CCM yafuta matokeo ya uchaguzi wa UVCCM mkoa wa Simiyu kwa kilichodaiwa ni kuwepo kwa dalili wazi za rushwa

Je, sisi sote tumenawa kwa sabuni au tunawabana walionaswa na camera peke yao?
 
Wamefuta kwa sababu kulikuwa na DALILI ZA WAZI,hawakushughulika na DALILI ZILIZOJIFICHA!
 
Nini kuhusu vyombo vyetu vya usalama tukianza na TAKUKURU na polisi wamefanya kazi hayo yanayosemwa harufu ya rushwa ?

CCM na rushwa ni chanda na Pete mie sioni ajabu
 
"Tusifute uchaguzi kwasababu tuu watu wamejua"

Kumbe.
 
Ni aibu kubwa kabisa kwa mtu wa kiwango chako kusema uliyosema. Ukiweza kutafsiri tofauti kati ya bribery na corruption, utajua kuwa unatete corruption!! Corruption inakusudiwa kuelekeza ushawishi wakati bribery inaweza kuwa ni zawadi ya kufanya jambo. Katika yote hayo, kuna ushawishi na asiyetoa hiyo corruption anakuwa loser immediately.

You have stooped too low, bro.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ It takes alot
 
Hao ndiyo waasisi wa mdudu takrima miaka ileeee!!
 
Wakati ndio kawaida yetu ila zoezi kama hilo halifanyiki hivi waziwazi hadharani, hufanyika kistarabu kwa staha.
P
Kwa kujificha watu wasione,ila watu wameona wamefuta.

So wafanye upya kwa kujificha wasionekane tena.

So unabariki tuishi humo,muheshimiwa paskali?
 
Kwa kujificha watu wasione,ila watu wameona wamefuta.
Sijasema hufanyika kwa kujificha, nimesema hufanyika kistaarabu na kwa staha!.
So wafanye upya kwa kujificha wasionekane tena.
No sio wafanye kwa kujificha, bali wafanye kistaarabu na kwa staha kama kwengine kote!.
So unabariki tuishi humo,muheshimiwa paskali?
No sibariki, bali taratibu ni kama sheria, huo ni utaratibu wa kawaida kabisa kwa wanachama wenye uwezo kukichangia chama au kuwachangia wanachama individually michango midogo midogo ya nauli na maji ya kunywa!.
P
 
Aibu sana hii.
 
Afute nchi nzima kwani kote wamepata uongozi kwa rushwa,haya maeneo waliyokuwa uchaguzi jua kuwa wamepita watu wasiowataka
 
Afute nchi nzima kwani kote wamepata uongozi kwa rushwa,haya maeneo waliyokuwa uchaguzi jua kuwa wamepita watu wasiowataka
Wilaya ya Hai huko Kilimanjaro kura za ccm ziliibiwa na zoezi zima limeacha wilaya hiyo kwenye kilio kikubwa. Uchaguzi huo ufutwe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…