CCM wanaipenda sana hii kauli ambayo Rais Hichilema ameipinga

CCM wanaipenda sana hii kauli ambayo Rais Hichilema ameipinga

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Mara kibao CCM na wapiga mapambi wamekuwa wakisema "Rais anaangushwa na wateule/wasaidizi wake".

Hii kauli Hichilema anaipinga vikali. Anasema uzwazwa wa wateule/wasidizi ndiyo unaakisi uwezo wa aliyewateua.

20220924_220251.jpg
 
Ni nani aliyekudanganya Kuwa Hichilema ndo 'SI Unit' yaani wote wachukue anachosema....!

Hayo ni Maoni Yake 'Za kuambiwa Changanya Na Zako Baba'

Acha Watu Walambe Asali...!
Sasa ivi Wote Wanalamba Wapinzani Na hao unaowasimanga...!
 
Ni nani aliyekudanganya Kuwa Hichilema ndo 'SI Unit' yaani wote wachukue anachosema....!

Hayo ni Maoni Yake 'Za kuambiwa Changanya Na Zako Baba'

Acha Watu Walambe Asali...!
Sasa ivi Wote Wanalamba Wapinzani Na hao unaowasimanga...!

Huyo Hichilema anaongea ukweli, na ameamua kuondoa ufahari wa viongozi wanaoingia madarakani kwa wizi wa kura. Kinachomfanya huyo rais wa Zambia ajaimini na kukataa kuabudiwa, ni kwakuwa yuko madarakani kwa kura halali.
 
Halafu hawa jamaa zetu badala ya wao kushauriwa wanageuka kuwa washauri wa wale walio ajiriwa kuwashauri.
 
Back
Top Bottom