Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Cdm hawana umoja wa wizi, na hata wakigawana mbao ni kiitikadi. Umoja wa ccm ni wa kulinda mali za wizi na wakwepa kodi.Vyama vya vibaraka ndio mnaiga kila. Kitu harafu mnaanza kugawana fito 🤣 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cdm hawana umoja wa wizi, na hata wakigawana mbao ni kiitikadi. Umoja wa ccm ni wa kulinda mali za wizi na wakwepa kodi.Vyama vya vibaraka ndio mnaiga kila. Kitu harafu mnaanza kugawana fito 🤣 🤣
CCM inalinda Dola sio Mali za mtu ,gawaneni fito mkimaliza mtatuambia.Cdm hawana umoja wa wizi, na hata wakigawana mbao ni kiitikadi. Umoja wa ccm ni wa kulinda mali za wizi na wakwepa kodi.
MBona huko pesa anazunguka nazo abdul kwenye brifcase na hamnaYaani Lisu anachangisha pesa zitumwe kwenye jina lake
CCM angefukuzwa alfajiri tu na jina angekatwa kuwa anatumia ofisi ya chama kujinufaisha kibinafsi kwa nafasi yaje akitumia hadi nembo ya Chadema
Chadema imepoteza mwekekeo kabisa pesa
Ingekuwa CCM angekatwa jina bila kujali jini kitatokea wakikata kama ilivyokata Jiba la Lowassa bila kujali nini kitatokea akikatwa jina
Chadema ve very bold Lisu kakiuka mno taratibu z chama kateni jina come what may
CCM tukikata jina mbona mwenyewe alirudi baadaye
Kateni tu asiwe mgombea Hawezi tumia nafasi yake kujinufaisha kibinafsi mara ohh nichangiwe gari,ada,uchaguzi nk haikubaliki michango iende chamani na chama kiidhinishe kwenye vikao mnamwachiaje Lisu kutumia nafasi yake kwa manufaa binafsi ya changia lisu?
Na kulia kwa kwikwi kama mc pilipiliKazi yake kububujikwa na machozi Kwa ajili ya mama😂
Ccm haina uwezo wa kufanya demokrasia kama ya cdm, maana karibia wote ni wachafu, wanajua wataingia aibu. Cdm ukiacha sera ukaanza kumiliki mali za wizi kama makada wa ccm, unapewa kweli yako hadharani. Siri za wanaccm sio za kisiasa, wala maslahi ya chama chao ama nchi, bali ni za wizi wa mali za umma.CCM haifanyi mambo ya kipumbavu kama ya Chadomo Ni Ujinga kutoa Fomu nyingi kama CHADEMA kisha mnaanza kutukanana kwenye Media Mwenyekiti wa CCM huchaguliwa kimyakimya kwenye Uchaguzi wa Rais wa JMT
CCM inalinda Dola sio Mali za mtu ,gawaneni fito mkimaliza mtatuambia.
Mna akili za kushikiwa na Mabeberu wenu wanaowainamisha 👇👇
View: https://x.com/YerickoNyerereT/status/1879605438859325916?t=rNkY7K5wnpDTr4SLcm6-yQ&s=19
CCM haihitaji upumbavu wa kuiga mnakoita Demokrasia ambayo imewafikisga hapa.👇👇Ccm haina uwezo wa kufanya demokrasia kama ya cdm, maana karibia wote ni wachafu, wanajua wataingia aibu. Cdm ukiacha sera ukaanza kumiliki mali za wizi kama makada wa ccm, unapewa kweli yako hadharani. Siri za wanaccm sio za kisiasa, wala maslahi ya chama chao ama nchi, bali ni za wizi wa mali za umma.
Ngoja Lisu achukue uenyekiti akatoe elimu ya uraia kwa vijana wa kisasa uone ccm itakavyonuka shombo. Na uzuri vijana wanafuata siasa za kisasa, sio hizo za chama la wazee majizi.
Inalinda Dola,kwani chama Cha siasa kinatafuta nini kama.sio.dola?Nimecheka kwa nguvu, eti ccm inalinda dola, na sio ccm inalindwa na dola.
Kabla haijawa wazi ilipataje mtu. Wakati Kinana anaondoka ulisikia Samia alisema nini?shallow
Nafasi to be be field haina campaign
If you are smart in politics , you would never posted this thread
Tufiche upumbavu wetu
Anasema CCM haiilindi dola bali dola ndiyo inayoilinda CCM.Inalinda Dola,kwani chama Cha siasa kinatafuta nini kama.sio.dola?
Ila ChoiceVariable una moyo mkuu brother😁😁Vyama vya vibaraka ndio mnaiga kila. Kitu harafu mnaanza kugawana fito 🤣 🤣
Moyo wa nini?Ila ChoiceVariable una moyo mkuu brother😁😁
Kupambania maslahi yako ndani ya ccm.Moyo wa nini?
Sina maslahi yeyote huko ccmKupambania maslahi yako ndani ya ccm.
Hata hilo tangazo kuwa kuna kipindupindu Mbeya, sielewi elewi, isije kuwa vidude vimefikaVyombo Vya Habari Vya Kimataifa Vimetangaza
Yupo zamu mwenzio. Hapo ni kutetea kila jambo la CCM na kuponda kila jambo la CHADEMA hadi anapoteza mantiki kabisa.Ila ChoiceVariable una moyo mkuu brother😁😁
Dogo CCM ni kubwa kuliko uwezo wako wa kufikiri. Hayo maswali waulize madogo wenzako. Ila ujue tu baada ya kikao cha Dodoma na kumpata Makamu Mwenyekiti wa CCM, CCM itakuwa na nguvu zaidi ya jana. Mark my words!Hapa unakaririshwa mambo. Pia CCM haipo madarakani kutokana na weledi wake bali kutokana na wizi wa kura.
Turudi kwenye hoja. Wajumbe wanakwenda Dodoma kumthibitisha nani?