imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Chadema/Cuf halali havijafa.Mchecheto unatoka wapi nakati wanasema Chadema imekufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema/Cuf halali havijafa.Mchecheto unatoka wapi nakati wanasema Chadema imekufa
Waziri mkuu amenukuliwa na vyombo vya habari akifanya jambo hilo mkoani Dodoma .
View attachment 907055
Kama kipyenga kimekwisha pulizwa basi ni vema Tume ya uchaguzi ikatangaza hadharani ili wale wengine wanaotarajia kupeperusha bendera za vyama vyao nao waingie majukwaani .
Nawashangaa sana wale wanosema Chadema inakufa.
Tena itakufa kifo cha mende
ukweli ni kwamba baada ya Magufuli kuuwa ccm tegemeo kubwa limebaki kwa polisi ambao nao wanapigwa sana vita na jumuiya ya kimataifa , inayosisitiza demokrasia
Umepiga cha Arusha au cha Musoma?
Ina Maana gani kuweka mchuano ambao mshindi atakiwaye ujulikanahaisemi hivyo ila wao wanasema kiungwana huwa watu wanashauriwa kutokumpinga kwa kuchuana naye
ni best practice tu
JPM si kipenzi cha wote, sasa anaogopa nini mpaka aseme wasimwangushe. INA MAANA KUNA KITU WANAKIHOFIA, kuna kitu hakipo sawa!.
Embu mfuate Wasira ili akupe uhakika wa hii porojo yako
PM muungwana sana,hilo ni tukio nadra kwake. Rais yupo busy na kampeni za wazi kila uchao Katika ziara rasmi kwa kauli,matendo na hadhira mavazi. Inakera sana na kuchefua Watu wa protocol wamsaidie elimu yeye sasa ni Baba,Rais wa wote.
CHADEMA is becoming stronger than ever!
" Njooni kwangu mliolemewa na mizigo nami nitawapumzisha " Hii ni kauli ya kukufuru Mungu aliyoitoa kwenye vikao vya ccm
JIWE HAWEZI PONA KWENYE KIKOMBE HIKI 2020 HANA PA KUPITA KWANI HANA TIMU YA KAMPENI MAANA TAARIFA ZA BEHIND CURTAIN ZINASEMA BURSHEETY NDO INJECTOR PUMP
2020 JPM hata asipopiga kampeni, ushindi ni dhahiri tena kuanzia 90% and above.
Swali bora la mwezi october .Wanachezea Akili zetu tu, kwani 2015 alishinda? Watumie mbinu zilezile walizotumia
uongo mtupu !Maendereewoo hayana chama
By their own making..CHADEMA is becoming stronger than ever!
Ccm hakuna chama kuna genge la wana karomije watano tuTena itakufa kifo cha mende