Uchaguzi 2020 CCM ya Magufuli wanaweweseka kitu gani ilhali miaka yote 5 nchi ilikuwa yao?

Uchaguzi 2020 CCM ya Magufuli wanaweweseka kitu gani ilhali miaka yote 5 nchi ilikuwa yao?

Mzalendo2015

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
6,710
Reaction score
9,063
Kampeni za uchaguzi wa octoba 2020 zinachangamsha sana. Pamoja na CCM na serikali ya Magufuli kuzuia na kupiga marufuku mikutano ya upinzani tangia 2016 ili kufifisha nguvu ya upinzani mambo ni kinyume kabisa.

CCM na jiwe kwa akili za kitoto walifikiri wakifanya hivo uchaguzi wa 2020 watarudi Ikulu kiulaini sana.

Jiwe anasema amejenga flyovers, amenunua ndege 11, amejenga reli ya SGR, anajenga stieglers gorge, amejenga zahanati na kukarabati shule kongwe na anasomesha bure hadi kidato cha 4.

Yote haya kweli kafanya lakini bado watanzania wanaona Magufuli hastahili kuongezewa miaka mingine 5 kwa vile ameshindwa kukata kiu ya watz walio wengi! Watz wanataka maendeleo yao na si ya vitu.

For the last 5 years, no employment,no salary increment, no promotions, no pension payments to retirees.

Magufuli amewahi kusikika akisema hataongeza mishahara ya watumishi mpaka amalize miradi yake kwanza.

Huyu ni Rais wa ajabu sana. Kwake vitu ni muhimu kuliko watu.

Watz wamemkataa na hii hofu iko wazi sana. Kinachofanyika kwa sasa ni kuwawekea mapingamizi na kuwaengua wagombea wa upinzani hasa kwenye ngome kuu za upinzani ili ccm wapite bila kupingwa kama ilivokuwa uchaguzi za sm-2019! What a shame to magufuli and his CCM?

Kama uchaguzi utakuwa huru na haki basi CCM ya magufuli itaishia kutawala kwa kipindi kimoja tu.
 
Rais Magufuli anatafuta 95% ya ushindi, ingekuwa anataka 85% ya ushindi angekaa zake ofisini tu

Ila tunataka tuwaonyeshe Chadema nyie ni vifaranga hamjui kitu
Mkuu sio kweli, rejea hata vijana CCM Kirumba leo alikuwa akiwapoza kwamba anamalizia burudani iendelee, maisha magumu vijana wamefuata burudani ya bure.
 
Rais Magufuli anatafuta 95% ya ushindi, ingekuwa anataka 85% ya ushindi angekaa zake ofisini tu

Ila tunataka tuwaonyeshe Chadema nyie ni vifaranga hamjui kitu

Kama unaongelea MATOKEO YA KUPIKA toka NEC ya CCM uko sahihi kwa 101%......!!
Lakini kama ni TUME HURU ya Uchaguzi hizo data zako ni fake by 100%.
Kama unaweza kurejea matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 Basi unaweza kubaini ulivo muongo. Takwimu zilikuwa:

Magufuli.......58%........Kura zote 8m.
Lowassa.........39.9%....Kura zote 6m.

Itakuwa ni urongo Jiwe atoke 58% mpaka 85% achilia mbali hiyo 95%!!!
Uchaguzi wa mwaka huu 2020 is even tough kuliko ule wa 2015?! Huku Lissu na huku Membe......patamu sana hapo.....!!!
 
Magufuli hajawahi kuwa chaguo la watanzania angelejuwahilo baada ya 2015 kupata asilia 21 angekuwa mnyenyekevu yeye akaanza kuuwa funga watu akaanza kudhulumu mali za watu na kutukana wananchi kwa matusi makubwa ngoja wsasa tumuone wanachi wamemsusa mazima aendelee kucheza. '
 
Kampeni za uchaguzi wa octoba 2020 zinachangamsha sana. Pamoja na CCM na serikali ya Magufuli kuzuia na kupiga marufuku mikutano ya upinzani tangia 2016 ili kufifisha nguvu ya upinzani mambo ni kinyume kabisa!!!

CCM na jiwe kwa akili za kitoto walifikiri wakifanya hivo uchaguzi wa 2020 watarudi Ikulu kiulaini sana!!!

Jiwe anasema amejenga flyovers, amenunua ndege 11, amejenga reli ya SGR, anajenga stieglers gorge, amejenga zahanati na kukarabati shule kongwe na anasomesha bure hadi kidato cha 4!!!

Yote haya kweli kafanya lakini bado watanzania wanaona Magufuli hastahili kuongezewa miaka mingine 5 kwa vile ameshindwa kukata kiu ya watz walio wengi! Watz wanataka maendeleo yao na si ya vitu!!!

For the last 5 years, no employment,no salary increment, no promotions, no pension payments to retirees.

Magufuli amewahi kusikika akisema hataongeza mishahara ya watumishi mpaka amalize miradi yake kwanza.....!!!

Huyu ni Rais wa ajabu sana. Kwake vitu ni muhimu kuliko watu....!!!

Watz wamemkataa na hii hofu iko wazi sana. Kinachofanyika kwa sasa ni kuwawekea mapingamizi na kuwaengua wagombea wa upinzani hasa kwenye ngome kuu za upinzani ili ccm wapite bila kupingwa kama ilivokuwa uchaguzi za sm-2019! What a shame to magufuli and his CCM?

Kama uchaguzi utakuwa huru na haki basi CCM ya magufuli itaishia kutawala kwa kipindi kimoja tu....!!
Mzalenfo2015 tangu lini ukawa mpinzani au inepiga U-turn
 
Rais Magufuli anatafuta 95% ya ushindi, ingekuwa anataka 85% ya ushindi angekaa zake ofisini tu

Ila tunataka tuwaonyeshe Chadema nyie ni vifaranga hamjui kitu
Munao jua ni nyinyi wauwaji na watekaji na kuwazuia wagombea wa vyama vya upinzani wasirejeshe fomu
 
Mkuu sio kweli, rejea hata vijana ccm Kirumba leo alikuwa akiwapoza kwamba anamalizia burudani iendelee, maisha magumu vijana wamefuata burudani ya bure.

Magufuli ni famous kuliko lissu mara 1000, issue ya wansanii sio topic maana hata yeye mwenyewe kama mwenyewe akienda anajaza, lakini burudani lazima ziwepo hata vyama vingine wanaweka wasanii
 
Kampeni za uchaguzi wa octoba 2020 zinachangamsha sana. Pamoja na CCM na serikali ya Magufuli kuzuia na kupiga marufuku mikutano ya upinzani tangia 2016 ili kufifisha nguvu ya upinzani mambo ni kinyume kabisa.

CCM na jiwe kwa akili za kitoto walifikiri wakifanya hivo uchaguzi wa 2020 watarudi Ikulu kiulaini sana.

Jiwe anasema amejenga flyovers, amenunua ndege 11, amejenga reli ya SGR, anajenga stieglers gorge, amejenga zahanati na kukarabati shule kongwe na anasomesha bure hadi kidato cha 4.

Yote haya kweli kafanya lakini bado watanzania wanaona Magufuli hastahili kuongezewa miaka mingine 5 kwa vile ameshindwa kukata kiu ya watz walio wengi! Watz wanataka maendeleo yao na si ya vitu.

For the last 5 years, no employment,no salary increment, no promotions, no pension payments to retirees.

Magufuli amewahi kusikika akisema hataongeza mishahara ya watumishi mpaka amalize miradi yake kwanza.

Huyu ni Rais wa ajabu sana. Kwake vitu ni muhimu kuliko watu.

Watz wamemkataa na hii hofu iko wazi sana. Kinachofanyika kwa sasa ni kuwawekea mapingamizi na kuwaengua wagombea wa upinzani hasa kwenye ngome kuu za upinzani ili ccm wapite bila kupingwa kama ilivokuwa uchaguzi za sm-2019! What a shame to magufuli and his CCM?

Kama uchaguzi utakuwa huru na haki basi CCM ya magufuli itaishia kutawala kwa kipindi kimoja tu.
ANAYE WEWESEKA NI YULE JAMAA YENU ANAYE TUKAKANA WATUMISHI WA UMA NI MATAKATAKA YA JALALANIII.
 
Nashangaa Magufuli amepiga kampeni peke yake tangu 2015 mpaka 2020, lakini hajamaliza na sasa ndio anatumia msuli zaidi kufanya kampeni.

Yani muda huu nilitaraji awe amemaliza kampeni lakini inaelekea haeleweki.

Alitumia nguvu, vitisho, matusi, kejeli tangu 2015 mpaka leo, havikumsaidia kitu.
 
Kampeni za uchaguzi wa octoba 2020 zinachangamsha sana. Pamoja na CCM na serikali ya Magufuli kuzuia na kupiga marufuku mikutano ya upinzani tangia 2016 ili kufifisha nguvu ya upinzani mambo ni kinyume kabisa.

CCM na jiwe kwa akili za kitoto walifikiri wakifanya hivo uchaguzi wa 2020 watarudi Ikulu kiulaini sana.

Jiwe anasema amejenga flyovers, amenunua ndege 11, amejenga reli ya SGR, anajenga stieglers gorge, amejenga zahanati na kukarabati shule kongwe na anasomesha bure hadi kidato cha 4.

Yote haya kweli kafanya lakini bado watanzania wanaona Magufuli hastahili kuongezewa miaka mingine 5 kwa vile ameshindwa kukata kiu ya watz walio wengi! Watz wanataka maendeleo yao na si ya vitu.

For the last 5 years, no employment,no salary increment, no promotions, no pension payments to retirees.

Magufuli amewahi kusikika akisema hataongeza mishahara ya watumishi mpaka amalize miradi yake kwanza.

Huyu ni Rais wa ajabu sana. Kwake vitu ni muhimu kuliko watu.

Watz wamemkataa na hii hofu iko wazi sana. Kinachofanyika kwa sasa ni kuwawekea mapingamizi na kuwaengua wagombea wa upinzani hasa kwenye ngome kuu za upinzani ili ccm wapite bila kupingwa kama ilivokuwa uchaguzi za sm-2019! What a shame to magufuli and his CCM?

Kama uchaguzi utakuwa huru na haki basi CCM ya magufuli itaishia kutawala kwa kipindi kimoja tu.
It was a serious miscalculation not to hear the voice of the opposition and fail to gauge the sentiments of the citizens. What they are forced to dance now is called kindumbwendumbwe
 
Inankumbushia upuuzi wa Trump....
'Trump reportedly said no country run by Black people is any good, and that Nelson Mandela left South Africa a 's---hole country'
 
CHADEMA Wana Anza kubwaga manyanga taratibu,

Huko Zanzibar wameona hawatashinda Mgombea wake kwa nafasi ya Urais kaona amuunge mkono wa chama cha ACT,

Hapa bara pia kadri muda unavyokwenda watatambua kuwa nafasi ya Ushindi ni ndogo hivyo nako watajitoa.
 
Back
Top Bottom