CCM wanaishi kwa Uongo, Na hii ndo laana Kuu itakayoliandama hili Taifa milele CCM likiendelea kuwa chini ya CCM

CCM wanaishi kwa Uongo, Na hii ndo laana Kuu itakayoliandama hili Taifa milele CCM likiendelea kuwa chini ya CCM

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Kuna masuala yapo kiroho. Kuna mambo yanatupata leo kutokana na misingi iliyowekwa kiroho ambayo bila kuondoa mzizi mkuu kamwe hatutakuja kupata suluhisho.

CCM wanaishi kwa uongo na hii ndo dhambi kubwa itakayoendelea kulitesa hili Taifa hadi pale yatakapotokea mabadiliko kwa CCM kuondoka.

Chanzo cha haya kilianza wakati Nyerere alivyochagua kuishi kwa uongo ili kupandikiza chuki kwa Watanzania dhidi ya aliyekuwa swahiba wake na moja ya kipenzi cha watanzania Bw. Oscar Kambona( Katibu Mkuu wa kwanza wa TANU).

Matatizo mengi yanayoikumba Tanzania ya leo mzizi wake ni Nyerere kukataa ushauri wa Kambona kuhusu sera bora za kuiongoza Tanzania baada ya Uhuru.

Wakati Nyerere alitaka kuchukua sera za ujamaa na kujitegemea, Kambona alitaka kuchukua njia tofauti ambayo ingehakikisha ustawi mkubwa wa Wananchi na maendeleo kwa miaka mingi mbeleni.

Tutakumbuka utaifishaji wa viwanda, mabenki na taasisi mbalimbali halikuwa jambo lilioungwa mkono na Kambona ambapo pamoja na kutoeleweka kipindi kile alikuja kueleweka pale Watanzania waliposhindwa kuendesha viwanda na taasisi hizo hadi vilipokuja kufa kwa aibu.

Dhambi aliyoifanya nyerere ya kutengeneza propaganda dhidi ya Kambona ili kuwafanya Watanzania wapumbazwe na wasifikiri kuhusu hoja za Kambona ndo dhambi kubwa inayoendelea kulitafuna Taifa letu hadi leo.

Hadi leo CCM hawaishi kwenye ukweli, wanauchukia ukweli na ukitaka kugombana nao jaribu tu kuwaambia ukweli.

Uongo wa CCM umeendelea kuitafuna hii nchi mpaka sasa kwenye mambo mengi wananchi wameuzoea uongo. Viongozi kujifanya kukumbatia dini ili kuwafanya wanachi kuwa makondoo huku wakikikuka misingi inayowekwa na dini zenyewe kama kuiba uchaguzi limekuwq jambo la kawaida sana nchini.

Tunayoona leo kwa wanaosema ukweli dhidi ya CCM na Serikali kutukanwa, kusemwa vibaya na kudhalilishwa ni mambo aliyoyaasisi Mwl. Nyerere dhidi ya a true son of Tanganyika Oscar Kambona.

Ukiskia sijui Wastaafu wanawashwawashwa, umekula nchi sasa umestaafu kaa kimya, Sijui kwa nini usiseme kwenye vikao unaongea na waandishi wa habari jua tu hizi ni siasa za ulaghai zilizoasisiwa na CCM ya Nyerere ambazo kwa miaka mingi zimeendelea kuwa kama kansa kwa Taifa letu.

Kila siku na nitasema. Pona ya nchi yetu ni siku CCM itakapoondoka madarakani. Ni pale tutakapopata Katiba inakayoweka misingi mizuri ya kuliendesha hili Taifa.

R.I.P Oscar Kambona

You will remain to be a True Hero of Tanzania.


Siku nikiwa Rais, Nishani ya kwanza nitaitoa kwa Oscar Kambona. Ingawa najua wataipokea wajukuu wa vitukuu vyake ila lazima hili jambo litafanyika

Insha Allah!
 
