CCM wanachekesha Sana, wanakwenda kuchagua bila kujua watamchagua nani!

CCM wanachekesha Sana, wanakwenda kuchagua bila kujua watamchagua nani!

Wewe ndiyo mpendekezaji wa hilo jina? Najua unasuburi atajwe uanze kumpamba.

Huu ni udhaifu mkubwa sana kwa CCM. Yaani maelfu ya watu wanakwenda Dodoma kigiza giza bila kuelezwa wanakwenda kumthibitisha nani?

Hata hao Kamati Kuu wenyewe hawajui ni nani atakuwa Makamo Mwenyekiti wao. Sasa wapo kwenye chama kwa kazi gani?
Haya ni matutusa
 
Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.
CCM wasiri sio waropokaji kama Lusu

Vikao vyote hufuatana mfululizo

Kinaanza kikao cha kanati kuu kinakaa kinajadili jina na kulithibitisha na huwa siri

Kisha jina hilo hupelekwa kikao cha halmashauri kuu na wao hujadili na kupigia kura na kufanya siri

Wakipitisha ndipo hupelekwa kwenye mkutano mkuu wakiwa kikao ndani ambapo kuanzia hapo huwa ni wazi siku hiyo vyombo vyote linapotangazwa jina la mgombea
Hapo haiwi siri tena sababu mkutano mkuu ndio huidhinisha hilo jina

Hakuna kipengele cha katiba kilichokiukwa

Mkutano mkuu wanasubiri mchakato wa ndani wa kamati kuu na halmashauri waletewe jina
 
Hivi hawa watu hawajui haya mambo au wanadharau tu?

Wao si ndio wenye taarifa zote?
Wanadharau Wakati UN Imetangaza Mpaka Idadi Ya Vifo
Pia Ban Ya Kutosafiri Ili Kuepusha Kusambaza Vifusi
Watapukutika Hawa

in Magembe Voice
Utakufa Vibaya Wewe, Nakuonea Huruma
 
Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.

Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.

Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.

Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?

Machawa wanaogejea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.

CC.

Machawa wote.
Hivi huo mkutano wa CCM ni wa siri, mbona hausikiki?
 
Hivi huo mkutano wa CCM ni wa siri, mbona hausikiki?
Vikao vya kamati kuu na halmashauri kuu kwenye kuteua jina huwa siri
Wakimaliza process jina likipelekwa mkutano mkuu ndipo huwa sio siri tena hywa wazi kwa public
 
CCM wasiri sio waropokaji kama Lusu

Vikao vyote hufuatana mfululizo

Kinaanza kikao cha kanati kuu kinakaa kinajadili jina na kulithibitisha na huwa siri

Kisha jina hilo hupelekwa kikao cha halmashauri kuu na wao hujadili na kupigia kura na kufanya siri

Wakipitisha ndipo hupelekwa kwenye mkutano mkuu wakiwa kikao ndani ambapo kuanzia hapo huwa ni wazi siku hiyo vyombo vyote linapotangazwa jina la mgombea
Hapo haiwi siri tena sababu mkutano mkuu ndio huidhinisha hilo jina

Hakuna kipengele cha katiba kilichokiukwa

Mkutano mkuu wanasubiri mchakato wa ndani wa kamati kuu na halmashauri waletewe jina
Maelezo mareefu lakini umerudia kuandika nilichoandika. Kuna mahali nimekosoa huo mfuatano wa vikao vyenu?

Hoja yangu ni aina siasa za kizamani kusomba maelfu ya watu toka mikoa yote ya nchi kwenda kumpigia kura mtu wasiyejua atakuwa nani!

Yaani Leo siku 3 kabla ya mkutano wajumbe hawajui wanakwenda kumthibitisha nani wewe unaona sawa.

Nani anajua huyo anayekwenda kuthibitishwa ni nani zaidi ya Mwenyekiti wa chama chenu?
 
Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.

Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.

Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.

Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?

Machawa wanaogejea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.

CC.

Machawa wote.
Wakina makala na ile top layer ya mafisadi wakuu wa ccm wote wanajua fisadi mwenzao wanayekwenda kumpachika kwenye hiyo nafasi, ni vidagaa wa humu tu wasiomjua mteuliwa
 
Wanadharau Wakati UN Imetangaza Mpaka Idadi Ya Vifo
Pia Ban Ya Kutosafiri Ili Kuepusha Kusambaza Vifusi
Watapukutika Hawa

in Magembe Voice
Utakufa Vibaya Wewe, Nakuonea Huruma
Duh hata sielewi kumbe Kuna mambo
 
Maelezo mareefu lakini umerudia kuandika nilichoandika. Kuna mahali nimekosoa huo mfuatano wa vikao vyenu?

Hoja yangu ni aina siasa za kizamani kusomba maelfu ya watu toka mikoa yote ya nchi kwenda kumpigia kura mtu wasiyejua atakuwa nani!

Yaani Leo siku 3 kabla ya mkutano wajumbe hawajui wanakwenda kumthibitisha nani wewe unaona sawa.

Nani anajua huyo anayekwenda kuthibitishwa ni nani zaidi ya Mwenyekiti wa chama chenu?
Wanasombwa kwenda kikaoni kumjadili na kumpitisha sio barabarani

CCM anajadiliwa kiikaoni sio mabarabarani kama nyie Chadema

Katiba inataka myeuliwa ajadikiwe kikaoni

Katiba ya CCM sio ya kihayawani kama ya Chadema mtu hahadilliwi vikaoni anajadili hata vyooni watu wakiwa wanajisaidia haja kubwa

Wajumbe hubebwa kwenda kwenye vikao jina wanapewa vikaoni sio kwenye mabasi au bodaboda barabarani

Katiba 8batamka vikao sio barabarani
 
Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.

Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.

Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.

Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?

Machawa wanangejea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.

CC.

Machawa wote.
Mama kaweka majina yake kwenye sidiria.
Na hivi kajaliwa kifua kikubwa basi loh 😂😂
 
Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.

Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.

Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.

Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?

Machawa wanangejea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.

CC.

Machawa wote.
Hii ni sahihi.
Kutakuwa hakuna majungu wala makundi.
Watajuwa wakiwa kenye kikao na watasikiliza wagombea wanavyo jinadi.
 
jina wanapewa vikaoni sio kwenye mabasi au bodaboda barabarani
Tunajua watapewa kikaoni. Ila huoni kupewa jina siku moja kabla ya kumchagua huyo mtu ni aina fulani hivi ya siasa za kizamani?
 
Back
Top Bottom