PhD without financial muscles haitikisi chochote. Lowasa pamoja na kwamba hakuwa na PhD, lakini kwa kuwa alikuwa na utajiri aliweza kutikisa nchi.Kwahiyo mwenye pesa zaidi ndani ya ccm ni rais Samia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PhD without financial muscles haitikisi chochote. Lowasa pamoja na kwamba hakuwa na PhD, lakini kwa kuwa alikuwa na utajiri aliweza kutikisa nchi.Kwahiyo mwenye pesa zaidi ndani ya ccm ni rais Samia?
Lisu ana hela? Mbona alimtikisa Magufuli na ccm yake mpk akataka kumuua?PhD without financial muscles haitikisi chochote. Lowasa pamoja na kwamba hakuwa na PhD, lakini kwa kuwa alikuwa na utajiri aliweza kutikisa nchi.
Ccm hii hii? Membe yuko wapi?Napendaga siasa za CCM wakati wa ku handler wana chama wake makaidi wana walia timing, subiri litakalo mkuta hatakuja kufufuka kisiasa tena, ni suala la mda kwa sasa ukiliact unampa umarufu bure wakati wake utafika tu, atapewa adhabu yake stahiki, ccm ni wakatiri kwenye usaliti
Anatufanya sisi wageni ktk nchi hii. Bora umempa ushahidiCcm hii hii? Membe yuko wapi?
Huko zamani walikua wanashughulikia papohapo!?..toa mfanoHiyo iliwezekana zamani wakati chama kina umoja na kina mtu anayeogopeka kama siyo kuheshimika. Lkn hv sasa kwa mgawanyiko uliopo haiwezekani.
Ndiyo maana mnaanza kuweka mambo ya timing. Tangu lini ccm imekuwa ikiwavizia wanachama wake kabla ya kuwachukulia hatua? Ukiona hivyo ujue kuna shida.
Wewe endelea kumsagia kunguni tu huyo Bashiru wako.Ndugai alipotoa TAHADHARI kwa serikali ya wamu ya 6 kuwa nchi yetu itapigwa mnada endapo itaendelea kukopa fedha hovyo toka nje, CCM na jumuiya zake zote walimjia juu. Na hata siku anamwapisha mrithi wa Ndugai mama aliwashukuru wanaccm wa ngazi zote wakiongozwa na wenyeviti wa mikoa kwa kumpigania.
Hali imekuwa tofauti sana kwa Dr. Bashiru. Hatuoni matamshi ya kitaasisi, bali watu binafsi wanaosukumwa na ama kujipendekeza, njaa au chuki binafsi.
Hapa ndipo najiuliza kwann hali hii? Je:-
(a) CCM imemchoka mama?
(b) Dr. Bashiru Ally ana watu (kama mzee Mpili) kiasi cha kumtisha mama na chawa wake?
(c) Dr. Bashiru ni akili kubwa kiasi kwamba viongozi wa ccm wameufyata?
Ma PhD wenzake akina msukuma watamnyoosha tu. Subiri utashuhudia Kwa macho yako.Jamaa ana PhD ya siasa na ameandika vitabu kadhaa vya Siasa.Hapo vip?
Horace Kolimba, Sophia Simba, Benard Membe, Jesca Msamabatavangu, n.k. Hawa wote walishughulikiwa mara mojaHuko zamani walikua wanashughulikia papohapo!?..toa mfano
Kwamba Bashiru akiendelea tena watamuacha tu hivyo hivyo wasimzibe mdomo kama Polepole?Ndugai alikua ni kiongozi mkubwa (Spika wa bunge) ambae kama yeye hapatani na Rais ina maana bunge halipatani na Rais! Na mnajua kinachoweza kutokea kama bunge halipatani na Rais. Ila Dr Bashiru yeye ni mbunge tuu tena wa kuteuliwa na hana uongozi wowote, hana jimbo analoliongoza wala hana ofisi anayoiongoza kwahyo Rais na CCM wameona haina haja kupoteza nguvu kwa mtu asie na makali
Na hili genge ndiyo liko nyuma ya Bashiru na mama analihofia kweli kweligenge lao lirudi madarakani.
Bashiru Ally ana kundi kubwa nyuma yake. Genge hili lilimtuma Ndugai akatishwa akatishika. Sasa genge limemtuma Bashiru mkubwa wa ma-confidence. Amesema hatojiuzulu ng'o!Kwamba Bashiru akiendelea tena watamuacha tu hivyo hivyo wasimzibe mdomo kama Polepole?
Msukuma ni mbwatukaji na mfuata upepo tu. Anachokisema leo kesho anakikana. Unakumbuka jinsi alivyokuwa akimponda Makamba bungeni enzi za jiwe?Ma PhD wenzake akina msukuma watamnyoosha tu. Subiri utashuhudia Kwa macho yako.
Yeye ni katibu mkuu mstaafu wakimuacha aendelee atatoboa pale chama inapopaziba. Hivyo watampeleka alipoenda PolepoleKwamba Bashiru akiendelea tena watamuacha tu hivyo hivyo wasimzibe mdomo kama Polepole?
mungu gani aliyekuambia hivyo?Wewe endelea kumsagia kunguni tu huyo Bashiru wako.
Bashiru na genge lake hawana nguvu yoyote ya kumtisha amiri jeshi wala CCM. Kwenye siasa hakuna formula ya kufuata katika kushughulika na matukio. Kila tukio linashughulikiwa kwa namna yake.
Kwa uovu na ulaghai wa serikali ya awamu ya tano ya akina Bashiru Mungu hawezi kuacha genge lao lirudi madarakani.
Tundu Lisu mwehu hajui anachopiganiaWampige risasi kama walivyofanya kwa Tundu Lissu
Nataka kujifunza uchawiKwa mfano wewe binafsi Ulitaka iweje ?
Siku yake Italian sijui kama atakujq kuyakumbukq haya yoteFanya kazi ndugu yangu. Hii tabia ya kutaka mifarakano haina faida kwako wala kwa nchi. #Umoja wa kitaifa ndiyo silaha ya ushindi ktk kuleta maendeleo🙏🙏🙏
Umaarufu wake ni aliongoza wizi wa kura nchi nzima na kuiba viti vyote vya wabunge wa upinzani Bashiru ni zaidi ya nduliJamaa ana PhD ya siasa na ameandika vitabu kadhaa vya Siasa.Hapo vip?
ana mafile machafu mno ya CCM kama akiamua kumwaga mbona inchi haitakalika.(c) Dr. Bashiru ni akili kubwa kiasi kwamba viongozi wa ccm wameufyata?
Na ni vigumu kuamini kwamba eti alikurupuka tu !! Lakini ngoja Tusubiri tuone !!Jamaa ana PhD ya siasa na ameandika vitabu kadhaa vya Siasa.Hapo vip?