Kuna masuala yapo kiroho. Kuna mambo yanatupata leo kutokana na misingi iliyowekwa kiroho ambayo bila kuondoa mzizi mkuu kamwe hatutakuja kupata suluhisho.

CCM wanaishi kwa uongo na hii ndo dhambi kubwa itakayoendelea kulitesa hili Taifa hadi pale yatakapotokea mabadiliko kwa CCM kuondoka.

Chanzo cha haya kilianza wakati Nyerere alivyochagua kuishi kwa uongo ili kupandikiza chuki kwa Watanzania dhidi ya aliyekuwa swahiba wake na moja ya kipenzi cha watanzania Bw. Oscar Kambona( Katibu Mkuu wa kwanza wa TANU).

Matatizo mengi yanayoikumba Tanzania ya leo mzizi wake ni Nyerere kukataa ushauri wa Kambona kuhusu sera bora za kuiongoza Tanzania baada ya Uhuru.

Wakati Nyerere alitaka kuchukua sera za ujamaa na kujitegemea, Kambona alitaka kuchukua njia tofauti ambayo ingehakikisha ustawi mkubwa wa Wananchi na maendeleo kwa miaka mingi mbeleni.

Tutakumbuka utaifishaji wa viwanda, mabenki na taasisi mbalimbali halikuwa jambo lilioungwa mkono na Kambona ambapo pamoja na kutoeleweka kipindi kile alikuja kueleweka pale Watanzania waliposhindwa kuendesha viwanda na taasisi hizo hadi vilipokuja kufa kwa aibu.

Dhambi aliyoifanya nyerere ya kutengeneza propaganda dhidi ya Kambona ili kuwafanya Watanzania wapumbazwe na wasifikiri kuhusu hoja za Kambona ndo dhambi kubwa inayoendelea kulitafuna Taifa lwtu hadi leo.

Hadi leo CCM hawaishi kwenye ukweli, wanauchukia ukweli na ukitaka kugombana nao jaribu tu kuwaambia ukweli.

Uongo wa CCM umeendelea kuitafuna hii nchi mpaka sasa kwenye mambo mengi wananchi wameuzoea uongo. Viongozi kujifanya kukumbatia dini ili kuwafanya wanachi kuwa makondoo huku wakikikuka misingi inayowekwa na dini zenyewe kama kuiba uchaguzi limekuwq jambo la kawaida sana nchini.

Kila siku na nitasema. Pona ya nchi yetu ni siku CCM itakapoondoka madarakani. Ni pale tutakapopata Katiba inakayoweka misingi mizuri ya kuliendesha hili Taifa.

R.I.P Oscar Kambona

You will remain to be a True Hero of Tanzania.


Siku nikiwa Rais, Nishani ya kwanza nitaitoa kwa Oscar Kambona. Ingawa najua wataipokea wajukuu wa vitukuu vyake ila lazima hili jambo litafanyika

Insha Allah!
CCM ikiendelea kuwa chini ya CCM, hapo umetumia tungo tata, naomba ufafanuzi
 
CCM inaweza kuwa tatizo kweli lakini tatizo kubwa la nchi yetu ni sisi wenyewe
Tatizo ni jamii hadi hapo tukipata changamoto za kutisha kwenye familia zetu ndipo mafuvu yatarudishiwa akili

Tukisikia watu wametekwa, wamepotezwa ama wametupwa tunaona ni kawaida hasa ukiambiwa kufa kila mtu atakufa tu, ama wabongo wanapenda kuangalia tamthilia, (series), a.k.a drama
 
  • Thanks
Reactions: IIS
Mods nisaidie kurekebisha heading

Isomeke ......Nchi ikiendelea kuwa chini ya Ccm
Mkuu, tuna muda mchache, hatutarekebisha, wewe ulikuwa unakimbizwa na nini kupost? Wacha watu wajue uwezo wako wa akili
 
Mimi najiuliza miaka 100 ijayo kutakuwa na nchi inaitwa Tanzania au hata Tanganyika?
 
