CCM wanachekesha Sana, wanakwenda kuchagua bila kujua watamchagua nani!

CCM wanachekesha Sana, wanakwenda kuchagua bila kujua watamchagua nani!

Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.

Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.

Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.

Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?

Machawa wanangojea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.

CC.

Machawa wote.
Wanaenda kumthibitisha Makamu Mwenyekiti ambae atateuliwa na Kamati Kuu.

Hakuna uchaguzi unapenda kufanyika na ndio maana huwezi Kuta upuuzi kama wa huko Chadomo Kwa CCM.
 
CCM wasiri sio waropokaji kama Lusu

Vikao vyote hufuatana mfululizo

Kinaanza kikao cha kanati kuu kinakaa kinajadili jina na kulithibitisha na huwa siri

Kisha jina hilo hupelekwa kikao cha halmashauri kuu na wao hujadili na kupigia kura na kufanya siri

Wakipitisha ndipo hupelekwa kwenye mkutano mkuu wakiwa kikao ndani ambapo kuanzia hapo huwa ni wazi siku hiyo vyombo vyote linapotangazwa jina la mgombea
Hapo haiwi siri tena sababu mkutano mkuu ndio huidhinisha hilo jina

Hakuna kipengele cha katiba kilichokiukwa

Mkutano mkuu wanasubiri mchakato wa ndani wa kamati kuu na halmashauri waletewe jina
Kisha hao wagombea wa hiyo nafasi wanajinadi vipi?
 
Unauliza swali la kijinga na kitoto,huo ni utaratibu wa CCM walivyokubalina Sasa unataka wafuate utaratibu wa Vyama vyenu vinavyotegemea Nguvu ya mtu? CCM ina muundo wa kikomunist
Ni utaratibu wa CCM lakini ni wa kizamani sana.
 
Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.

Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.

Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.

Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?

Machawa wanangojea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.

CC.

Machawa wote.
Shauri wanatumia nguvu za giza kupata viongozi wao!
 
Unauliza swali la kijinga na kitoto,huo ni utaratibu wa CCM walivyokubalina Sasa unataka wafuate utaratibu wa Vyama vyenu vinavyotegemea Nguvu ya mtu? CCM ina muundo wa kikomunist
Ni kweli ambao uhai wake wote ni mbeleko ya vyombo vya dola. Chama kama ccm hakijalishi kimekaa madarakani muda gani, ila ukikitoa nje ya mbeleko ya vyombo vya dola inakuwa ni kama tofali la barafu juani.
 
Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.

Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.

Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.

Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?

Machawa wanangojea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.

CC.

Machawa wote.
Wanachagua paspo wagombea😅😅
 
Ni kweli ambao uhai wake wote ni mbeleko ya vyombo vya dola. Chama kama ccm hakijalishi kimekaa madarakani muda gani, ila ukikitoa nje ya mbeleko ya vyombo vya dola inakuwa ni kama tofali la barafu juani.
CCM sio sawa na Vyama vya vibaraka,malizeni kutukanana na kudhalilishana kwanza ndio mje uwanjani.

CCM ni chama Dola nidhamu ni namba 1 hakuna mtu wa kuchangia chama Wala fadhila
 
Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.

Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.

Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.

Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?

Machawa wanangojea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.

CC.

Machawa wote.
Haahaa, Tangu lini ccm wakawa na demokrasia?
 
Yeye ndiye muanzisha mwendo... Kwa maana nyigine hakuna mjumbe mwingine wa kamati kuu ya chama chenu Mwenye jina la anayetaka awe Makamo wa mwenyekiti wa chama chenu isipokuwa Mwenyekiti wenu Taifa.

Hivyo vikao vyenu havina nguvu Wala ubavu Mwenyekiti wenu. Vingekuwa na ubavu huo, Lowassa angekuwa mgombea wa chama chenu kwenye uchaguzi wa mwaka 2015.

Vikao vya CCM ni "rubber stamp" tu ya maamuzi ya Mwenyekiti wa chama chenu. Ndiyo maana Magufuli aliwapelekesha sana.
Kwani huko Chadema vyeo vyote hakuba mwanzisha mwendo mfano katibu mkuu wa chadema, manaibu katibu wakuu bara na visiwani huwa wanagombea hivyo vyeo?
 
Sio yeye wajumbe wote wa kamati kuu na halmashauri kuu huwa na kifua cha majina husika hadi yafike mkutano mkuu
Halafu hayo majina yanajinadi lini na wapi? Ila chama cha wazee ni vituko vitupu. Kwa cdm tunaona ushindani wa kweli wa kisiasa. Uimara na udhaifu wa kila mgombea unawekwa hadharani. Mgombea akishinda anashinda kwa ushawishi wa kisiasa, na sio hisani ya viongozi fulani.
 
CCM wasiri sio waropokaji kama Lusu

Vikao vyote hufuatana mfululizo

Kinaanza kikao cha kanati kuu kinakaa kinajadili jina na kulithibitisha na huwa siri

Kisha jina hilo hupelekwa kikao cha halmashauri kuu na wao hujadili na kupigia kura na kufanya siri

Wakipitisha ndipo hupelekwa kwenye mkutano mkuu wakiwa kikao ndani ambapo kuanzia hapo huwa ni wazi siku hiyo vyombo vyote linapotangazwa jina la mgombea
Hapo haiwi siri tena sababu mkutano mkuu ndio huidhinisha hilo jina

Hakuna kipengele cha katiba kilichokiukwa

Mkutano mkuu wanasubiri mchakato wa ndani wa kamati kuu na halmashauri waletewe jina
Shithole countries
 
Back
Top Bottom