CCM wametoa wapi vifaa vya NEC vya kupigia Kura?

CCM wametoa wapi vifaa vya NEC vya kupigia Kura?

Salaam Wakuu,

Sasa nimeanza kuelewa Usemi wa Freeman Mbowe(Mwenyekiti wa CHADEMA) aliposema Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) ni Tawi la Chama cha Mapinduzi.

Hivi sasa CCM inafanya uchaguzi wa ndani nafasi mbalimbali. Nimeshangaa kuona wanatumia Karatasi na Masanduku ya kupigia kura ya NEC. Vifaa vya tume ya Uchaguzi kwenye uchaguzi wa CCM na ndani ya Ofisi za CCM. Kweli?

Viongozi Serikali wanaona sawa tu.

Demokrasia Tanzania ipo wap?
View attachment 2377621
Sanduku la NEC kwenye uchaguzi wa CCM

Kumbe Masanduku na Karatasi za kupigia kura za NEC vinapatikana kirahisi hivi? Asante sana Rais Samia na Taasisi yako ya Uraisi

Asante Tume ya Uchaguzi, asante Jeshi la Polisi, Asante Mahakama na wote Mnaohusika kwa Kuruhusu hili litokee ili Dunia ijue Tanzania ni Nchi ya namna gani kwenye maswala ya Vyama vingi.
Mkuu Kuna NEC ya CCM
 
Nchi bila katiba mpya itaendelea kuwa nchi mfu, kwenye nchi zinazojitambua hapa hapa Africa, zenye NEC huru hili jambo lisingekua la kustaajabisha maana chaguzi zote za vyama vya siasa vingekua vinaendeshwa na NEC, (ili kuleta ile neutrality kwa wagombea)na tuelewe vyama vya siasa vinatakiwa vijisajili na viwajibike kwa NEC sio uchafu wetu wa msajili wa vyama, lini hili litatokea kwetu time will tell ila kwa sasa na generation yetu ya uzuzu huu, ccm wataendelea kutuburuza
 
Wenyewe wanakuambia ni kuwa sababu ni chama dola. Ukiwauliza hizo ofa za kuwa chama dola zipo kisheria? Ukihojiana nao inatakiwa yee mbali nao,hawakawii kutumia ushauri wa Dr Tuli
Wa kukushughulikia😄
 
Sasa nimeanza kuelewa Usemi wa Freeman Mbowe(Mwenyekiti wa CHADEMA) aliposema Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) ni Tawi la Chama cha Mapinduzi.
Umechelewa Sana kuelewa hili
 
Salaam Wakuu,

Sasa nimeanza kuelewa Usemi wa Freeman Mbowe(Mwenyekiti wa CHADEMA) aliposema Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) ni Tawi la Chama cha Mapinduzi.

Hivi sasa CCM inafanya uchaguzi wa ndani nafasi mbalimbali. Nimeshangaa kuona wanatumia Karatasi na Masanduku ya kupigia kura ya NEC. Vifaa vya tume ya Uchaguzi kwenye uchaguzi wa CCM na ndani ya Ofisi za CCM. Kweli?

Viongozi Serikali wanaona sawa tu.

Demokrasia Tanzania ipo wap?
View attachment 2377621
Sanduku la NEC kwenye uchaguzi wa CCM

Kumbe Masanduku na Karatasi za kupigia kura za NEC vinapatikana kirahisi hivi? Asante sana Rais Samia na Taasisi yako ya Uraisi

Asante Tume ya Uchaguzi, asante Jeshi la Polisi, Asante Mahakama na wote Mnaohusika kwa Kuruhusu hili litokee ili Dunia ijue Tanzania ni Nchi ya namna gani kwenye maswala ya Vyama vingi.
TUME YA UCHAGUZI ni Tume ya CCM ikiwa inasimamiwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu ndio inakuwa TUME YA TAIFA ya UCHAGUZI na Wajumbe ni Wale wale
ndio maana Tunataka KATIBA MPYA yenye TUME HURU sio Ujinga kama huo
 
Kuna kitu watanzania hawakukielewa waliposema Chama cha mapinduzi kimeshika hatamu za uongozi hayo yote yanayotokea ni sehemu ya sera hiyo kwa serikali na wala haijawahi kuondolewa wala kukanushwa na serikali. CCM = Government, vyama vingine are either followers or opposition.
 

Attachments

  • IMG_20221005_102602_386.jpg
    IMG_20221005_102602_386.jpg
    52.4 KB · Views: 1
Samahani mkuu naomba uniulizie bei ya kukodisha sanduku na makaratasi yake nina kauchaguzi kidogo hapa kwenye parokia yangu 😎😎😎😎😎
 
Salaam Wakuu,

Sasa nimeanza kuelewa Usemi wa Freeman Mbowe(Mwenyekiti wa CHADEMA) aliposema Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) ni Tawi la Chama cha Mapinduzi.

Hivi sasa CCM inafanya uchaguzi wa ndani nafasi mbalimbali. Nimeshangaa kuona wanatumia Karatasi na Masanduku ya kupigia kura ya NEC. Vifaa vya tume ya Uchaguzi kwenye uchaguzi wa CCM na ndani ya Ofisi za CCM. Kweli?

Viongozi Serikali wanaona sawa tu.

Demokrasia Tanzania ipo wap?
View attachment 2377621
Sanduku la NEC kwenye uchaguzi wa CCM

Kumbe Masanduku na Karatasi za kupigia kura za NEC vinapatikana kirahisi hivi? Asante sana Rais Samia na Taasisi yako ya Uraisi

Asante Tume ya Uchaguzi, asante Jeshi la Polisi, Asante Mahakama na wote Mnaohusika kwa Kuruhusu hili litokee ili Dunia ijue Tanzania ni Nchi ya namna gani kwenye maswala ya Vyama vingi.
hivi vifaa huwa vinakaa/vinabaki kwenye ofisi za kata baada ya uchaguzi , hakuna dhambi hapo ni kuchukua na kutumia tu
 
Back
Top Bottom