Mimi najiuliza miaka 100 ijayo kutakuwa na nchi inaitwa Tanzania au hata Tanganyika?
Bila kufanyika njia zozote zitakazohakikisha CCM inaondoka basi ndo tujue tumepotezea mazima
 
Kuna masuala yapo kiroho. Kuna mambo yanatupata leo kutokana na misingi iliyowekwa kiroho ambayo bila kuondoa mzizi mkuu kamwe hatutakuja kupata suluhisho.
ni kweli
CCM wanaishi kwa uongo na hii ndo dhambi kubwa itakayoendelea kulitesa hili Taifa
sii kweli
hadi pale yatakapotokea mabadiliko kwa CCM kuondoka.
CCM haiwezi kuondoka,labda iondoshwe,its very unfortunately bado hakuna wa kuiondosha!。
Chanzo cha haya kilianza wakati Nyerere alivyochagua kuishi kwa uongo ili kupandikiza chuki kwa Watanzania dhidi ya aliyekuwa swahiba wake na moja ya kipenzi cha Watanzania Bw. Oscar Kambona( Katibu Mkuu wa kwanza wa TANU).
Si kweli
Matatizo mengi yanayoikumba Tanzania ya leo mzizi wake ni Nyerere kukataa ushauri wa Kambona kuhusu sera bora za kuiongoza Tanzania baada ya Uhuru.
sii kweli
Wakati Nyerere alitaka kuchukua sera za ujamaa na kujitegemea, Kambona alitaka kuchukua njia tofauti ambayo ingehakikisha ustawi mkubwa wa Wananchi na maendeleo kwa miaka mingi mbeleni.
ni kweli
Tutakumbuka utaifishaji wa viwanda, mabenki na taasisi mbalimbali halikuwa jambo lilioungwa mkono na Kambona ambapo pamoja na kutoeleweka kipindi kile alikuja kueleweka pale Watanzania waliposhindwa kuendesha viwanda na taasisi hizo hadi vilipokuja kufa kwa aibu.
ni kweli
Dhambi aliyoifanya Nyerere ya kutengeneza propaganda dhidi ya Kambona ili kuwafanya Watanzania wapumbazwe na wasifikiri kuhusu hoja za Kambona ndo dhambi kubwa inayoendelea kulitafuna Taifa letu hadi leo.
Sii kweli
Hadi leo CCM hawaishi kwenye ukweli, wanauchukia ukweli na ukitaka kugombana nao jaribu tu kuwaambia ukweli.
ni kweli
Uongo wa CCM umeendelea kuitafuna hii nchi mpaka sasa kwenye mambo mengi wananchi wameuzoea uongo.
sii kweli
Viongozi kujifanya kukumbatia dini ili kuwafanya wanachi kuwa makondoo huku wakikikuka misingi inayowekwa na dini zenyewe kama kuiba uchaguzi limekuwq jambo la kawaida sana nchini.
ni kweli
Tunayoona leo kwa wanaosema ukweli dhidi ya CCM na Serikali kutukanwa, kusemwa vibaya na kudhalilishwa ni mambo aliyoyaasisi Mwl. Nyerere
sii kweli
dhidi ya a true son of Tanganyika Oscar Kambona.
Sii kweli,Oscal Kambona,John Lifa Chipaka,Michael Kamaliza,Kanyama Chiume,Abedi Amani Karume,Mtawali,na wengine wengi tuu sio true sons of Tanganyika,hawa ni Wamalawi!。
Ukiskia sijui Wastaafu wanawashwawashwa, umekula nchi sasa umestaafu kaa kimya, Sijui kwa nini usiseme kwenye vikao unaongea na waandishi wa habari jua tu hizi ni siasa za ulaghai zilizoasisiwa na CCM ya Nyerere ambazo kwa miaka mingi zimeendelea kuwa kama kansa kwa Taifa letu.
Ni kweli na sii kweli
Kila siku na nitasema. Pona ya nchi yetu ni siku CCM itakapoondoka madarakani.
utasubiri sana!
Ni pale tutakapopata Katiba inakayoweka misingi mizuri ya kuliendesha hili Taifa.
naunga mkono hoja
P
 
Kuna masuala yapo kiroho. Kuna mambo yanatupata leo kutokana na misingi iliyowekwa kiroho ambayo bila kuondoa mzizi mkuu kamwe hatutakuja kupata suluhisho.

