Tetesi: CCM yalizwa na CHADEMA uchaguzi mdogo Uyui Tabora

mleta mada tunakuona upo online.... tupe updates
 
Bado ni tetesi mpaka leo. Khaa!
Sasa nimeamini kuna baadhi ya watanzania wenzetu maisha yamewapiga mpaka wanachanganyikiwa. Magufuli legezakambi watu wajaribu hata kufisadi kidogo. Maana jana wachangiaji walikuwa wengi sana. Hivi kwanini watu wanaamini kila kitu ili mradi kinamkandia Baba Bashite??? Hata huko kwa baba Bashite nao wana ugonjwa kama wa hawa wa watoto wa DJ. Nafurahi sana kuona majibizano kati ya watoto wa Baba Bashite na Watoto wa Dj na baba wa wafagia barabara....me say
 
Hii ngoja imekaa ndivyo sivyo..... Si Simba wala si Yanga anayejitokeza kuleta habari zaidi

Mmetupa habari nusu nusu...... Tukiuliza mnapiga kimya.

Waenezi wa Vyama maeneo husika NIAJE?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…