CCM wanaleta siasa za kijima. Wanapanga wenyewe sherehe baadaye anatokea kiongozi wao anaghairisha ili wapate sifa

CCM wanaleta siasa za kijima. Wanapanga wenyewe sherehe baadaye anatokea kiongozi wao anaghairisha ili wapate sifa

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Huu mchezo nilikuwa naukemea tangu enzi za Magufuli.

Hii leo ni zaidi ya mara 4 sherehe za kitaifa kughairishwa na viongozi kisha fedha kuamuru zipelekwe kwingineko. Rais hupatiwa kitabu chote cha bajeti kabla haijasomwa naye hutoa mapendekezo au amri zake. Kisha hurudi kwa wahusika.

Sasa huu mchezo wa kutafuta kiki za kisiasa kupitia kughairisha sherehe za kitaifa tushachoka
Ni mchezo wa kijima, wafanyiwe wajinga. Fedha ni za wananchi, mtu anataka kujiimarisha kisiasa kupitia fedha za wananchi kirahisi tu, hii tabia ikome.

Cheo cha chief treasure kisitumike vibaya. Mtu unasubiri siku 4 au tatu mbele unaghairisha sherehe.
Sasa gharama za maandalizi ya awali nani atalipia? Si hasara hii.
 
kidumu chama cha makunduzi mpaka kiwe pipa sio kidumu tena
 
Huu mchezo nilikuwa naukemea tangu enzi za Magufuli.
Hii leo ni zaidi ya mara 4 sherehe za kitaifa kughairishwa na viongozi kisha fedha kuamuru zipelekwe kwingineko.
Rais hupatiwa kitabu chote cha bajeti kabla haijasomwa naye hutoa mapendekezo au amri zake. Kisha hurudi kwa wahusika.
Sasa huu mchezo wa kutafuta kiki za kisiasa kupitia kughairisha sherehe za kitaifa tushachoka
Ni mchezo wa kijima, wafanyiwe wajinga.
Fedha za wananchi, mtu anataka kujiimarisha kisiasa kupitia fedha za wananchi kirahisi tu.
Dah,
Tunaoendelea kupitia wakati mgumu Sana kisiasa!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huu mchezo nilikuwa naukemea tangu enzi za Magufuli.
Hii leo ni zaidi ya mara 4 sherehe za kitaifa kughairishwa na viongozi kisha fedha kuamuru zipelekwe kwingineko.
Rais hupatiwa kitabu chote cha bajeti kabla haijasomwa naye hutoa mapendekezo au amri zake. Kisha hurudi kwa wahusika.
Sasa huu mchezo wa kutafuta kiki za kisiasa kupitia kughairisha sherehe za kitaifa tushachoka
Ni mchezo wa kijima, wafanyiwe wajinga.
Fedha ni za wananchi, mtu anataka kujiimarisha kisiasa kupitia fedha za wananchi kirahisi tu, hii tabia ikome.
Cheo cha chief treasure kisirumike vibaya.
Mtu unasubiri siku 4 au tatu mbele unaghairisha sherehe.
Sasa gharama za maandalizi ya awali nani atalipia? Si hasara hii.
Mbona umekasirika sana!? Ulikua na mgao wako nini?
 
Huu mchezo nilikuwa naukemea tangu enzi za Magufuli.
Hii leo ni zaidi ya mara 4 sherehe za kitaifa kughairishwa na viongozi kisha fedha kuamuru zipelekwe kwingineko.
Rais hupatiwa kitabu chote cha bajeti kabla haijasomwa naye hutoa mapendekezo au amri zake. Kisha hurudi kwa wahusika.
Sasa huu mchezo wa kutafuta kiki za kisiasa kupitia kughairisha sherehe za kitaifa tushachoka
Ni mchezo wa kijima, wafanyiwe wajinga.
Fedha ni za wananchi, mtu anataka kujiimarisha kisiasa kupitia fedha za wananchi kirahisi tu, hii tabia ikome.
Cheo cha chief treasure kisirumike vibaya.
Mtu unasubiri siku 4 au tatu mbele unaghairisha sherehe.
Sasa gharama za maandalizi ya awali nani atalipia? Si hasara hii.
"Kughaisha" au "Kuahirisha"

Lakini je!
Huko Mashuleni zinakopelekwa wanasoma watoto wa CCM pekee?

