britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Yanywa eya kashaiUmepiga cha Arusha au cha Musoma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanywa eya kashaiUmepiga cha Arusha au cha Musoma?
halafu mbona kama tayari ana uhakika 2020 ccm watampitisha kuwa mgombea!!!!!JPM si kipenzi cha wote, sasa anaogopa nini mpaka aseme wasimwangushe. INA MAANA KUNA KITU WANAKIHOFIA, kuna kitu hakipo sawa!.
Samahani sana kwa kusema chadema inakufa kwa kuwa nilimaanisha CHADEMA IMESHA KUFA, KWISHNEY, KALUS,GONE, FINISHED WALAHINawashangaa sana wale Misukule wa Lumumba wanosema Chadema inakufa.
Amekufuru kivipi wakati ameumbwa kwa mfano wa Mungu!" Njooni kwangu mliolemewa na mizigo nami nitawapumzisha " Hii ni kauli ya kukufuru Mungu aliyoitoa kwenye vikao vya ccm
sasa mbona anaomba kutoangushwa 2020?Tena itakufa kifo cha mende
Unazungumza Magufuli kuuwa CCM kana kwamba wabunge na madiwani wanaoma kila kukikucha wanatoka CCM.ukweli ni kwamba baada ya Magufuli kuuwa ccm tegemeo kubwa limebaki kwa polisi ambao nao wanapigwa sana vita na jumuiya ya kimataifa , inayosisitiza demokrasia
"Ndo ivo nawathindaga" by RuhangisaWanajua mtu wao ameumiza wengi sana, matendo yake wengi yamewaachia maumivu makali sana, maamuzi hayo yamejaa upendeleo, yamejaa visasi, sasa mtu kama huyo utegemee wananchi wapange foleni wampigie kura 2020.????
Majaliwa anakumbushia tu!ni vema jambo hili aambiwe Majaliwa ili aache kusumbua wananchi
Hiyo ni kweli kabisa kwa sababu ana Polisi, Wakurugenzi, Tume ya Uchaguzi n.k2020 JPM hata asipopiga kampeni, ushindi ni dhahiri tena kuanzia 90% and above.
Aah!! Nilikuwa huko fedha zetu watanzania zinatumika kijinga jinga sana.Nawashangaa sana wale Misukule wa Lumumba wanosema Chadema inakufa.
Uchaguzi ujao Polisi wakiuingilia biila ya sababu na kuanza kuua watu cha moto watakiona sio kila Polisi anafurahia anayoyaona.Hiyo ni kweli kabisa kwa sababu ana Polisi, Wakurugenzi, Tume ya Uchaguzi n.k
Usiwaite watanzania wenzetu hivoNawashangaa sana wale Misukule wa Lumumba wanosema Chadema inakufa.
Wamundemu we ni msukuleTena itakufa kifo cha mende
Kwanini isiwezekane wakati mtu unamiliki vyombo vyote vya dola!!2020 JPM hata asipopiga kampeni, ushindi ni dhahiri tena kuanzia 90% and above.
'Mwisho wa safari moja ndiyo mwanzo wa safari nyingine'Waziri mkuu amenukuliwa na vyombo vya habari akifanya jambo hilo mkoani Dodoma .
View attachment 907055
Kama kipyenga kimekwisha pulizwa basi ni vema Tume ya uchaguzi ikatangaza hadharani ili wale wengine wanaotarajia kupeperusha bendera za vyama vyao nao waingie majukwaani .
ikiwa ni hivyo mchecheto unatokana na nini ?Ha ha ha natafuta style ya kucheka nieleweke siipati. Hivi kuna wa kuitia mchecheto ccm come 2020?Tuwe wakweli, TUSIJAZANE
Wazanisha enjae..!Yanywa eya kashai