Pre GE2025 CCM wanatoa wapi fedha za kununulia msululu huu wote wa Mabasi, kama sio Kodi za Wananchi ni nini?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni pesa zetu, hakuna lolote
 
Kumbe Ina pesa za kufanya hayo yote? Ila kujenga vyoo tu huko mshuleni na kupeleka huduma ya maji kwenye vitongoji vya hapa hapa dar haiwezi hadi ipate misaada kutoka Kwa wamarekani??
Jaribu kutenganisha fedha za ruzuku zinazotolewa kwa vyama vyote vya siasa na fedha za serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…