Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM, Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.
CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Huenda hiyo ni chenji tu ya ile hongo baada ya mama kuuza mbuga na bandari za watanganyika.
Kumbuka tu, kifuta jasho kutoka uarabuni kilikuwa ni kupewa pikipiki zaidi ya elfu 50 na mabasi ya kisasa yasiyopungua 50 bureee.
Nani kakudanganya Mzee ingia page za mabus utaona hizo bus zime anza kupoatiwa Toka zikiwa China mpaka Zina shushwa bandarini oder ya kijani ime Toka Moja kwa Moja China
Nani kakudanganya Mzee ingia page za mabus utaona hizo bus zime anza kupoatiwa Toka zikiwa China mpaka Zina shushwa bandarini oder ya kijani ime Toka Moja kwa Moja China
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.
Bongo bwana, yaani huyo jokate kwa influence na umaarufu alionao ilibidi awe katulia na mabiashara yake kama akina rihana huko. Ila kabanwa kwenye kazi ya kujitoa ufahamu na kubaki kusifia kama kasuku.