nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Ahame chama hata mimi kura yangu anayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda Nchi ya Mashoga wenzake.Kwanza nianze Kusema by 2025 zaidi ya watu milioni 10(watanganyika) na watu laki mbili wazanzibar kulinganisha na 2020 watakuwa wamefikisha Umri wa angalau miaka 18, na Hawa wengi ni vijana wanaopenda mabadiliko.
Sasa Kwa jinsi vijana hawa walivyo na kiu ya mabadiliko , wengi wao wameegemea upande wa Tundu Lissu.
Wazee ambao wengi ni tegemezi la CCM kubaki madarakani sasa ni wachache sana, hivyo urais ujao utakuwa ni urais unaoamuliwa na vijana.
CCM imejitangaza sana na inatumia nguvu na pesa nyingi kubaki madarakani.
Matajiri wengi wanataka CCM iendelee kubaki madarakani lakini sasa ni wakati wa upinzani kushika nchi.
Kuhusu Nini?Nani anakudanganya?
Ukweli ni upi?Sio kweli.
100% KweliTundu hatokuja kuwa Raisi wa J.M.T...
Migo..dUkweli ni kwamba ccm inaning'inia kwenye uzi mwembamba mno, ipoipo tu, ni suala la muda nayo itatoweka. Bora itoweke kwa heshima ihifadhiwe makumbusho ya taifa maana haitaweza kuhimili upepo mkali wa mabadiliko ya kisiasa unaovuma barani afrika na kwingineko kwa vyama vikongwe
🤣🤣🤣Kwanza nianze Kusema by 2025 zaidi ya watu milioni 10(watanganyika) na watu laki mbili wazanzibar kulinganisha na 2020 watakuwa wamefikisha Umri wa angalau miaka 18, na Hawa wengi ni vijana wanaopenda mabadiliko.
Sasa Kwa jinsi vijana hawa walivyo na kiu ya mabadiliko , wengi wao wameegemea upande wa Tundu Lissu.
Wazee ambao wengi ni tegemezi la CCM kubaki madarakani sasa ni wachache sana, hivyo urais ujao utakuwa ni urais unaoamuliwa na vijana.
CCM imejitangaza sana na inatumia nguvu na pesa nyingi kubaki madarakani.
Matajiri wengi wanataka CCM iendelee kubaki madarakani lakini sasa ni wakati wa upinzani kushika nchi.
Kama ni kujinyonga anza mapemaa kuchukua mazoezi, kuna tajiri achana na wewe kapuku, alisema Magufuri hatokanyaga ikulu labda kusalimia, Magu akaingia akaishia kunywa maji kwenye karai hata aliyekuwa tajiri wa mkoa wa Morogoro aliwahi sema msoga haiwezi toa rais mwisho ikawa tofauti ila kwakuwa wewe ni BWABWA huna hasara zaidi ya kukosa marinda.Ukweli usemwe tu...
Tundu atakuwa kama E.D Luwasa...Tundu atakuwa kama Dr weapon...Tundu atakuwa kama Mbowe.
Tundu hatokuja kuwa Raisi wa J.M.T...
Aisee...Matusi ya nini sasa...au ndiyo urithi kutoka kwa wazazi wako..?Kama ni kujinyonga anza mapemaa kuchukua mazoezi, kuna tajiri achana na wewe kapuku, alisema Magufuri hatokanyaga ikulu labda kusalimia, Magu akaingia akaishia kunywa maji kwenye karai hata aliyekuwa tajiri wa mkoa wa Morogoro aliwahi sema msoga haiwezi toa rais mwisho ikawa tofauti ila kwakuwa wewe ni BWABWA huna hasara zaidi ya kukosa marinda.
Ndundu Lissu anachukua nchi 2025