Mkuu Mushi,
Heshima mbele, kwa maoni yangu ni kwamba kilichotendeka hapa na haya maamuzi ni a response ya rais kwa ajili ya uchaguzi wa 2010, hasa kwa kuzingatia matokeo ya Tarime ambayo pamoja na makosa mengi ya CCM, lile la Vijana lililosababisha yule kiongozi kujitoa UV-CCM na kujiunga na Chadema the last minute, linaaminika sana ndani ya uongozi wa CCM kwamba lilikuwa moja ya sababu kubwa ya kushindwa kwa CCM. Kampeni chafu za huu uchaguzi wa Vijana, zilikuwa zinatishia sana kumeguka wka CCM.
Rais pia anajaribu kuhakikisha CCM haimeguki, ndio maana ya kupewa nafasi kwa mafisadi kwenye nafasi ya kugombea nafasi ya makamu wa mwenyekiti, ambayo tayari ameshizuia na kumpigia ndogo ndogo anayemtaka.
Hapa mshindi ni Kubenea, ambaye aliyasema haya yote, na waliokuwepo kwenye kikao wamejionea wenyewe jinsi Muungwana alivyolalamika sana kwa wazee huko CC kumuunga mkono hoja ya kuwazuia wagombea wa Bara ambapo alilia sana kuhusu kuhusishwa kwa mtoto wake na hizo kampeni chafu, kwamba "... Ridhiwani amekuwa akizunguka sana mikoani kwenye hizi kampeni...", mshindi hapa ni Kubenea.
Walisohindwa hapa ni kwanza ni Mkuchika ambaye ameachwa in the air na this a slap in his face, na sasa analalamika sana huko pembeni kwamba amepandishwa mkenge. Sasa not only that tu ni kwamba kitendo chake cha kwua at odd na waandishi wa habari kimempunguzia uwezo wa kuchukua nafasi ya bosi wake, Makamba ambaye habari zake ziko wazi kabisa kwamba he is on the wway out kama sio tayari. Wajumbe wengi waliojadili na muungwana kwa siri wamelikataa jina la Mkuchika kwa sababu ya standing yake na waandishi kwamba hawezi kuidsaidia CCM na hiyo reralition yake na media.
Mwingine aliyeshindwa hapa ni Makamba wabunge karibu nusu wa CCM wamemtumia ujumbe jana rais kwamba ni lazima aondolewe soon au sasa kwa sababu hawako tayari kusimama naye wkenye kugombea ubunge kwenye uchaguzi unaokuja, hasa baada ya Tarime. Kinana ndiye aliyetgemewa kushika nafasi hiyo, lakini inasadikiwa kwamba Kinana ana agenda moja kwanza kabla ya zote, nayo ni kuwafuta uanachama CCM mafisadi wote as soon as akiingia tu!
Sisi wananchama wa CCM, inategemea upo kundi gani, lakini kwa wale tuliko kundi la kupiga ufissadi kama linavyojulikana yaani la "wapiganaji" huu ni ushindi mkubwa sana kwa sababu, uchaguzi wa Tarime ndio umeweka wazi umuhimu wa nafasi yetu ndani ya CCM, na ni uchaguzi huo hasa ambao tuliogomea kabisa na kutokwenda huko ndio in a big part umeleta matokeo haya ya sasa ya CC.
Halafu Nape ni another hero wa this thing kwa sababu can you imagine bila Nape kuleta ule mtafaruku, Nchimbi si leo angekwua anakunywa mvinyo kwa kuku tu! again Nape won hapa, tena big time, sasa anajiweka kwenye nafasi nzuri sana kwenye kugombea nafasi yoyote kwenye chama, ingawa tayari jina lake linatajwa kwenye nafasi moja nzito sana.
Rome haikujengwa kwa siku moja, na haya ni maoni yangu reading this situation na ninaweza nikawa wrong pia, na soon tukizipata dataz za mwisho kikao tutaziweka hapa.
Ahsante Wakuu!