Pre GE2025 CCM wanatoa wapi fedha za kununulia msululu huu wote wa Mabasi, kama sio Kodi za Wananchi ni nini?

Pre GE2025 CCM wanatoa wapi fedha za kununulia msululu huu wote wa Mabasi, kama sio Kodi za Wananchi ni nini?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.

Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan

CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Mbona kuna chama kilinunua Ford Ranger kibao, pesa walitoa wapi?
 
Wakuu,

Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.

Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan

CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Inawezekana zimechotwa kutoka NSSF?!
 
Wakuu,

Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.

Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan

CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Yesu Rudi tuu kutuchukua tulio wako ,,,Mungu atasimama siku moja tuendelee kumlilia kama aliwaskia Wana wa Israel utumwani hata sisi Kuna siku atatutoa kwenye dhiki ,mateso ,mauaji,kuibiwa ,kutekwa ,tutakua huru the day is coming
 
Ulishajiuliza baada ya uchaguzi yanaendaga wap,
Kama hujui subiria kampun mya ya mabasi mwakani!
 
Wakuu,

Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.

Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan

CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Ruzuku tu ya mwezi inatosha kununua hayo basi kabla kuongeza pesa za vitega uchumi vyake

Ruzuku ni kwa ajili.ya kazi za chama
 
Wakuu,

Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.

Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan

CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
CCM wana miradi mingi sana.
Viwanja vya mipira vingi nivyawo.
Wana hisa katika Biashara nyingi sana
 
Pale Lumumba ofisi ya ccm Kuna ma basi mapya yapo zaidi ya thelathini ambayo yamenunuliwa Kwa Kodi zetu.Nchi imeshikiliwa na washamba sana
Washamba au watoto wa mjini?

Huu Sasa ndio aina ya uongozi ambao watanzania wengi hasa wale wanajionaga wajanja waliumiss, yaani kunakuwepo na matumizi ya anasa yasiokuwa na ulazima ambapo ni watu wachache wanaonufaika, huku majority wakibaki kwenye shida na mateso.

Tukiwaambiaga hawa waswahili hawajui kuiongoza hii nchi wanachojua wao ni kula Bata tu na kutapanya pesa ovyoo muwe mnatuelewa🙂‍↕️
 
Unajua ruzuku ya chama kwa mwezi CCM inapokea bilioni ngapi kwa mwezi? Unafahamu vitega uchumi vya CCM kuanzia fremu zote za maduka kwenye viwanja vya CCM Kila mkoa hapo sijaongelea mapato ya mechi? CCM ina uwezo wa kununua hata ndege ikiamua hela ipo.
Kumbe Ina pesa za kufanya hayo yote? Ila kujenga vyoo tu huko mshuleni na kupeleka huduma ya maji kwenye vitongoji vya hapa hapa dar haiwezi hadi ipate misaada kutoka Kwa wamarekani??
 
Wakuu,

Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.

Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan

CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
CCM Ina rasilimali nyingi we dogo. Ht hivyo huwezi tenganisha CCM na serikali. M/kiti wao ndiye Rais wa nchi
 
Wakuu,

Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.

Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan

CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Ni kweli hizo pesa ni za kodi za wananchi. Hizo pesa hutolewa CCM na pia kwa vyama vya upinzani. Hii pesa kule CHADEMA ni mali za viongozi soma Mbowe.
 
Wanaodhani hiki chama kipo kwa ajili ya Watanzania niwape pole.Ajenda kuu ya chama hiki ni KUIBIA UMMA na UCHAGUZI.Hayo ni mengine yote ni hadaa.Hiki ni Chama Cha Mashetani.
 
Wakuu,

Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.

Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan

CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Wana miradi mikubwa ya maendeleo kuliko ilivyokua SUKITA

CHADOMOS mko bize na kulamba tu
 
Wakuu,

Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.

Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan

CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Kuongoza Watanganyika raha kweli. Hakuna stress wala kukosa usingizi.
 
Wakuu,

Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.

Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan

CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Hii kitu imenisikitisha sn
 
Nani kakudanganya Mzee ingia page za mabus utaona hizo bus zime anza kupoatiwa Toka zikiwa China mpaka Zina shushwa bandarini oder ya kijani ime Toka Moja kwa Moja China
Aiseee tuna safari ndefu sn ya maendeleo
 
Back
Top Bottom