CCM wanajua wawekezaji wataikimbia nchi baada ya Vodacom kutangaza hasara iliyotokana na tozo?

CCM wanajua wawekezaji wataikimbia nchi baada ya Vodacom kutangaza hasara iliyotokana na tozo?

When we make decisions especially that affects the economy of either individuals or investors in our Country, we must deeply involves the reliable economists to avoid reversing back the good moves/plans already taken by our lovely President Samia to push forward the development of our Nation.
 
Hivi nani aliwadanganya kuwa ccm wana uchungu na hii nchi?.....wangekuwa na uchungu wasingekuwa wanafanya mambo ya hovyo wanayoyafanya...mfano mdogo tu hebu angalieni jinsi zoezi la sensa hao ccm walivyolivuruga🤔🤔......zoezi likawa ni la kisiasa wakati ni ajenda za kimaendeleo....mambo ya hovyoo yanayofanywa na ccm ni mengi kuliko mazuri wanayoyafanya....na ili ule pesa ya ccm wewe jivishe ujuha na usiwe mtu wa kuhoji kila kitu hapo ccm utapewa majina kama yote kama kada mtiifu, mzalendo, komredi kipepe na mengineyo
 
Wanasema bora punda afe ila mzigo ufike ndiyo fisiemu hao
 
Nani anakagua balance sheets zao?

Kama wanakwepa kodi? Au wanataka kuwadhulumu share holders "DIVIDENDS"
Akitangaza faida ni mwekezaji, akitangaza hasara ni mwizi, kwa mentality hii bora tuendelee kuwasha mwenge tu
 
Wahamie Burundi kama vipi, au hiyo ni kwa wanyonge tu waliowaweka madarakani kwa kishindo?
 
Hivi nani aliwadanganya kuwa ccm wana uchungu na hii nchi?.....wangekuwa na uchungu wasingekuwa wanafanya mambo ya hovyo wanayoyafanya...mfano mdogo tu hebu angalieni jinsi zoezi la sensa hao ccm walivyolivuruga🤔🤔......zoezi likawa ni la kisiasa wakati ni ajenda za kimaendeleo....mambo ya hovyoo yanayofanywa na ccm ni mengi kuliko mazuri wanayoyafanya....na ili ule pesa ya ccm wewe jivishe ujuha na usiwe mtu wa kuhoji kila kitu hapo ccm utapewa majina kama yote kama kada mtiifu, mzalendo, komredi kipepe na mengineyo
Kwa kuongezea tu, zoezi la pili la sensa ya makazi walilotangaza limekamilika kwa 99% limefanyikia wapi? Lini? Kwa gharama zipi?
 
Hahaha hulipi TOZO wewe 🤣😂
I
Hivi nani aliwadanganya kuwa ccm wana uchungu na hii nchi?.....wangekuwa na uchungu wasingekuwa wanafanya mambo ya hovyo wanayoyafanya...mfano mdogo tu hebu angalieni jinsi zoezi la sensa hao ccm walivyolivuruga🤔🤔......zoezi likawa ni la kisiasa wakati ni ajenda za kimaendeleo....mambo ya hovyoo yanayofanywa na ccm ni mengi kuliko mazuri wanayoyafanya....na ili ule pesa ya ccm wewe jivishe ujuha na usiwe mtu wa kuhoji kila kitu hapo ccm utapewa majina kama yote kama kada mtiifu, mzalendo, komredi kipepe na mengineyo
Umeongea ukweli mtupu.

Ili ujihakikishie nafasi kwenye Serikali hii, siyo kwa kutenda Mema kwa nchi hii, bali ni kwa kujipendrkeza kwa wakubwa!🥺
 
Wote naamini tumeliona lile tangazo la kampuni ya Vodacom, lenye kichwa cha habari cha TAARIFA KWA UMMA, ambalo lilielezea kuwa kampuni hiyo imepata hasara ya Shs. Bilioni 103.8 Katika mwaka uliopita wa Fedha, kutokana na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, kuanzisha hizi tozo zake kwa wananchi.

Hivi huyu Mwigulu Nchemba, anajua "impact" ya tangazo hilo kwa uchumi wa nchi hii??

Ni dhahiri kuwa hivi ninavyoandika "post" hii, wawekezaji kwa maelfu, aidha walioko nchini hivi sasa, au wale waliopanga kuja nchini kuwekeza, weshabadili mawazo na kuamua kutowekeza nchini kwetu.

Ninajaribu ku- imagine, hivi huyu Mwigulu Nchemba, ni kwanini ana roho ngumu kiasi hiki na hataki kujiuzuru, pamoja na kuwa yeye ndiye "source" ya janga hili la kuporomoka vibaya kwa uchumi wetu, kutokana na tozo zake za dhuluma, ambazo wananchi wamezipigia kelele Sana??

Huyu Mwigulu Nchemba, amefikia mahala anatudhihaki watanzania, eti asiyetaka kulipa tozo hizo ahamie nchi jirani ya Burundi!

Lakini hiki kiburi na jeuri anayoonyesha huyu Mwigulu Nchemba, inatokana na hii nchi kutokuwa na Katiba mpya ambayo itakuwa yenye kukidhi mfumo wa vyama vingi vya kisiasa, kwa kuwa yeye Mwigulu anajua hata kama Umma wa watanzania watapinga tozo hiyo, lakini wakati wa uchaguzi mkuu utakapofika, Tume ya uchaguzi, itamtangaza yeye, kuwa mshindi, kwa kuwa tu ni mgombea wa CCM!

Lakini angejua kuwa thamani ya sanduku la kura, asingefanya uamuzi wa hovyo kiasi hiki.

