Pre GE2025 CCM wanatengeneza "elite clique"?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Shots fired👉💥💥
==========
Tanzania is a very Unique Country

Hakuna kama yeye.
 
Hivi Anthony mavunde ni mtoto wa aliyekuwa Meya wa Dodoma Mzee Peter Mavunde?
 
Yeyote mwenye kuweza tukimpa ufalme au umalkia sio mbaya.. kwani tunachotaka si haki na maendeleo?🤔
Narudia tena, maendeleo yanaweza kuletwa na hao hao? Maana kama ni haki hiyo hakuna.
 
Mbunge wa namtumbo Vita kawawa ni mtoto wa Mzee Rashid Kawawa?
 
Hebu usitupigie kelele bwana
 
Nafikiria tu CCM ilitoa wapi hela zote zile za kuwalipa hao wasanii wote wa nchi hii kule Dodoma. Yaani sasa hivi kuwa Chawa wa CCM kunalipa zaidi kuliko kuwa mwalimu wa chuo kikuu pale UDOM ukifundisha Digital electronics.

Na ndiyo maana kina Doto Magari wanatamba wanakwambia elimu yako wewe imekusaidia nini wakati kila kukicha ni madeni..huna kitu.

Lazima kama nchi tufanye kitu, huu mfumo siyo kabisa!! Unatupeleka shimo la tewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…