CCM wanachekesha Sana, wanakwenda kuchagua bila kujua watamchagua nani!

CCM wanachekesha Sana, wanakwenda kuchagua bila kujua watamchagua nani!

Ila MAKAMU watakuwa wanamjua tayari
Hapa unapiga tu ramli. Watakuwa wanamjua kupitia mfumo upi? Wakati Katiba Yao inataka jina litolewe kwenye huo mkutano Mkuu wanaokwenda kuufanya!

Jina analo Mwenyekiti, na akilitoa Kila mwana CCM ataanza kumpamba huyo atakayekuwa ameteuliwa na kumsifu Mwenyekiti kwa weledi wake wa kumteua atakayekuwa amemteu😆
 
Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.

Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.

Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.

Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?

Machawa wanangojea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.

CC.

Machawa wote.
Allen Habari za Magari Mabovu au haupo tena huko,Hivi Katibu mkuu wa chadema mmeshamjua ?Kwa mujibu wa katiba yenu ya chadema katibu mkuu anachaguliwaje si kama makatibu wa wakuu wa mabaraza wanachukua fomu na kuomba kura?
 
Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.

Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.

Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.

Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?

Machawa wanangojea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.

CC.

Machawa wote.
KESHO KUNA NKIKAO CHA KAMATI KUU ATAJULIKANA KUWA MPOLE WEWE UTAKUWA CHADOMOOO HEBU FUATA YA HUKO VIPI LEO KIBAO KATA KIPO KWA LISSU AU WENJE MIPASHO KWAKWENDA MBELE
 
CCM wanogopa sana kushindana katika kuchaguana. Njia rahisi kwao ni kuteua ndio maana wanapata taabu sana kwenye chaguzi zinazohusisha vyama vingi. Kwenye chaguzi za ushindani hadharani ni waoga sana sijui kwanini!
Haya mambo ya kufoji kura , kupita bila kupingwa, kulazimisha favor kutoka kwa wasimamizi wa uchaguzi ni katika mwendelezo wa uoga wa kushindana.
Huyo makamu wanayeenda kumuidhinisha mpaka sasa hawamjui lakini ukweli ni kwamba ameshateuliwa. Jamii kama hii ambayo iko aleji na transparency unadhani inaweza kukomesha rushwa! Chama bado kiko katika tabia za ki-peasant.
 
Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.

Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.

Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.

Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?

Machawa wanangojea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.

CC.

Machawa wote.
CCM ni Chama kinachofuata mfumo wa Ujamaa. Mfumo wa Ujamaa ni wa watu wachache kumiliki kila kitu na wengine wote wanakuwa kama watumwa hawana maamuzi yoyote. Ndio maana wanavuruga chaguzi ili kuhakikisha kile kikundi kinaendelea kutawala bila bughudha. Ukiweka Demokrasia atachaguliwa wasiyemtaka!
 
Ndugu, ukiwa CCM hutakiwi kutumia akili zako zote ili maisha yako yawe mepesi.

Wenzako CCM wanajua ule ni uchaguzi huru na wa haki.
Yaani unaingia ukumbini hujui unakwenda kumpitisha ( si kuchagua) nani.
 
Vikao vya chama na maamuzi ya chama ni siri na siyo upayukaji kama huko CHADEMA. Kwani umeona wapi wana CCM wakilalamika? Tupo kimya kwa sababu tuna elewa kila kitu kinachopaswa kufanyika katika kila hatua na hatua zote zipo sawa na mambo ni moto moto tu na Taifa lijiandae kulipuka kwa shangwe, vifijo na nderemo

Ukondoo wa ndiyo na zidumu fikra za …….
 
Ndugu, ukiwa CCM hutakiwi kutumia akili zako zote ili maisha yako yawe mepesi.

Wenzako CCM wanajua ule ni uchaguzi huru na wa haki.
Yaani unaingia ukumbini hujui unakwenda kumpitisha ( si kuchagua) nani.

Brain wash done
 
Vikao vya chama na maamuzi ya chama ni siri na siyo upayukaji kama huko CHADEMA. Kwani umeona wapi wana CCM wakilalamika? Tupo kimya kwa sababu tuna elewa kila kitu kinachopaswa kufanyika katika kila hatua na hatua zote zipo sawa na mambo ni moto moto tu na Taifa lijiandae kulipuka kwa shangwe, vifijo na nderemo
Kuondosha mihemko na makundi ndio hakutajwa.
Kwenye mkutano atatajwa na wajumbe wanajuwa CV za viongozi wawo na watamsikiliza hoja zake atapo omba kura.
 
Huku CCM hatufanya ukurupukaji na Uropokaji kama CHADEMA.Hii ndio Maana ya CCM kuitwa chama kiongozi Barani Afrika na Tumaini la mamilioni ya watanzania
Halafu hii tabia yenu hii nyie ma - CCM ndiyo mmemwambukiza na kumfanyia kitu mbaya na kumharibu sana Mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe...

Kaileta na kuiingiza tabia hii ya ki - CCM ya uuaji, utekaji, rushwa, uongo na ubabe ndani ya CHADEMA kutoka huko kwenu CCM na sasa inamtesa, kumdhalilisha na kubangua heshima yake yote aliyoijenga CHADEMA kwa miaka zaidi ya 30...

CCM hovyo sana aisee...
 
Back
Top Bottom