Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Waziri mkuu amenukuliwa na vyombo vya habari akifanya jambo hilo mkoani Dodoma .
Kama kipyenga kimekwisha pulizwa basi ni vema Tume ya uchaguzi ikatangaza hadharani ili wale wengine wanaotarajia kupeperusha bendera za vyama vyao nao waingie majukwaani .
Kama kipyenga kimekwisha pulizwa basi ni vema Tume ya uchaguzi ikatangaza hadharani ili wale wengine wanaotarajia kupeperusha bendera za vyama vyao nao waingie majukwaani .