CCM wanaishi kwa uongo na hii ndo dhambi kubwa itakayoendelea kulitesa hili Taifa hadi pale yatakapotokea mabadiliko kwa CCM kuondoka.

Chanzo cha haya kilianza wakati Nyerere alivyochagua kuishi kwa uongo ili kupandikiza chuki kwa Watanzania dhidi ya aliyekuwa swahiba wake na moja ya kipenzi cha watanzania Bw. Oscar Kambona( Katibu Mkuu wa kwanza wa TANU).

Matatizo mengi yanayoikumba Tanzania ya leo mzizi wake ni Nyerere kukataa ushauri wa Kambona kuhusu sera bora za kuiongoza Tanzania baada ya Uhuru.

Wakati Nyerere alitaka kuchukua sera za ujamaa na kujitegemea, Kambona alitaka kuchukua njia tofauti ambayo ingehakikisha ustawi mkubwa wa Wananchi na maendeleo kwa miaka mingi mbeleni.

Tutakumbuka utaifishaji wa viwanda, mabenki na taasisi mbalimbali halikuwa jambo lilioungwa mkono na Kambona ambapo pamoja na kutoeleweka kipindi kile alikuja kueleweka pale Watanzania waliposhindwa kuendesha viwanda na taasisi hizo hadi vilipokuja kufa kwa aibu.

Dhambi aliyoifanya nyerere ya kutengeneza propaganda dhidi ya Kambona ili kuwafanya Watanzania wapumbazwe na wasifikiri kuhusu hoja za Kambona ndo dhambi kubwa inayoendelea kulitafuna Taifa letu hadi leo.

Hadi leo CCM hawaishi kwenye ukweli, wanauchukia ukweli na ukitaka kugombana nao jaribu tu kuwaambia ukweli.

Uongo wa CCM umeendelea kuitafuna hii nchi mpaka sasa kwenye mambo mengi wananchi wameuzoea uongo. Viongozi kujifanya kukumbatia dini ili kuwafanya wanachi kuwa makondoo huku wakikikuka misingi inayowekwa na dini zenyewe kama kuiba uchaguzi limekuwq jambo la kawaida sana nchini.

Tunayoona leo kwa wanaosema ukweli dhidi ya CCM na Serikali kutukanwa, kusemwa vibaya na kudhalilishwa ni mambo aliyoyaasisi Mwl. Nyerere dhidi ya a true son of Tanganyika Oscar Kambona.

Ukiskia sijui Wastaafu wanawashwawashwa, umekula nchi sasa umestaafu kaa kimya, Sijui kwa nini usiseme kwenye vikao unaongea na waandishi wa habari jua tu hizi ni siasa za ulaghai zilizoasisiwa na CCM ya Nyerere ambazo kwa miaka mingi zimeendelea kuwa kama kansa kwa Taifa letu.

Kila siku na nitasema. Pona ya nchi yetu ni siku CCM itakapoondoka madarakani. Ni pale tutakapopata Katiba inakayoweka misingi mizuri ya kuliendesha hili Taifa.

R.I.P Oscar Kambona

You will remain to be a True Hero of Tanzania.


