Sio yeye wajumbe wote wa kamati kuu na halmashauri kuu huwa na kifua cha majina husika hadi yafike mkutano mkuuMama kawema majina yake kwenye sidiria.
Na hivi kajaliwa kifua kikubwa basi loh 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio yeye wajumbe wote wa kamati kuu na halmashauri kuu huwa na kifua cha majina husika hadi yafike mkutano mkuuMama kawema majina yake kwenye sidiria.
Na hivi kajaliwa kifua kikubwa basi loh 😂😂
Wewe maskini ndiyo huna ulijualo. Wagombea gani hao watakaokuwa wanajinadi?Hii ni sahihi.
Kutakuwa hakuna majungu wala makundi.
Watajuwa wakiwa kenye kikao na watasikiliza wagombea wanavyo jinadi.
Kabisa, kama kuna kitu cdm wamepatia ni huu mnyukano wa wazi wa kisiasa. Hivyo ndio ushindani wa kisiasa unapaswa kuwa. Sio watu wanaficha mambo halafu anayechaguliwa unakuta hata wajumbe hawajui amechaguliwa kwa sifa gani? Yaani ccm bado wanafanya siasa za kizamani mno.Chadema wanatufundisha sana namna ya siasa ya nchi hii zinapaswa kuwa.
Siyo kweli. Mwenyekiti ndiye hupendekeza jina la anayetaka awe Makamo mwenyekiti.Sio yeye wajumbe wote wa kamati kuu na halmashauri kuu huwa na kifua cha majina husika hadi yafike mkutano mkuu
Hawajinadi huelewi katiba ya CCM huteuliwa hawajiteui au kujaza fomu kuomba hiyo nafasi tofauti na huko kwenu ChademaWewe maskini ndiyo huna ulijualo. Wagombea gani hao watakaokuwa wanajinadi?
Inaweza ikawa mbinu nzuri ya kuepusha mtu kujitafutia kura za uongoKwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.
Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.
Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.
Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.
Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.
Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?
Machawa wanangejea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.
CC.
Machawa wote.
Ndio hateui anapendekeza kamati kuu ndio huidhinisha na halmashauri kuu na mkutano mkuuSiyo kweli. Mwenyekiti ndiye hupendekeza jina la anayetaka awe Makamo mwenyekiti.
One person show party.
Mjinga huyo hajui katiba ya CCMAliyesema mambo ya kujinadi siyo Mimi Ila ni amanij
Yaani ni kitu cha ajabu sana kwa watu wazima na wenye (kama wanazo) akili timamu kusafiri pasi kujua unaenda kumchagua nani!!!!Wewe ndiyo mpendekezaji wa hilo jina? Najua unasuburi atajwe uanze kumpamba.
Huu ni udhaifu mkubwa sana kwa CCM. Yaani maelfu ya watu wanakwenda Dodoma kigiza giza bila kuelezwa wanakwenda kumthibitisha nani?
Hata hao Kamati Kuu wenyewe hawajui ni nani atakuwa Makamo Mwenyekiti wao. Sasa wapo kwenye chama kwa kazi gani?
Bila ya kuwa muoga, mnafiki na mtu wa kujipendekeza, huwezi kuwa mwana CCM.Kweli kama alivyowahi kusema marehemu Prof. C. S. Chachage kuwa uoga na kutojiamini ndio kunakopelekea mtu mmoja kuwa amiri jeshi mkuu na mwenyekiti wa chama twawala.
MaCCM hayana maarifa, wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii, wana vichwa lakini ni vya kufugia nywele tuu.Hivi hawa watu hawajui haya mambo au wanadharau tu?
Wao si ndio wenye taarifa zote?
Hakika, wanafanya mambo yao kama mbele.Chadema wanatufundisha sana namna ya siasa ya nchi hii zinapaswa kuwa.
ChoiceVariable hawezi kukosa majibu.Kwenye hiyo hoja hakuna atakayekuja na majibu hapa
Kwa maana swali limekuwa gumu ghafla 🙌
Yeye ndiye muanzisha mwendo... Kwa maana nyigine hakuna mjumbe mwingine wa kamati kuu ya chama chenu Mwenye jina la anayetaka awe Makamo wa mwenyekiti wa chama chenu isipokuwa Mwenyekiti wenu Taifa.Ndio hateui anapendekeza kamati kuu ndio huidhinisha na halmashauri kuu na mkutano mkuu
Watu wanane wameripotiwa kufariki, hao ndio waliofariki tu, walioambukizwa hatujui. Na hakuna isolation yoyote ya maana huko.Mi ndo sijui kabisa.asanteni Kwa taarifa
Vyombo Vya Habari Vya Kimataifa VimetangazaDuh hata sielewi kumbe Kuna mambo
Huyo hawezi kuwa na jibuChoiceVariable hawezi kukosa majibu.
Mimi siyo chawa.