Pre GE2025 CCM wasipoiba kura, Tundu Lissu atachukua nchi

Pre GE2025 CCM wasipoiba kura, Tundu Lissu atachukua nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukweli ni kwamba ccm inaning'inia kwenye uzi mwembamba mno, ipoipo tu, ni suala la muda nayo itatoweka. Bora itoweke kwa heshima ihifadhiwe makumbusho ya taifa maana haitaweza kuhimili upepo mkali wa mabadiliko ya kisiasa unaovuma barani afrika na kwingineko kwa vyama vikongwe
 
Kwanza nianze Kusema by 2025 zaidi ya watu milioni 10(watanganyika) na watu laki mbili wazanzibar kulinganisha na 2020 watakuwa wamefikisha Umri wa angalau miaka 18, na Hawa wengi ni vijana wanaopenda mabadiliko.

Sasa Kwa jinsi vijana hawa walivyo na kiu ya mabadiliko , wengi wao wameegemea upande wa Tundu Lissu.

Wazee ambao wengi ni tegemezi la CCM kubaki madarakani sasa ni wachache sana, hivyo urais ujao utakuwa ni urais unaoamuliwa na vijana.

CCM imejitangaza sana na inatumia nguvu na pesa nyingi kubaki madarakani.

Matajiri wengi wanataka CCM iendelee kubaki madarakani lakini sasa ni wakati wa upinzani kushika nchi.
Labda Nchi ya Mashoga wenzake.

Inawezekana wewe utoto unakusumbua,kamuulize Lowassa.

Mwisho huko kwenye Nchi ni mbali , Serikali za Mitaa zinakuia utaona matokeo
 
CCM hawajawahi kushinda uchaguzi wowote nchi hii tangu kuasisiwa kwa vyama vingi nchini 1992.
Chaguzi zote tangia 1995 hadi 2020 huwa wanapigwa ila ni vibaka balaa.
 
Itoshe tu kusema Mwenyezi Mungu Amsaidie kura yangu anayo
 
Huyu Lissu ambaye kakosa watu wa kumchangia hela ya V8? Ataendelea kuwa Rais wa mioyo ya nyumbu.
 
Spidi ya Lissu inaongezeka siku hadi siku. Huyu Jamaa ni hatari sana.
 
Ukweli ni kwamba ccm inaning'inia kwenye uzi mwembamba mno, ipoipo tu, ni suala la muda nayo itatoweka. Bora itoweke kwa heshima ihifadhiwe makumbusho ya taifa maana haitaweza kuhimili upepo mkali wa mabadiliko ya kisiasa unaovuma barani afrika na kwingineko kwa vyama vikongwe
Migo..d
 
Sasa kama ccm haishindwi kwenye sanduku la kura ya nini kutumia mamilioni ya fedha kufanya uchaguzi mkuu? Kwanza ni kuhangaisha wapiga kura, wananchi wana kazi za kufanya kwa nini wapoteze muda kupiga kura zisizo na matokeo mazuri kwao?
 
Kwanza nianze Kusema by 2025 zaidi ya watu milioni 10(watanganyika) na watu laki mbili wazanzibar kulinganisha na 2020 watakuwa wamefikisha Umri wa angalau miaka 18, na Hawa wengi ni vijana wanaopenda mabadiliko.

Sasa Kwa jinsi vijana hawa walivyo na kiu ya mabadiliko , wengi wao wameegemea upande wa Tundu Lissu.

Wazee ambao wengi ni tegemezi la CCM kubaki madarakani sasa ni wachache sana, hivyo urais ujao utakuwa ni urais unaoamuliwa na vijana.

CCM imejitangaza sana na inatumia nguvu na pesa nyingi kubaki madarakani.

Matajiri wengi wanataka CCM iendelee kubaki madarakani lakini sasa ni wakati wa upinzani kushika nchi.
🤣🤣🤣
 
Umeangalia angle moja tu na hitimisho lako limeluwa la jumla mno ambayo sio sawa.
 
Ukweli usemwe tu...
Tundu atakuwa kama E.D Luwasa...Tundu atakuwa kama Dr weapon...Tundu atakuwa kama Mbowe.

Tundu hatokuja kuwa Raisi wa J.M.T...
Kama ni kujinyonga anza mapemaa kuchukua mazoezi, kuna tajiri achana na wewe kapuku, alisema Magufuri hatokanyaga ikulu labda kusalimia, Magu akaingia akaishia kunywa maji kwenye karai hata aliyekuwa tajiri wa mkoa wa Morogoro aliwahi sema msoga haiwezi toa rais mwisho ikawa tofauti ila kwakuwa wewe ni BWABWA huna hasara zaidi ya kukosa marinda.
Ndundu Lissu anachukua nchi 2025
 
Kama ni kujinyonga anza mapemaa kuchukua mazoezi, kuna tajiri achana na wewe kapuku, alisema Magufuri hatokanyaga ikulu labda kusalimia, Magu akaingia akaishia kunywa maji kwenye karai hata aliyekuwa tajiri wa mkoa wa Morogoro aliwahi sema msoga haiwezi toa rais mwisho ikawa tofauti ila kwakuwa wewe ni BWABWA huna hasara zaidi ya kukosa marinda.
Ndundu Lissu anachukua nchi 2025
Aisee...Matusi ya nini sasa...au ndiyo urithi kutoka kwa wazazi wako..?
 
Back
Top Bottom