Wewe imekuuma nini?
Au wazazi wako au mkeo au wewe binafsi ndio ulikuwa umejiandaq kuipiga hela ya sherehe?

Povu jingi kwa kitu kisicho na madhara?

Au wewe saa yoote unawaza Polutic-Miles tu!

Acha uShwine!
 
  • Thanks
Reactions: cpt
Huu mchezo nilikuwa naukemea tangu enzi za Magufuli.
Hii leo ni zaidi ya mara 4 sherehe za kitaifa kughairishwa na viongozi kisha fedha kuamuru zipelekwe kwingineko.
Rais hupatiwa kitabu chote cha bajeti kabla haijasomwa naye hutoa mapendekezo au amri zake. Kisha hurudi kwa wahusika.
Sasa huu mchezo wa kutafuta kiki za kisiasa kupitia kughairisha sherehe za kitaifa tushachoka
Ni mchezo wa kijima, wafanyiwe wajinga.
Fedha ni za wananchi, mtu anataka kujiimarisha kisiasa kupitia fedha za wananchi kirahisi tu, hii tabia ikome.
Cheo cha chief treasure kisirumike vibaya.
Mtu unasubiri siku 4 au tatu mbele unaghairisha sherehe.
Sasa gharama za maandalizi ya awali nani atalipia? Si hasara hii.

Mkuu unaona kwenye harasa ya maandalizi je huoni pesa zingine zimepelekwa kwa jamii zetu?
 
Ghairi ndio neno sahihi.
Walioshindwa kutamka ndio waanzilishi wa neno hairi ambalo haliko kwenye kiswahili.
Watu wa bara hawawezi kutamka gh.
Utasikia shuhuli,
"Kughaisha" au "Kuahirisha"

Lakini je!
Huko Mashuleni zinakopelekwa wanasoma watoto wa CCM pekee?

Wewe imekuuma nini?
Au wazazi wako au mkeo au wewe binafsi ndio ulikuwa umejiandaq kuipiga hela ya sherehe?

Povu jingi kwa kitu kisicho na madhara?

Au wewe saa yoote unawaza Polutic-Miles tu!

Acha uShwine!
 
Huu mchezo nilikuwa naukemea tangu enzi za Magufuli.
Hii leo ni zaidi ya mara 4 sherehe za kitaifa kughairishwa na viongozi kisha fedha kuamuru zipelekwe kwingineko.
Rais hupatiwa kitabu chote cha bajeti kabla haijasomwa naye hutoa mapendekezo au amri zake. Kisha hurudi kwa wahusika.
Sasa huu mchezo wa kutafuta kiki za kisiasa kupitia kughairisha sherehe za kitaifa tushachoka
Ni mchezo wa kijima, wafanyiwe wajinga.
Fedha ni za wananchi, mtu anataka kujiimarisha kisiasa kupitia fedha za wananchi kirahisi tu, hii tabia ikome.
Cheo cha chief treasure kisirumike vibaya.
Mtu unasubiri siku 4 au tatu mbele unaghairisha sherehe.
Sasa gharama za maandalizi ya awali nani atalipia? Si hasara hii.
Ndio utaratib uliopo.. Tengeneza tatizo then badae njoo ulitatue halafuuuu..... Pewa sifa wewe ni shujaa wewe ni mzalendo... Nani kama Sandali? Hakuna kama Sandali niww tu, na utake usitake tutakuongezeaaa miaka mingine saba.
 
Back
Top Bottom