Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
SawaKuongea ni rahisi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaKuongea ni rahisi sana
Mbona kuna chama kilinunua Ford Ranger kibao, pesa walitoa wapi?Wakuu,
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.
Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan
CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Inawezekana zimechotwa kutoka NSSF?!Wakuu,
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.
Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan
CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Yesu Rudi tuu kutuchukua tulio wako ,,,Mungu atasimama siku moja tuendelee kumlilia kama aliwaskia Wana wa Israel utumwani hata sisi Kuna siku atatutoa kwenye dhiki ,mateso ,mauaji,kuibiwa ,kutekwa ,tutakua huru the day is comingWakuu,
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.
Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan
CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Ruzuku tu ya mwezi inatosha kununua hayo basi kabla kuongeza pesa za vitega uchumi vyakeWakuu,
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.
Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan
CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
CCM wana miradi mingi sana.Wakuu,
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.
Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan
CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Washamba au watoto wa mjini?Pale Lumumba ofisi ya ccm Kuna ma basi mapya yapo zaidi ya thelathini ambayo yamenunuliwa Kwa Kodi zetu.Nchi imeshikiliwa na washamba sana
Kumbe Ina pesa za kufanya hayo yote? Ila kujenga vyoo tu huko mshuleni na kupeleka huduma ya maji kwenye vitongoji vya hapa hapa dar haiwezi hadi ipate misaada kutoka Kwa wamarekani??Unajua ruzuku ya chama kwa mwezi CCM inapokea bilioni ngapi kwa mwezi? Unafahamu vitega uchumi vya CCM kuanzia fremu zote za maduka kwenye viwanja vya CCM Kila mkoa hapo sijaongelea mapato ya mechi? CCM ina uwezo wa kununua hata ndege ikiamua hela ipo.
Mali ya umma si ndy inakwenda kwa hao hao ccm 😄Zifaifishwe mara moja ziwe mali ya umma
CCM Ina rasilimali nyingi we dogo. Ht hivyo huwezi tenganisha CCM na serikali. M/kiti wao ndiye Rais wa nchiWakuu,
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.
Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan
CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Ni kweli hizo pesa ni za kodi za wananchi. Hizo pesa hutolewa CCM na pia kwa vyama vya upinzani. Hii pesa kule CHADEMA ni mali za viongozi soma Mbowe.Wakuu,
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.
Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan
CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Matumizi ya hovyo kabisa huyu mama hadi amalize hiyo mitano yake tutajuta sanaCCM ina matumizi mabaya sana ya pesa
i hate CCM as hell
Wana miradi mikubwa ya maendeleo kuliko ilivyokua SUKITAWakuu,
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.
Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan
CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Kuongoza Watanganyika raha kweli. Hakuna stress wala kukosa usingizi.Wakuu,
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.
Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan
CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Hii kitu imenisikitisha snWakuu,
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.
Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan
CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Aiseee tuna safari ndefu sn ya maendeleoNani kakudanganya Mzee ingia page za mabus utaona hizo bus zime anza kupoatiwa Toka zikiwa China mpaka Zina shushwa bandarini oder ya kijani ime Toka Moja kwa Moja China