Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
- Thread starter
- #21
Buhahahaa, sasa mnaogopa nini Tanzania tujue. Mlivyokuwa cheap mnadanganya hadi kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, na kuweka majina yenu.... mmebanwa kiasi hicho hadi mnashindwa kupumua?Mambo ya CCM yanafanyika hadharani na siyo gizani.ndio maana watu wana imani kubwa sana na CCM

