwa Zama zinabadilika? Hawaamini kuwa Nanihiii hayupo?
Pichani ni baadhi ya Wawakilishi wa vyama vya siasa
View attachment 2220393
WasiojulikanaAfisa vipenyo ndo nani hao
Sijui nikuweke fungu gani! Uzinduzi unahudhuliwa na waalikwa bila kujali chama, hata polisi wanaweza kualikwa. Mkutano ni kwa wajumbe wahusika tu hata kama ni mwanachama hauruhusiwi kama si mjumbe.Mkutano haujaisha ndugu yangu, kuwa na subra.
Yaani ni kama kwenye pre match meeting, timu moja inawakilishwa na refa, haaaaahaa..Ccm huwa wanawakilishwa na Naibu Msajili wa vyama. Je, huyo naye hajahudhuria?
CCM oyeeeeeeeeeeCCM iko bize na kuisimamia serikali imalize haraka miradi yote ya serikali ya AWAMU ya 5......
#Siempre CCM🙏
Oyeeeee💪CCM oyeeeeeeeeee
Unefurahi sasa....maisha yaendeleeOyeeeee💪
Maisha yapo kabla ya kuzaliwa CCM....Unefurahi sasa....maisha yaendelee
Kama hawajaalikwa waende kufanya nini sasa na aizani kama kwa roho za chadema zilivyo kama wamewaalika ccmWawakilishi wao huwa ni afisa vipenyo wanaingia na magwanda ya Chadema.
Walikaribishwa?Nimejaribu kuangalia faster faster sijaiona sura yoyote ya Kijani. je CCM wameshindwa kupeleka Mwakilishi kwenye Mkutano wa CHADEMA? Bado hawaamini kuwa Zama zinabadilika? Hawaamini kuwa Nanihiii hayupo?
Pichani ni baadhi ya Wawakilishi wa vyama vya siasa
View attachment 2220393
Walikaribishwa?
Hahahah.. nimecheka sana...Ccm huwa wanawakilishwa na Naibu Msajili wa vyama. Je, huyo naye hajahudhuria?
Nimejaribu kuangalia faster faster sijaiona sura yoyote ya Kijani. je CCM wameshindwa kupeleka Mwakilishi kwenye Mkutano wa CHADEMA? Bado hawaamini kuwa Zama zinabadilika? Hawaamini kuwa Nanihiii hayupo?
Pichani ni baadhi ya Wawakilishi wa vyama vya siasa
View attachment 2220393
Relax utakufa kwa kihoro Bure, kunywa MajiHamuwapangii CCM cha kufanya na msiwafokee.
Nyinyi kwa nyinyi hamuaminiani hadi mnagawana sare usiku.
CCM wana kazi nyingi kuwatumikia wananchi wa Tanzania.
Msilazimishe URAFIKI wa KINAFIKI.
C alikuwepo Jenerali Ulimwengu?je CCM wameshindwa kupeleka Mwakilishi kwenye Mkutano wa CHADEMA?
Yupo yule aliyeagiza Ofisi za vyama vya siasa ziwe zinaweka picha ya Mkiti wa CCM na Rais wa Tz..Ccm huwa wanawakilishwa na Naibu Msajili wa vyama. Je, huyo naye hajahudhuria?