CCM wanachekesha Sana, wanakwenda kuchagua bila kujua watamchagua nani!

CCM wanachekesha Sana, wanakwenda kuchagua bila kujua watamchagua nani!

CCM sio sawa na Vyama vya vibaraka,malizeni kutukanana na kudhalilishana kwanza ndio mje uwanjani.

CCM ni chama Dola nidhamu ni namba 1 hakuna mtu wa kuchangia chama Wala fadhila
Yaani Lisu anachangisha pesa zitumwe kwenye jina lake

CCM angefukuzwa alfajiri tu na jina angekatwa kuwa anatumia ofisi ya chama kujinufaisha kibinafsi kwa nafasi yaje akitumia hadi nembo ya Chadema

Chadema imepoteza mwekekeo kabisa pesa

Ingekuwa CCM angekatwa jina bila kujali jini kitatokea wakikata kama ilivyokata Jiba la Lowassa bila kujali nini kitatokea akikatwa jina

Chadema ve very bold Lisu kakiuka mno taratibu z chama kateni jina come what may

CCM tukikata jina mbona mwenyewe alirudi baadaye

Kateni tu asiwe mgombea Hawezi tumia nafasi yake kujinufaisha kibinafsi mara ohh nichangiwe gari,ada,uchaguzi nk haikubaliki michango iende chamani na chama kiidhinishe kwenye vikao mnamwachiaje Lisu kutumia nafasi yake kwa manufaa binafsi ya changia lisu?
 
CCM haitegemei huo upuuzi wa Wazungu Bali utaratibu wa kikomunist, Demokrasia ndio mdudu gani? Huko mnakodhalilishana kutukananana ndio Demokrasia si ndio? 🤣🤣
Kwani huo mfumo wa kikomunist ni watu weusi? Ama umevurugwa hadi hujui uongee nini? Nakumbuka ulikuwa unasema ww sio ccm bali ni muumini wa sera za Samia. Lakini naona hapa umeingia kwenye 18 za wanajf, uccm wako wote uko hadharani, na tunakulambisha mchanga vibaya sana.
 
Vikao vya chama na maamuzi ya chama ni siri na siyo upayukaji kama huko CHADEMA. Kwani umeona wapi wana CCM wakilalamika? Tupo kimya kwa sababu tuna elewa kila kitu kinachopaswa kufanyika katika kila hatua na hatua zote zipo sawa na mambo ni moto moto tu na Taifa lijiandae kulipuka kwa shangwe, vifijo na nderemo
Nyie misukule ndio mmeaminishwa hivyo vikao ni siri karne ya 21 hii, kweli nyumbu wapo kijani kibichi
 
Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.

Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.

Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.

Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?

Machawa wanangojea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.

CC.

Machawa wote.
Kwa hiyo chadema ndio inaonyesha demokrasia yao kwa vitendo na ndio baba wa demokrasia na maendeleo si ndio?
 
Chadema kwenu kuna fuka moshi
Kinachofanyika cdm ndio demokrasia halisi, huko kwenye chama la majizi ni mwendo wa ndio mzee na nidhamu za kinafki. Kwa tafsiri ya chama la majizi kinachofanyika cdm ni kufuka moshi😂
 
Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.

Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.

Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.

Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?

Machawa wanangojea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.

CC.

Machawa wote.
Duh 🙄 !
Kumbee !
 
Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.

Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.

Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.

Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?

Machawa wanangojea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.

CC.

Machawa wote.
Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.

Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.

Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.

Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?

Machawa wanangojea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.

CC.

