CCM yaachwa solemba

Kumbe habari hii imeripotiwa na Gazeti la Mwananchi la leo kwenye Ukurasa wa 26. Iko hivi: Kabudi: Kinachoweza kutuokoa ni Serikali tatu. Asante sana Mwenyezi Mungu. Wakuumbuka watakuwa wameumbuka. Mimi niliripoti nilichokiona na kukisikia mwenyewe Kisarawe jana
 
utakoma na ujinga wako. msimamo wenu ni serikali nyingi, sisi tunasiamamia kwenye serikali mbili. twendeni kwenye hoja.

usiseme nyingi, tunataka tatu, Tanganiyka yetu, hizo mbili zenu ni ipi na ipi?
 
Kuhusu katiba mpya ccm wameshaachiwa manyoya lakini wanasahau katiba ni ya wananchi kwa sababu ya kulewa madaraka.
 

Go hang i-dio.tum
 

Mateo Qares aliyekuwa waziri wa CCM na Mkuu wa Mkoa, naye kapigilia msumari hoja ya Prof Kabudi.
Mwananchi wameiripoti vizuri sana
 
Ni wajibu wako kutoa maoni yako ya serikali tatu hata tano ukitaka, naheshimu sana mawazo yako. mimi maoni yangu ni serikali mbili tu, hakuna sababu ya kuwa na miserikali miiingi, huo ni uroho wa madaraka na ni mzigo kwa walipa kodi
Kama una mawazo ya kupunguza idadi ya serikali kwa ninj usije na wazo la serikali moja tu.unafikiri kuwa na nchi mbili zenye serikali mbili...kuna muungano hapo au ni jina tu.
 
JF ni taasisi inayoheshimiwa sana lkn tukiacha maandiko kama haya yatawale humu wote tutaonekana mahayawani!

Hata uhuru wa kuongea una mipaka yake

Hukulazimishwa kuja jf, mseme msemavyo serikali tatu lazima, pumbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaavu
 
Ni wajibu wako kutoa maoni yako ya serikali tatu hata tano ukitaka, naheshimu sana mawazo yako. mimi maoni yangu ni serikali mbili tu, hakuna sababu ya kuwa na miserikali miiingi, huo ni uroho wa madaraka na ni mzigo kwa walipa kodi
Mawaziri 50 ndio mzigo kwa walipa kodi, lkn sio serikali 3 mawaziri wachache.
 
Ni wajibu wako kutoa maoni yako ya serikali tatu hata tano ukitaka, naheshimu sana mawazo yako. mimi maoni yangu ni serikali mbili tu, hakuna sababu ya kuwa na miserikali miiingi, huo ni uroho wa madaraka na ni mzigo kwa walipa kodi
Yote hayo ni ubatili mtupu suluhisho la mgongano huu ni kuwa na Serikali moja wanaotaka Serikali mbili ni walafi, wanafiki na mafisadi. Huwezi kuogopa Serikali tatu halafu useme unataka Serikali mbili kwa sababu ya kuogopa gharama!
 
Hukulazimishwa kuja jf, mseme msemavyo serikali tatu lazima, pumbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaavu

lazima? Una akili sawa sawa ww? Kwa taarifa yako, muundo wa muungano wa serikali mbili haubadiliki. Kawaambie na mabwana zako
 
Asante kwa taarifa mkuu , magamba yote yatapukutika hata kwa upepo , Poor Magamba !

Bandugu msihofu vilabu vya mpira vina rais na kuna raisi wa shirikisho na mpira wetu unakuwa katika viwango vya fifa. Acha tuwe na maserekali hata maraisi watano
 
lazima? Una akili sawa sawa ww? Kwa taarifa yako, muundo wa muungano wa serikali mbili haubadiliki. Kawaambie na mabwana zako

Magamba kama hamutaki kubadilika basi wakati utakubadilisheni.
 
Mkuu hii si mada.Hii ni habari

mkuu vuta nkuvute. hamna kitu kinachonichefua kama chama chako kupinga TUNU na UWAZI zisiwekwe kwenye ktb badala yake eti zitungiwe sheria. why,why,why. mzee tupatupa hii ni nchi sio chama. chama kinakufa lkn sio nchi. tell your pals to be serious na waliflect tz ya miaka 100 ijayo. heshima kwako mkuu tena.
 
Msimamo unaoitwa wa ccm ni wa viongozi wa juu (wenye ccmyao); walitaka kuwalisha wanachama wao msimamo wa kupinga serikali tatu.Ninavyojua, wananchi mmoja mmoja walishatoa maoni yao na hayo ndiyo tumeiliyaweka kwenye rasimu; hivyo kamati kuu ya ccm yenye watu labda 50 haikupaswakusema ccm yote inapinga serikali tatu; ni wao tu wanapinga kwa maslahi yao nasi maslahi ya taifa.

Halafu ccm naona wanapotosha ili tusione matatizo katikavifungu vingine, wanataka tubakie kujadili serikali tatu na kusahau ubovumwingine unaohitaji kurekebishwa:
Kwa mfano kuna sababu gani ya msingi ya spika kuwasilishaorodha ya mali zake kwa rais na si kwenye tume ya maadili kama watakavyofanyaviongozi wengine?
Uteuzi wa mhimili wa tatu - -mahakama wote uko mikononimwa rais; je uhuru wake utatoka wapi? Mnaweza kupitia thread ifuatayo https://www.jamiiforums.com/katiba-mpya/464510-rasimu-ina-matatizo-mengi-yarekebishwe-haraka.html
 
Sisemi kitu leo.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
lazima? Una akili sawa sawa ww? Kwa taarifa yako, muundo wa muungano wa serikali mbili haubadiliki. Kawaambie na mabwana zako

Pendelea asubuhi kunywa chai badala ya mnazi.
 
Baadhi ya viongozi wetu ccm ni wabinafsi sana wanazani nchi ni mali yao binafsi
"Vox popoli vox dei"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…