Uchaguzi 2020 CCM yaanza kampeni kimya kimya. Tulia aanza kula kwa Mama Lishe, wananchi waziponda mbinu hizo; yadaiwa zimepitwa na wakati

Uchaguzi 2020 CCM yaanza kampeni kimya kimya. Tulia aanza kula kwa Mama Lishe, wananchi waziponda mbinu hizo; yadaiwa zimepitwa na wakati

Ccm bana.. wanambinu za kizamani sana.. Chadema watafanya wakianza sijui itakuaje. Mwaka huu badala ya pushapu sijui watafajya kitu gani?
View attachment 1483602

Kitendo cha viongozi wake kuzunguka mitaani bila jambo lolote la Msingi huku wakizongwa na wafuasi waliobeba bendera za chama chao kimetafsiriwa kama ni ishara ya kuanza kampeni kabla ya muda .

Hii ni kinyume kabisa cha sheria za uchaguzi ambapo kampeni zinapaswa kufanyika katika muda uliowekwa na tume huku vyama vyote vikishiriki .

View attachment 1483608
 
Yeye akila wewe unapungukiwa nini
Tulia Kwao Mbeya yeye na ukoo wake aweza kula popote.Sugu yeye na ukoo wake sio wenyeji wa mkoa wa Mbeya Ni watu wa kuja lazima aachie ubunge huyo Sugu mtu wa kuja.Mbeya hakuna ukoo wa mbilinyi.Mbilinyi Ni mkoloni kaja kutawala Mbeya.Ni wakati wa kuondoa ukoo wa wakoloni wa akina Mbilinyi wanaotawala Mbeya na kuweka ukoo wa wazawa wa Mbeya akina Tulia
 
Tulia Kwao Mbeya yeye na ukoo wake aweza kula popote.Sugu yeye na ukoo wake sio wenyeji wa mkoa wa Mbeya Ni watu wa kuja lazima aachie ubunge huyo Sugu mtu wa kuja.Mbeya hakuna ukoo wa mbilinyi.Mbilinyi Ni mkoloni kaja kutawala Mbeya.Ni wakati wa kuondoa ukoo wa wakoloni wa akina Mbilinyi wanaotawala Mbeya na kuweka ukoo wa wazawa wa Mbeya akina Tulia
Je una akili timamu ?
 
Hapo sugu hatoboi.
Wacha weeee !!!
Tanzaniadaima toleo la Ijumaa, Juni 19, 2020. ( 800 X 640 ).jpg
 
Back
Top Bottom