CCM wameufyata kwa Dr. Bashiru Ally au mama ndiyo haungwi mkono na ccm?

CCM wameufyata kwa Dr. Bashiru Ally au mama ndiyo haungwi mkono na ccm?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Ndugai alipotoa TAHADHARI kwa serikali ya wamu ya 6 kuwa nchi yetu itapigwa mnada endapo itaendelea kukopa fedha hovyo toka nje, CCM na jumuiya zake zote walimjia juu. Na hata siku anamwapisha mrithi wa Ndugai mama aliwashukuru wanaccm wa ngazi zote wakiongozwa na wenyeviti wa mikoa kwa kumpigania.

Hali imekuwa tofauti sana kwa Dr. Bashiru. Hatuoni matamshi ya kitaasisi, bali watu binafsi wanaosukumwa na ama kujipendekeza, njaa au chuki binafsi.

Hapa ndipo najiuliza kwann hali hii? Je:-
(a) CCM imemchoka mama?

(b) Dr. Bashiru Ally ana watu (kama mzee Mpili) kiasi cha kumtisha mama na chawa wake?

(c) Dr. Bashiru ni akili kubwa kiasi kwamba viongozi wa ccm wameufyata?
 
Mama kawapuuzia, huenda ametambua chuki dhidi yake inatokana na wale walioathirika na tume aliyoiongoza wakati wa ule wa kuhakiki mali za chama.
 
Bashiru nyumba ya Kupanga Ccm nyumba ya kudumu
Ni mapema sana kuzungumzia sayansi za Siasa za Chama
 
Dr. Bashiru ameshaandika twitter hataomba radhi kwasababu anaamini hakuna kosa lolote alilofanya, wala hajavunja sheria, na zaidi amesema anajua wapo waliotumwa kumshawishi afanye hivyo lakini anawapuuza.

Kuhangaika na mtu wa aina hii ni sawa na kuzidi kujidhalilisha tu, kwasababu chawa wanatumia mahaba kuhukumu jambo ambalo lipo wazi kisheria, wanaojielewa watazidi kuwadharau, kama wanajiamini wamfukuze huko chamani kwao wazidi kujivua nguo.
 
CCM tunaogopana (according to Mbatia).
Kila mwana CCM ana mapembe!
 
Ndugai alipotoa TAHADHARI kwa serikali ya wamu ya 6 kuwa nchi yetu itapigwa mnada endapo itaendelea kukopa fedha hovyo toka nje, CCM na jumuiya zake zote walimjia juu. Na hata siku anamwapisha mrithi wa Ndugai mama aliwashukuru wanaccm wa ngazi zote wakiongozwa na wenyeviti wa mikoa kwa kumpigania.

Hali imekuwa tofauti sana kwa Dr. Bashiru. Hatuoni matamshi ya kitaasisi, bali watu binafsi wanaosukumwa na ama kujipendekeza, njaa au chuki binafsi.

Hapa ndipo najiuliza kwann hali hii? Je:-
(a) CCM imemchoka mama?

(b) Dr. Bashiru Ally ana watu (kama mzee Mpili) kiasi cha kumtisha mama na chawa wake?

(c) Dr. Bashiru ni akili kubwa kiasi kwamba viongozi wa ccm wameufyata?
Kwa mfano wewe binafsi Ulitaka iweje ?
 
Ndugai alipotoa TAHADHARI kwa serikali ya wamu ya 6 kuwa nchi yetu itapigwa mnada endapo itaendelea kukopa fedha hovyo toka nje, CCM na jumuiya zake zote walimjia juu. Na hata siku anamwapisha mrithi wa Ndugai mama aliwashukuru wanaccm wa ngazi zote wakiongozwa na wenyeviti wa mikoa kwa kumpigania.

Hali imekuwa tofauti sana kwa Dr. Bashiru. Hatuoni matamshi ya kitaasisi, bali watu binafsi wanaosukumwa na ama kujipendekeza, njaa au chuki binafsi.

Hapa ndipo najiuliza kwann hali hii? Je:-
(a) CCM imemchoka mama?

(b) Dr. Bashiru Ally ana watu (kama mzee Mpili) kiasi cha kumtisha mama na chawa wake?

(c) Dr. Bashiru ni akili kubwa kiasi kwamba viongozi wa ccm wameufyata?
Napendaga siasa za CCM wakati wa ku handler wana chama wake makaidi wana walia timing, subiri litakalo mkuta hatakuja kufufuka kisiasa tena, ni suala la mda kwa sasa ukiliact unampa umarufu bure wakati wake utafika tu, atapewa adhabu yake stahiki, ccm ni wakatiri kwenye usaliti
 
Napendaga siasa za CCM wakati wa ku handler wana chama wake makaidi wana walia timing, subiri litakalo mkuta hatakuja kufufuka kisiasa tena, ni suala la mda kwa sasa ukiliact unampa umarufu bure wakati wake utafika tu, atapewa adhabu yake stahiki, ccm ni wakatiri kwenye usaliti
Andika vizuri kwa ufasaha.
-kuleact×=ku-react✓
-wakatiri×=wakatili/wajinga✓
 
Napendaga siasa za CCM wakati wa ku handler wana chama wake makaidi wana walia timing, subiri litakalo mkuta hatakuja kufufuka kisiasa tena, ni suala la mda kwa sasa ukiliact unampa umarufu bure wakati wake utafika tu, atapewa adhabu yake stahiki, ccm ni wakatiri kwenye usaliti
Jamaa ana PhD ya siasa na ameandika vitabu kadhaa vya Siasa.Hapo vip?
 
Napendaga siasa za CCM wakati wa ku handler wana chama wake makaidi wana walia timing, subiri litakalo mkuta hatakuja kufufuka kisiasa tena, ni suala la mda kwa sasa ukiliact unampa umarufu bure wakati wake utafika tu, atapewa adhabu yake stahiki, ccm ni wakatiri kwenye usaliti
Hiyo iliwezekana zamani wakati chama kina umoja na kina mtu anayeogopeka kama siyo kuheshimika. Lkn hv sasa kwa mgawanyiko uliopo haiwezekani.

Ndiyo maana mnaanza kuweka mambo ya timing. Tangu lini ccm imekuwa ikiwavizia wanachama wake kabla ya kuwachukulia hatua? Ukiona hivyo ujue kuna shida.
 
Ndugai alipotoa TAHADHARI kwa serikali ya wamu ya 6 kuwa nchi yetu itapigwa mnada endapo itaendelea kukopa fedha hovyo toka nje, CCM na jumuiya zake zote walimjia juu. Na hata siku anamwapisha mrithi wa Ndugai mama aliwashukuru wanaccm wa ngazi zote wakiongozwa na wenyeviti wa mikoa kwa kumpigania.

Hali imekuwa tofauti sana kwa Dr. Bashiru. Hatuoni matamshi ya kitaasisi, bali watu binafsi wanaosukumwa na ama kujipendekeza, njaa au chuki binafsi.

Hapa ndipo najiuliza kwann hali hii? Je:-
(a) CCM imemchoka mama?

(b) Dr. Bashiru Ally ana watu (kama mzee Mpili) kiasi cha kumtisha mama na chawa wake?

(c) Dr. Bashiru ni akili kubwa kiasi kwamba viongozi wa ccm wameufyata?
Fanya kazi ndugu yangu. Hii tabia ya kutaka mifarakano haina faida kwako wala kwa nchi. #Umoja wa kitaifa ndiyo silaha ya ushindi ktk kuleta maendeleo🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom