Uchaguzi 2020 CCM ya Magufuli wanaweweseka kitu gani ilhali miaka yote 5 nchi ilikuwa yao?

Uchaguzi 2020 CCM ya Magufuli wanaweweseka kitu gani ilhali miaka yote 5 nchi ilikuwa yao?

Magufuli Si aibe sera ya Ubwabwa ya ya Hashim Rungwe ili watu wanaisafirishwa na Malori waache kupiga miayo ya njaa na uoga
 
Kampeni za uchaguzi wa octoba 2020 zinachangamsha sana. Pamoja na CCM na serikali ya Magufuli kuzuia na kupiga marufuku mikutano ya upinzani tangia 2016 ili kufifisha nguvu ya upinzani mambo ni kinyume kabisa.

CCM na jiwe kwa akili za kitoto walifikiri wakifanya hivo uchaguzi wa 2020 watarudi Ikulu kiulaini sana.

Jiwe anasema amejenga flyovers, amenunua ndege 11, amejenga reli ya SGR, anajenga stieglers gorge, amejenga zahanati na kukarabati shule kongwe na anasomesha bure hadi kidato cha 4.

Yote haya kweli kafanya lakini bado watanzania wanaona Magufuli hastahili kuongezewa miaka mingine 5 kwa vile ameshindwa kukata kiu ya watz walio wengi! Watz wanataka maendeleo yao na si ya vitu.

For the last 5 years, no employment,no salary increment, no promotions, no pension payments to retirees.

Magufuli amewahi kusikika akisema hataongeza mishahara ya watumishi mpaka amalize miradi yake kwanza.

Huyu ni Rais wa ajabu sana. Kwake vitu ni muhimu kuliko watu.

Watz wamemkataa na hii hofu iko wazi sana. Kinachofanyika kwa sasa ni kuwawekea mapingamizi na kuwaengua wagombea wa upinzani hasa kwenye ngome kuu za upinzani ili ccm wapite bila kupingwa kama ilivokuwa uchaguzi za sm-2019! What a shame to magufuli and his CCM?

Kama uchaguzi utakuwa huru na haki basi CCM ya magufuli itaishia kutawala kwa kipindi kimoja tu.
Huyu jamaa ni wa ajabu sana! Ukweli ni kwamba hata nchi zilizoendelea ziliwaendeleza na kuwastawisha watu kwanza. Msingi wa maendeleo ni watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora na siyo Reli, Ndege, na SGR. Watu wakistawi watapanda Ndege. Sasa wewe unanunua Ndege huku watu wanakufa kwa kukosa panadol hospitalini! Nani wa kupanda hiyo Ndege katikati ya ufukara? Angetumia hizo fedha za Ndege kujenga vyuo vya ufundi kila Kata ningemwona wa maana. Hiki tulichonacho ni kituko toka Chato.
 
Kampeni za uchaguzi wa octoba 2020 zinachangamsha sana. Pamoja na CCM na serikali ya Magufuli kuzuia na kupiga marufuku mikutano ya upinzani tangia 2016 ili kufifisha nguvu ya upinzani mambo ni kinyume kabisa.

CCM na jiwe kwa akili za kitoto walifikiri wakifanya hivo uchaguzi wa 2020 watarudi Ikulu kiulaini sana.

Jiwe anasema amejenga flyovers, amenunua ndege 11, amejenga reli ya SGR, anajenga stieglers gorge, amejenga zahanati na kukarabati shule kongwe na anasomesha bure hadi kidato cha 4.

Yote haya kweli kafanya lakini bado watanzania wanaona Magufuli hastahili kuongezewa miaka mingine 5 kwa vile ameshindwa kukata kiu ya watz walio wengi! Watz wanataka maendeleo yao na si ya vitu.

For the last 5 years, no employment,no salary increment, no promotions, no pension payments to retirees.

Magufuli amewahi kusikika akisema hataongeza mishahara ya watumishi mpaka amalize miradi yake kwanza.

Huyu ni Rais wa ajabu sana. Kwake vitu ni muhimu kuliko watu.

Watz wamemkataa na hii hofu iko wazi sana. Kinachofanyika kwa sasa ni kuwawekea mapingamizi na kuwaengua wagombea wa upinzani hasa kwenye ngome kuu za upinzani ili ccm wapite bila kupingwa kama ilivokuwa uchaguzi za sm-2019! What a shame to magufuli and his CCM?

Kama uchaguzi utakuwa huru na haki basi CCM ya magufuli itaishia kutawala kwa kipindi kimoja tu.
Kama ni kujenga miundombinu hata wakoloni walijenga tena kwa ubora zaidi ya sasa lakini tuliwafukuza kwa kutunyima uhuru wa kuhoji, kuamua mambo yetu, kudai haki zetu na kutweza utu wetu.
 
Watumishi wote kura kwa Lissu.

Hata kama mikutano yake haioneshwi
 
magufuli ni famous kuliko lissu mara 1000, issue ya wansanii sio topic maana hata yeye mwenyewe kama mwenyewe akienda anajaza, lakini burudani lazima ziwepo hata vyama vingine wanaweka wasanii
Mku lakini kumbuka kuwaweka hapo jukwani wasanii ni gharama usifikiri wanajitolea tu.
 
Mku lakini kumbuka kuwaweka hapo jukwani wasanii ni gharama usifikiri wanajitolea tu.

ccm kuhusu swala la pesa sio shida, watu wawili tu ndan ya ccm wanawza kuhandle hio sector. ccm pia imewekeza sana nje na siasa haswa kwenye real estates, hua wanatumia vizuri sana pesa zao ni tafaut na huyo mwingine anaechangisha wananchi
 
Back
Top Bottom