Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Kuongea ni rahisi sanaNdio procurement Yao ya mwisho.
Don't worry, Mwakani muda kama huu tutakuwa tunaongea tofauti
100%Pale Lumumba ofisi ya ccm Kuna ma basi mapya yapo zaidi ya thelathini ambayo yamenunuliwa Kwa Kodi zetu.Nchi imeshikiliwa na washamba sana
Kwanza hizo alizo ziona huenda ni za mkoa mmoja tuUnajua ruzuku ya chama kwa mwezi CCM inapokea bilioni ngapi kwa mwezi? Unafahamu vitega uchumi vya CCM kuanzia fremu zote za maduka kwenye viwanja vya CCM Kila mkoa hapo sijaongelea mapato ya mechi? CCM ina uwezo wa kununua hata ndege ikiamua hela ipo.
Hii nchi kuna waarabu ''wamewekeza'' (soma wanapiga) na wanaendelea ''kuwekeza'' (kupiga) unadhani wataacha kutoa fedha ili waendelee kuwepo? Unaona fedha zitasambaa mpaka kwa viongozi wa dini na vyama vya upinzani unadhani zinatoka wapi? Mi-ananchi wacha iendelee kuzubaa siku ikigutuka inakuta nchi imekwisha.Wakuu,
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.
CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
sasa wewe ulifikiri ni helaza kina nani ? ni kodi zenu ndiyo shida iko wapiWakuu,
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.
CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Wala sio mabasi ya watu binafsi ayo mabasi yamenunuliwa na ccm na yalionyeshwa wakati yanatoka bandarini yakiwa yamepigwa chata kabisa ya chama cha mapinduzi,,Nadhani hawa wamiliki wa mabus huwa wanapokea barua za kuombwa magari kwaajili ya hizo shughuli.
Kwa hii nchi ilivyo ni lazima watoe. Kwanza wamiliki ma bus wengi ni majizi ya ccm tu.
Wanachokifanya tu hapo ni kwenda kuyabandika mabango ya kijani kijani. Shughuli ikiisha yanarudi barabarani kuendelea na biashara.
Unajua Vi Eite wewe? (kwa sauti ya Humphrey Polepole) 😂Wakuu,
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.
Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan
CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Hayo ndiyo makaburi ya ccm yakiwa njiani.Wakuu,
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.
Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan
CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Chama Dola hicho.Wakuu,
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho (UWT), Jokate Mwegelo ame-share video hii ya Mabasi (Yutong Bus) ya CCM katika msafara ukielekea Dodoma kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa unaotarajiwa kufanyika Tarehe 18-19 Januari, 2025.
Soma: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinan
CCM inapaswa kuelekeza fedha kwenye miradi ya maendeleo inayogusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kama vile afya, elimu, na miundombinu, badala ya kutumia fedha kwa maslahi ya kisiasa. Hii inaonyesha upotevu wa kipaumbele, ambapo maslahi ya watu wa kawaida yanapuuziliwa mbali, bila kuangalia ustawi wa jamii.
Kwa hapa Sa100 namtetea,misaa hiyo ya kijinga jinga ipo kabla ya Sa100........ pamoja na hayo sisiemu ina majengo inapangisha,viwanja vya mipira wanapata mgao,Ada na ruzuku so sioni kama ni story kununua mabusNasikia yapo 1000. Halafu mnaomba msaada wa vyoo kwa wajapani. Tatizo ni mzanzibar, mwanamke na hana hoja-John Heche 2025.