Siku nikiwa Rais, Nishani ya kwanza nitaitoa kwa Oscar Kambona. Ingawa najua wataipokea wajukuu wa vitukuu vyake ila lazima hili jambo litafanyika

Insha Allah!
gentleman,
unapotosha wadau huku ukituhumu wengine kwa usushi wa kutunga.

hiyo ni useless na completely nonsense. Ni muhimu wadau kupuuza mambo ya hovyo kama upotoshaji huu 🐒
 
ni kweli

sii kweli

CCM haiwezi kuondoka,labda iondoshwe,its very unfortunately bado hakuna wa kuiondosha!。

Si kweli

sii kweli

ni kweli

ni kweli

Sii kweli

ni kweli

sii kweli

ni kweli

sii kweli

Sii kweli,Oscal Kambona,John Lifa Chipaka,Michael Kamaliza,Kanyama Chiume,Abedi Amani Karume,Mtawali,na wengine wengi tuu sio true sons of Tanganyika,hawa ni Wamalawi!。

Ni kweli na sii kweli

utasubiri sana!

naunga mkono hoja
P
Asante Mkuu Pascal
 
gentleman,
unapotosha wadau huku ukituhumu wengine kwa usushi wa kutunga.

hiyo ni useless na completely nonsense. Ni muhimu wadau kupuuza mambo ya hovyo kama upotoshaji huu 🐒
Upotoshaji ni upi hapo?
 
Upotoshaji ni upi hapo?
mwanzo hadi mwisho wa hoja yako ni upotoshaji mtupu, tena wakiwango kibaya mno, usio vumilika ni bahati ustaarabu, ustahimilivu na subra za wadau na wana ccm ni wa kiwango cha juu sana Africa na duniani kote na ndiyo maana wanaendelea kutawala nchi kwa amani na utulivu wa kiwango cha mfano wa kuigwa na dunia nzima :pulpTRAVOLTA:
 
CCM inaweza kuwa tatizo kweli lakini tatizo kubwa la nchi yetu ni sisi wenyewe
There you are!,nimejitahidi sana kuwaelimisha wapinzani kitu kinachoitwa focus na targets,usipokuwa na good focus,huwezi ku hit the target Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
Wanabodi,

Katika thread moja humu jukwaani, nimekutana na mchango wa mwana jf huyu Mkuu jogi,

Kutokana na kauli hiyo, ya Mkuu jogi,
nimekuwa inspired kuandika kidogo kuhusu adui mkuu wa Tanzania wengi wakidhani ni CCM, kumbe adui yetu mkuu sio CCM, bali adui mkuu wa Watanzania ni huyu nimtajae hapa chini na headline imejielekeza kwa Chadema, simply because ndicho chama pekee cha upinzani kwa huku bara, chenye kuonyesha angalau angalau mwelekeo wa matumaini ya posibility ya uwezekano wa kuwezekanika wa kulipatia taifa letu la Tanzania, ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania kwa kuipumzisha CCM!.

Mkuu jogi, [/SIZE][/COLOR] japo umeniomba "Nikubaalie japo mara hii tu kuwa, tatizo linalotumaliza Tanzania ni li zimwi CCM". Kwanza samahani sana kwa kutokubaliana na maoni yako kwasababu you are not right!, lakini bado nayaheshimu maoni yako, japo sikukubalini nayo!. Kitu ambacho nakubaliana na wewe kuhusu CCM, ni kweli CCM ni li zimwi, na kanuni ya zimwi siku zote ni "zimwi likujualo halikuli likakwishwa", hivyo Watanzania wanaendelea kulichagua hili zimwi CCM kwasababu ndilo zimwi walijualo!. Adui mkubwa wa Watanzania sio hili zimwi CCM, bali wale wanaolifuga hili zimwi, kulilea kwa kulipa chakula ili liendelee kuishi na kuendelea kutunyonya damu Watanzania!.

1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo ili waendelee kuilea na kuitunza!. That simply means, tatizo sio CCM bali ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and let it plays games of mind on us again and again na sisi Watanzania tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni kwasababu hakuna mbadala wa CCM, bora shetani unayemjua kuliko shetani usiye mjua!, (better a devil you know than a devil you don't know).

2. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, wakiwemo Chadema, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi na concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!. Adui sio CCM, adui ni watu wanaoiweka CCM hapo ilipo!.
P
P
 
  • Thanks
Reactions: IIS
Back
Top Bottom