Pre GE2025 CCM wasipoiba kura, Tundu Lissu atachukua nchi

Pre GE2025 CCM wasipoiba kura, Tundu Lissu atachukua nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Kwanza nianze Kusema by 2025 zaidi ya watu milioni 10(watanganyika) na watu laki mbili wazanzibar kulinganisha na 2020 watakuwa wamefikisha Umri wa angalau miaka 18, na Hawa wengi ni vijana wanaopenda mabadiliko.

Sasa Kwa jinsi vijana hawa walivyo na kiu ya mabadiliko , wengi wao wameegemea upande wa Tundu Lissu.

Wazee ambao wengi ni tegemezi la CCM kubaki madarakani sasa ni wachache sana, hivyo urais ujao utakuwa ni urais unaoamuliwa na vijana.

CCM imejitangaza sana na inatumia nguvu na pesa nyingi kubaki madarakani.

Matajiri wengi wanataka CCM iendelee kubaki madarakani lakini sasa ni wakati wa upinzani kushika nchi.
 
Kuchukua nchi ni zaidi ya kura mkuu!

Je zama na nyakati zinasapoti yeye kuchukua!!?

Hata jk alishinda mchakato ndani ya chama 1995 lakini mwingine akapewa utia nia!
 
Tume mtu ...Tume mtu....Tume mtu.
Ndiyo tatizo kubwa
 
Mbona husemi atachukua nchi kupitia tiketi ya chama gani?

Kama ni CHADEMA haturuhusu mgombea urais kujirudia, Tundu ahame chama mapema..... la sivyo atafute kazi halali.
 
Hii mbona iko wazi? CCM zama zake zinapita, kina ANC na wenzake wamekula za uso. CCM imeambiwa ijiandae kisaikolojia ila inajitia kiburi kuwa haiwezi kulinganishwa na vyama vikongwe vilivyokula za uso na vingine vimepotea na havitainuka tena
 
Kwanza nianze Kusema by 2025 zaidi ya watu milioni 10(watanganyika) na watu laki mbili wazanzibar kulinganisha na 2020 watakuwa wamefikisha Umri wa angalau miaka 18, na Hawa wengi ni vijana wanaopenda mabadiliko.

Sasa Kwa jinsi vijana hawa walivyo na kiu ya mabadiliko , wengi wao wameegemea upande wa Tundu Lissu.

Wazee ambao wengi ni tegemezi la CCM kubaki madarakani sasa ni wachache sana, hivyo urais ujao utakuwa ni urais unaoamuliwa na vijana.

CCM imejitangaza sana na inatumia nguvu na pesa nyingi kubaki madarakani.

Matajiri wengi wanataka CCM iendelee kubaki madarakani lakini sasa ni wakati wa upinzani kushika nchi.
Nchi gani?
 
Kwanza nianze Kusema by 2025 zaidi ya watu milioni 10(watanganyika) na watu laki mbili wazanzibar kulinganisha na 2020 watakuwa wamefikisha Umri wa angalau miaka 18, na Hawa wengi ni vijana wanaopenda mabadiliko.

Sasa Kwa jinsi vijana hawa walivyo na kiu ya mabadiliko , wengi wao wameegemea upande wa Tundu Lissu.

Wazee ambao wengi ni tegemezi la CCM kubaki madarakani sasa ni wachache sana, hivyo urais ujao utakuwa ni urais unaoamuliwa na vijana.

CCM imejitangaza sana na inatumia nguvu na pesa nyingi kubaki madarakani.

Matajiri wengi wanataka CCM iendelee kubaki madarakani lakini sasa ni wakati wa upinzani kushika nchi.
CCM kuendelea kubaki madarakani haitegemei kupigiwa Kura na mtu yoyote yule ktk Uchaguzi wa Siasa hapa Tanzania.


"Wakati tulipokubali mfumo wa vyama vingi hapa nchini, CCM tulihakikisha kwamba hatushindwi."

