Ungekua mchoyo wa fadhila kama usingemtag lucas 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekua mchoyo wa fadhila kama usingemtag lucas 🤣🤣
Vikao vya chama na maamuzi ya chama ni siri na siyo upayukaji kama huko CHADEMA. Kwani umeona wapi wana CCM wakilalamika? Tupo kimya kwa sababu tuna elewa kila kitu kinachopaswa kufanyika katika kila hatua na hatua zote zipo sawa na mambo ni moto moto tu na Taifa lijiandae kulipuka kwa shangwe, vifijo na nderemoSawa. Twende taratibu, huko kwenye kamati Kuu anayependekeza ni nani na vigezo vinavyotumika hadi mtu apendekezwe ni vipi?
Au ni kama Mazombi tu 😆😆Hawa ndiyo walistahili kuitwa nyumbu maana wanafuata mkumbo tu.
Wewe unamjua atakayependekezwa?Vikao vya chama na maamuzi ya chama ni siri na siyo upayukaji kama huko CHADEMA. Kwani umeona wapi wana CCM wakilalamika? Tupo kimya kwa sababu tuna elewa kila kitu kinachopaswa kufanyika katika kila hatua na hatua zote zipo sawa na mambo ni moto moto tu na Taifa lijiandae kulipuka kwa shangwe, vifijo na nderemo
NDIOWewe unamjua atakayependekezwa?
Uongo uongo wa mwenyekiti, makamu wake na fujo.Chadema wanatufundisha sana namna ya siasa ya nchi hii zinapaswa kuwa.
Mwamba kalamba bingo kiulaiini.Hela zipo zinawawasha si unaona Mbowe kawatekenya kidogo tu wamempa 12b
Inawafundisha jinsi ya kunga'ng'ania uwenyekiti? Hahaha! Au jinsi ya kufanya chama cha siasa kuwa cha familia? Hahaha haha!Chadema wanatufundisha sana namna ya siasa ya nchi hii zinapaswa kuwa.
Kinyonge sanaNDIO
na kububujikwa na machozi mh chawa LucaVikao vya chama na maamuzi ya chama ni siri na siyo upayukaji kama huko CHADEMA. Kwani umeona wapi wana CCM wakilalamika? Tupo kimya kwa sababu tuna elewa kila kitu kinachopaswa kufanyika katika kila hatua na hatua zote zipo sawa na mambo ni moto moto tu na Taifa lijiandae kulipuka kwa shangwe, vifijo na nderemo
CCM ni chama kikubwa Afrika namba mbili baada ya ANC. Kwa chama kilichokaa madarakani muda mrefu sana Afrika, CCM ni namba moja.Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.
Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.
Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.
Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.
Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.
Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?
Machawa wanaogejea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.
CC.
Machawa wote.
Mfumo wa Papa umeegemezwa kwenye nadharia za KIROHO kwamba Makadinali wataongozwa na roho mtakatifu kumchagua Papa.Kwani papa huwa anapatikanaje? Hiyo ni mifumo tu,na ndo ujue nguvu ya siri,sasa kama wa kipitisha anajilikana mapema mkutani wa nini?
Nitajie PM then nisubiri weekend nije nione ukweli wakoNDIO
Hapa unakaririshwa mambo. Pia CCM haipo madarakani kutokana na weledi wake bali kutokana na wizi wa kura.CCM ni chama kikubwa Afrika namba mbili baada ya ANC. Kwa chama kilichokaa madarakani muda mrefu sana Afrika, CCM ni namba moja.
Usiisharau wala kuichezea hii CV.
CCM tumefundwa na kufundishwa kutunza siri.siwezi kamwe na katu kukwambia kabla ya kutolewa kwa taarifa rasmi.Nitajie PM then nisubiri weekend nije nione ukweli wako
Wewe ndiyo mpendekezaji wa hilo jina? Najua unasuburi atajwe uanze kumpamba.CCM tumefundwa na kufundishwa kutunza siri.siwezi kamwe na katu kukwambia kabla ya kutolewa kwa taarifa rasmi.
Hata kama humjui unapaswa kumchagua tu, Vinginevyo utatekwaKwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.
Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.
Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.
Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.
Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.
Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?
Machawa wanaogejea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.
CC.
Machawa wote.
Wanayekwenda kumpigia kura hajulikani, Sasa huo msisimko utatoka wapi?Mbona uchaguzi hauno mvuto