Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,904
- 1,064
Hata mimi pia naitaka kwa ajili ya kupigia deki
Baada ya matokeo kutangazwa, uendelee kutuletea picha za namna hii. Hakuna kukikimbia mtu hapa :becky:
na mm hiyo fulana ya ccm naitaka saana kwa ajiri ya mazoezi asubuhi..!
wewe na akili yako ya kushikiwa unafikiria wizi tu ndio maana unafikiri kuna m2 ataibiwa kura mwaka huu .nyoooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Hata mimi pia naitaka kwa ajili ya kupigia deki