Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wewe kaka? Nini kimekusibu?Ulipoambiwa utapigiwa shangazi yako bado unakenua tu Kassimu panga mkakati wa kukitosa Chama Cha Mapinduzi la sivyo utakuwa Laughing Stock ya chama hicho
Upinzani na moyo wa matumaini
halafu mbona kama tayari ana uhakika 2020 ccm watampitisha kuwa mgombea!!!!!
nasikia jasusi membe anamkimbiza kimya kimya ndani ya chama hadi anapiga kelele mwenyewe
Labda unapenda kupigwa kifo cha mende wewe!Tena itakufa kifo cha mende
haisemi hivyo ila wao wanasema kiungwana huwa watu wanashauriwa kutokumpinga kwa kuchuana nayeKwani katiba yao inaruhusu kufanya mchakato wa kuchaguana nani wa kugombea, ijulikanavo huwa aliyepo apingwi
Ni kweli ushindi unaotangazwa ni maamuzi ya Tume ya Uchaguzi. Lakini akitangazwa na huku anajua ukweli kuwa alipata kura za kweli za kutosha inamwongezea moyo wa kujiamini na hivyo kuachana na ubabe na kujitutumua. Akitangazwa na huku akijua kabisa kura za kweli hazikutosha, makeke yanakuwa mengi ya kutaka kumdhihirishia kila mmoja kuwa 'mimi ndiyo rais'.Angetakiwa awaombe Tume ya uchaguzi wasimwangushe mana ndio wanaowapaga ushindi.
Utakufa weweTena itakufa kifo cha mende
Kweli mkuuJPM si kipenzi cha wote, sasa anaogopa nini mpaka aseme wasimwangushe. INA MAANA KUNA KITU WANAKIHOFIA, kuna kitu hakipo sawa!.
CCM haifi kifo cha ghafla kama mende ila inakufa huku imevaa suti tuko ndani tunayaona mtashangaa Ambulance inaitwa CCM inapakiwa "huku bado inasema ndugu wananchi sifi mimi"ikifika mochuari wale atendants watatuambia CCM imeletwa tu hapa ili ipunguze Stress za Stiegler's gorge...na uongo utaendeelea na kuendelea na kuendelea...hatimae tunashika dola na kuuunda serikali ya watu.Utakufa wewe