CCM ya Samia. Wasira, Nchimbi, Makala imepoa kuliko CCM zote

CCM ya Samia. Wasira, Nchimbi, Makala imepoa kuliko CCM zote

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Kama hawa ndio mboni ya CCM hadi August 2025 watabaki walamba bendela kwenye CHAMA.

Kama chama kinataka kuendelea kuongoza kifanye u-turn mapema sana.

Kilete watu wenye mchakamchaka na wanao jua kubadili hari ya hewa.

Sasa hivi CCM imepoa sana.

Hata wana CCM wenyewe wakongwe hawaelewi wafanye nini ukizingatia kuna zile zidumu fikila za mwenyekiti.

Sasa CCM inahitaji watu wa kufafanua yafuatayo kisiasa sio kiselikali kama anavyofanya G.Msigwa.
1. Uzwaji wa wanyama nje ya nchi.
2. Kubinafisishwa kwa bandari. Hili jambo halijawahi kueleweka.
3. Kuuzwa kwa maekali ya mapoli kwa wageni.
4. Kuondolewa kwa wamasai.
5. Abdul kuiwakilisha serikali huko ng'ambo.
 
Mama Hajui kabisa siasa.
Chama kinahitaji watu kama.
Polepole.
Dk Bashiru.
Makonda nk.

Huyu mama chama kimemshinda litakuwa Taifa?????
 
CCM imezeeka, na inaishi kwa tradition (kutegemea vyombo vya ulinzi kuwaweka madarakani).

Wakipata viongozi wa hovyo kama waliopo sasa. Wapo tayari kudharau wapiga kura (mamillioni).

Muhimu kwao ni kutumia mamlaka yao ya kikatiba kushinda.

Yanamwisho.

Jamaa wanadharau sana wananchi.
 
Pamoja na hayo kwa hali ya sasa inawezekana CHADEMA haitapata hata mbunge mmoja; mwaka 2020 walipata mbunge mmoja.
 
CCM imezeeka, na inaishi kwa tradition (kutegemea vyombo vya ulinzi kuwaweka madarakani).

Wakipata viongozi wa hovyo kama waliopo sasa. Wapo tayari kudharau wapiga kura (mamillioni).

Muhimu kwao ni kutumia mamlaka yao ya kikatiba kushinda.

Yanamwisho.

Jamaa wanadharau sana wananchi.
Hii kuish traditional imekuwa tatizo, hadi idara za serikali, taasisi zinafanya kazi traditional.
Matokeo yake effiency imepungua sana

Wakibanwa sana wanafunika udhaifu kwa siasa au wanatafuta mtu wa kumbebesha lawama.
So dissapointing kwamba wanao influence hii kitu ni viongozi wa juu
 
Back
Top Bottom