Machawa wote.
shallow

Nafasi to be be field haina campaign

If you are smart in politics , you would never posted this thread

Tufiche upumbavu wetu
 
Vikao vya chama na maamuzi ya chama ni siri na siyo upayukaji kama huko CHADEMA. Kwani umeona wapi wana CCM wakilalamika? Tupo kimya kwa sababu tuna elewa kila kitu kinachopaswa kufanyika katika kila hatua na hatua zote zipo sawa na mambo ni moto moto tu na Taifa lijiandae kulipuka kwa shangwe, vifijo na nderemo
Mtalalamika kisha mwenyekiti wenu atumie kofia yake ya urais kuagiza lile kundi lake la watu wasiojulikana? Na wanaccm wengi wanamiliki mali za wizi, ukifungua mdomo tu unakomolewa. Mfano mrahisi, unamjua mmliki wa ghorofa lililoporomoka hapo kariakoo, amekamatwa? Hao ndio wajumbe wa ccm. Watu wa aina hiyo unategemea wahoji chochote?
 
Kwa siku mbili kati ya tarehe 18,19/01/2025, CCM itakuwa na mkutano wake maalum huko Dodoma.

Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, wajumbe watapiga kura ya kumthibitisha (siyo kumchagua ) Makamo Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanganyika.

Leo siku tatu kabla ya mkutano huo kuanza, wajumbe hawajui ni nani wanayekwenda kumthibitisha awe Makamo Mwenyekiti wao kwa upande wa Tanganyika.

Katiba ya CCM inasema kuwa, Makamo wa Mwenyekiti atapendekezwa na Kamati Kuu kwa Halmashauri Kuu ya chama hicho ambayo ndiyo itapendekeza Kwa mkutano Mkuu, jina la anayetakiwa awe Makamo Mwenyekiti kwa ajili ya kuthibitishwa.

Sasa hao wajumbe mpaka Leo hawajui nani atakuwa Makamo wa Mwenyekiti wao, halafu CCM inajisifu kuwa yenyewe ni chama kikubwa.

Chama gani kikubwa kinachoendesha mambo kizamani sana kama jando au unyago?

Machawa wanangojea waletewe kiongozi wasiyemjua wala kumchagua, waanze kumpamba.

CC.

Machawa wote.
Tuna hisi na kuwaza ila ndani ya dimbwi chura kagunduwa kuna nyoka mkali na hana sumu yakumuondoa nyoka huyo pindi atamfikia... jambo lakutisha amehunduwa nyoka huyo anapenda chura
 
Africa mashariki mkuu. Hata huu mshikemshike wa cdm wanauonea kijicho, maana wanajua wananchi wanaona ushindani wa kweli wa kisiasa.
Kwa ccm ni full ukondoo, Yaani jina la makamu mwenyekiti litoke kwenye pochi ya mwenyekiti kweli? Zama hizi😂😂
 
Yaani Lisu anachangisha pesa zitumwe kwenye jina lake

CCM angefukuzwa alfajiri tu na jina angekatwa kuwa anatumia ofisi ya chama kujinufaisha kibinafsi kwa nafasi yaje akitumia hadi nembo ya Chadema

Chadema imepoteza mwekekeo kabisa pesa

Ingekuwa CCM angekatwa jina bila kujali jini kitatokea wakikata kama ilivyokata Jiba la Lowassa bila kujali nini kitatokea akikatwa jina

Chadema ve very bold Lisu kakiuka mno taratibu z chama kateni jina come what may

CCM tukikata jina mbona mwenyewe alirudi baadaye

Kateni tu asiwe mgombea Hawezi tumia nafasi yake kujinufaisha kibinafsi mara ohh nichangiwe gari,ada,uchaguzi nk haikubaliki michango iende chamani na chama kiidhinishe kwenye vikao mnamwachiaje Lisu kutumia nafasi yake kwa manufaa binafsi ya changia lisu?
Kule hakuna chama Bali ni saccos ya Mbowe ,hao vibaraka wengine wamevamia tuu 🤣🤣
 
Kwa ccm ni full ukondoo, Yaani jina la makamu mwenyekiti litoke kwenye pochi ya mwenyekiti kweli? Zama hizi😂😂
Lazima wawe makondoo boss, maana wengi wanamiliki mali za wizi, wakipandisha sauti tu TRA wanatumwa kufanya ukaguzi kwenye miradi yao isiyolipa kodi.
 
Back
Top Bottom