Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tena itakufa kifo cha mendeNawashangaa sana wale Misukule wa Lumumba wanosema Chadema inakufa.
ukweli ni kwamba baada ya Magufuli kuuwa ccm tegemeo kubwa limebaki kwa polisi ambao nao wanapigwa sana vita na jumuiya ya kimataifa , inayosisitiza demokrasiaNawashangaa sana wale Misukule wa Lumumba wanosema Chadema inakufa.
Embu mfuate Wasira ili akupe uhakika wa hii porojo yakoTena itakufa kifo cha mende
kitu gani ?Umepiga cha Arusha au cha Musoma?
CHADEMA is becoming stronger than ever!Tena itakufa kifo cha mende
" Njooni kwangu mliolemewa na mizigo nami nitawapumzisha " Hii ni kauli ya kukufuru Mungu aliyoitoa kwenye vikao vya ccmPM muungwana sana,hilo ni tukio nadra kwake. Rais yupo busy na kampeni za wazi kila uchao Katika ziara rasmi kwa kauli,matendo na hadhira mavazi. Inakera sana na kuchefua Watu wa protocol wamsaidie elimu yeye sasa ni Baba,Rais wa wote.
Take it easy! Kauli toka kwa Ki" Njooni kwangu mliolemewa na mizigo nami nitawapumzisha " Hii ni kauli ya kukufuru Mungu aliyoitoa kwenye vikao vya ccm
Wanataka kuttuzia yai viza kwa nguvuWaziri mkuu amenukuliwa na vyombo vya habari akifanya jambo hilo mkoani Dodoma .
View attachment 907055
Kama kipyenga kimekwisha pulizwa basi ni vema Tume ya uchaguzi ikatangaza hadharani ili wale wengine wanaotarajia kupeperusha bendera za vyama vyao nao waingie majukwaani .
Chadema ndio watakua na mchecheto kwakua walisema hawana mpango wa kushiriki uchaguzi kwasasa.Waziri mkuu amenukuliwa na vyombo vya habari akifanya jambo hilo mkoani Dodoma .
View attachment 907055
Kama kipyenga kimekwisha pulizwa basi ni vema Tume ya uchaguzi ikatangaza hadharani ili wale wengine wanaotarajia kupeperusha bendera za vyama vyao nao waingie majukwaani .
ni vema jambo hili aambiwe Majaliwa ili aache kusumbua wananchi2020 JPM hata asipopiga kampeni, ushindi ni dhahiri tena kuanzia 90% and above.