Ali Hassan Mwinyi, Rais wa Pili wa Tanzania.


NB: Fanya tafakuri ya kina ya neno 'hatushindwi.'


"CCM ina maarifa mengi kwa hiyo wanachama wenzangu msiwe na wasiwasi kwamba tutashindwa kwenye Uchaguzi wa mwaka huu, sisi viongozi wenu tupo."

Jakaya Kikwete, Rais wa Nne wa Tanzania.
 
CCM kuendelea kubaki madarakani haitegemei kupigiwa Kura na mtu yoyote yule ktk Uchaguzi wa Siasa hapa Tanzania.


"Wakati tulipokubali mfumo wa vyama vingi hapa nchini, CCM tulihakikisha kwamba hatushindwi."

Ali Hassan Mwinyi, Rais wa Pili wa Tanzania.


NB: Fanya tafakuri ya kina ya neno 'hatushindwi.'


"CCM ina maarifa mengi kwa hiyo wanachama wenzangu msiwe na wasiwasi kwamba tutashindwa kwenye Uchaguzi wa mwaka huu, sisi viongozi wenu tupo."

Jakaya Kikwete, Rais wa Nne wa Tanzania.
Nani anakudanganya?
 
Hii mbona iko wazi? CCM zama zake zinapita, kina ANC na wenzake wamekula za uso. CCM imeambiwa ijiandae kisaikolojia ila inajitia kiburi kuwa haiwezi kulinganishwa na vyama vikongwe vilivyokula za uso na vingine vimepotea na havitainuka tena
CCM ina mizizi imara sana....CCM imeshika kila idara.
Ogopa sana CCM, ni lidude likubwa sana....ni ngumu kuliangusha chini.

CCM haiwezi kutoka madarakani kwa makaratasi ya kura, CCM haiwezi kutoka madarakani kwa mapinduzi ya kijeshi ( Wanajeshi wote ni CCM).

Raia ndiyo wataitoa CCM kutoka madarakni, kwa njia damu tu. Lazima tuingie barabarani, tuoneshe hasira zetu, tuwapige viongozi wote wa CCM hadi na tuwafukuze maofisini, ila tutakufa wengi sana kwa rasasi.

Je...? Upo tayari kufa.

Ukweli ni kwamba haupo tayari kufa...

So...Sahau CCM kuondoka madarakani.

CCM siyo ANC....ANC ni wanafunzi wa CCM.
 
CCM ina mizizi imara sana....CCM imeshika kila idara.
Ogopa sana CCM, ni lidude likubwa sana....ni ngumu kuliangusha chini.

CCM haiwezi kutoka madarakani kwa makaratasi ya kura, CCM haiwezi kutoka madarakani kwa mapinduzi ya kijeshi ( Wanajeshi wote ni CCM).

Raia ndiyo wataitoa CCM kutoka madarakni, kwa njia damu tu. Lazima tuingie barabarani, tuoneshe hasira zetu, tuwapige viongozi wote wa CCM hadi na tuwafukuze maofisini, ila tutakufa wengi sana kwa rasasi.

Je...? Upo tayari kufa.

Ukweli ni kwamba haupo tayari kufa...

So...Sahau CCM kuondoka madarakani.

CCM siyo ANC....ANC ni wanafunzi wa CCM.
ni kweli CCM ni dude kubwa lenye mapandikizi yake ndani ya vyama vya upinzani, kuliangusha ni shughuli pevu, ila linaanguka kirahisi tu kama Goliathi alivyodondoshwa kirahisi na Daudi
 
ANC hawajaamini kilichotokea, Mwandishi wa Habari, Somkelo aliwamuuliza Mbalula swali la kejeli kuwa hamuoni ukweli kwamba mmeponzwa na Arrogancy -yaani kiburi kinachotokana na mamlaka/Dola. Picha ilinipeleka itakavyokuja kuwafanya ccm wapoteane. Na chama uwa kimoja sababu ya madaraka
 
Back
Top Bottom