KWA hiyo ni muhimu sana kuliko kitu chochote Katika nchi hii kwa hivi sasa, Rasimu ya Jaji Warioba, ambayo ndiyo Katiba iliyotokana na maoni yetu wananchi, irudi mezani na ndiyo itakayokuwa mkombozi wa Maisha yetu watanzania

Mungu ibariki Tanzania.
Kuna kitu kimeanzishwa na hawa wawekezaji wetu Tanzania, wametengeneza mfumo wa mtandao wao , hawapeleki tena pesa bank wala kufanya miamala mikubwa mitandaoni.. Sasa wanatumia butter trade na mifumo yao isiyoingilina na ya kwetu kuhamisha pesa na kuziweka kwenye mitandao na bank zao
Hawatumiani pesa hata hapa nchini bali wanakutana na kupeana cash.. Biashara nyingi wanazifanya kwa pesa tasilimu

Serikali inakosa mapato makubwa sana kwenye hili.. Pengine intelligence inalifahamu hili
 
Wote naamini tumeliona lile tangazo la kampuni ya Vodacom, lenye kichwa cha habari cha TAARIFA KWA UMMA, ambalo lilielezea kuwa kampuni hiyo imepata hasara ya Shs. Bilioni 103.8 Katika mwaka uliopita wa Fedha, kutokana na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, kuanzisha hizi tozo zake kwa wananchi.

Hivi huyu Mwigulu Nchemba, anajua "impact" ya tangazo hilo kwa uchumi wa nchi hii??

Ni dhahiri kuwa hivi ninavyoandika "post" hii, wawekezaji kwa maelfu, aidha walioko nchini hivi sasa, au wale waliopanga kuja nchini kuwekeza, weshabadili mawazo na kuamua kutowekeza nchini kwetu.

Ninajaribu ku- imagine, hivi huyu Mwigulu Nchemba, ni kwanini ana roho ngumu kiasi hiki na hataki kujiuzuru, pamoja na kuwa yeye ndiye "source" ya janga hili la kuporomoka vibaya kwa uchumi wetu, kutokana na tozo zake za dhuluma, ambazo wananchi wamezipigia kelele Sana??

Huyu Mwigulu Nchemba, amefikia mahala anatudhihaki watanzania, eti asiyetaka kulipa tozo hizo ahamie nchi jirani ya Burundi!

Lakini hiki kiburi na jeuri anayoonyesha huyu Mwigulu Nchemba, inatokana na hii nchi kutokuwa na Katiba mpya ambayo itakuwa yenye kukidhi mfumo wa vyama vingi vya kisiasa, kwa kuwa yeye Mwigulu anajua hata kama Umma wa watanzania watapinga tozo hiyo, lakini wakati wa uchaguzi mkuu utakapofika, Tume ya uchaguzi, itamtangaza yeye, kuwa mshindi, kwa kuwa tu ni mgombea wa CCM!

Lakini angejua thamani ya sanduku la kura, asingefanya uamuzi wa hovyo kiasi hiki.

KWA hiyo ni muhimu sana kuliko kitu chochote Katika nchi hii kwa hivi sasa, Rasimu ya Jaji Warioba, ambayo ndiyo Katiba iliyotokana na maoni yetu wananchi, irudi mezani na ndiyo itakayokuwa mkombozi wa Maisha yetu watanzania

Mungu ibariki Tanzania.
Apate hasara Voda afu muuza vifaa vya umeme akimbie biashara? Acha utaahira wewe.
 
Wote naamini tumeliona lile tangazo la kampuni ya Vodacom, lenye kichwa cha habari cha TAARIFA KWA UMMA, ambalo lilielezea kuwa kampuni hiyo imepata hasara ya Shs. Bilioni 103.8 Katika mwaka uliopita wa Fedha, kutokana na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, kuanzisha hizi tozo zake kwa wananchi.

Hivi huyu Mwigulu Nchemba, anajua "impact" ya tangazo hilo kwa uchumi wa nchi hii??

Ni dhahiri kuwa hivi ninavyoandika "post" hii, wawekezaji kwa maelfu, aidha walioko nchini hivi sasa, au wale waliopanga kuja nchini kuwekeza, weshabadili mawazo na kuamua kutowekeza nchini kwetu.

Ninajaribu ku- imagine, hivi huyu Mwigulu Nchemba, ni kwanini ana roho ngumu kiasi hiki na hataki kujiuzuru, pamoja na kuwa yeye ndiye "source" ya janga hili la kuporomoka vibaya kwa uchumi wetu, kutokana na tozo zake za dhuluma, ambazo wananchi wamezipigia kelele Sana??

Huyu Mwigulu Nchemba, amefikia mahala anatudhihaki watanzania, eti asiyetaka kulipa tozo hizo ahamie nchi jirani ya Burundi!

Lakini hiki kiburi na jeuri anayoonyesha huyu Mwigulu Nchemba, inatokana na hii nchi kutokuwa na Katiba mpya ambayo itakuwa yenye kukidhi mfumo wa vyama vingi vya kisiasa, kwa kuwa yeye Mwigulu anajua hata kama Umma wa watanzania watapinga tozo hiyo, lakini wakati wa uchaguzi mkuu utakapofika, Tume ya uchaguzi, itamtangaza yeye, kuwa mshindi, kwa kuwa tu ni mgombea wa CCM!

Lakini angejua thamani ya sanduku la kura, asingefanya uamuzi wa hovyo kiasi hiki.

KWA hiyo ni muhimu sana kuliko kitu chochote Katika nchi hii kwa hivi sasa, Rasimu ya Jaji Warioba, ambayo ndiyo Katiba iliyotokana na maoni yetu wananchi, irudi mezani na ndiyo itakayokuwa mkombozi wa Maisha yetu watanzania

Mungu ibariki Tanzania.
MD wa Vodacom wewe.
 
Back
Top Bottom