Pre GE2025 CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

Pre GE2025 CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nilimuacha 1992 akiwa fom 6
Kwa mahesabu ya kuzaliwa mwaka 1971 na kuanza darasa la kwanza miaka 7 au 8, depending on birthday and enrollment age, kitu ambacho ninkawaida kabisa, kuwa form six mwaka 1991 au 1992 ni sawa kabisa.

Sielewi kwa nini watu wanashangaa sana Emmanuel Nchimbi kuzaliwa 1971.
 
Kwa mahesabu ya kuzaliwa mwaka 1971 na kuanza darasa la kwanza miaka 7 au 8, depending on birthday and enrollment age, kitu ambacho ninkawaida kabisa, kuwa form six mwaka 1991 au 1992 ni sawa kabisa.

Sielewi kwa nini watu wanashangaa sana Emmanuel Nchimbi kuzaliwa 1971.
Anae shangaa hajawai kuambiwa shika sikio lako la kushoto kwa mkono wako wa kulia.
 
Anae shangaa hajawai kuambiwa shika sikio lako la kushoto kwa mkono wako wa kulia.
Hawa ni watu wanaomsoma Nchimbi magazetini.

Nchimbi mbona kaka zetu waliotupita madarasa machache tu wamesoma naye. Ni wale kaka fulani uko darasa la pili yeye anamaliza darasa la saba, kwa hiyo hata shule tumesoma nao ila wao walikuwa wakubwa kwetu.

Sasa hapo utashangaa vipi ikiwa kazaliwa 1971 wakati hiyo tofauti ya miaka hata kwa kuangalia madarasa tu ni sawasawa kabisa na mtu aliyezaliwa 1971?

Pascal Mayalla Njoo utuhakikie hapa we mtoto wa Oysterbay Primary.

Eti Emmanuel Nchimbi ukiambiwa kazaliwa 1971 utashangaa?

Oysterbay hujasoma naye miaka ile huyu?
 
Mana hii ndo formula kwamba aspokuwa rais mkaliki basi lazima makamu atakuwa mkatoliki. Haitakuja tokea vinginevyo
 
Pascal Mayalla Njoo utuhakikie hapa we mtoto wa Oysterbay Primary.

Eti Emmanuel Nchimbi ukiambiwa kazaliwa 1971 utashangaa?

Oysterbay hujasoma naye miaka ile huyu?
Mkuu Kira, Kiranga , kwanza sipendagi kujitaja ni mtoto wa Osterbay kwasababu itaonekana kama ni tuna tamba.

Nchimbi kazaliwa 1971, mimi namaliza darasa la 7, yeye yuko la 4!.

Huyu Dr. Mwinyi alinitangulia madarasa 2.
Darasa langu primary Tumesoma darasa moja na Mtoto wa
  • Malecela
  • Kawawa
  • Malima
  • Mtei
  • Chiduo
  • Warioba
  • Sebabili
  • Katikaza
  • Lupembe
  • Kezilahabi
  • Musiba
  • CDF Twalipo
  • CJ Agustino Saudi
  • CJ Francis Nyalali
  • IGP Samweli Pundugu
  • Kamishna Magereza Mwanguku
  • Kamisha magereza Malisa
  • David Wakati
  • Matiss wote wa pale
  • Sarungi
  • Sepetu
  • Linjewile
  • Tungaraza
  • Kwa kifupi cabinet yote
Sekondari Tambaza
Darasa moja na mtoto wa Mkapa, Nyerere, Mwinyi, Malecela,

Ilboru class moja na Mtoto wa Warioba
Lissu, Mwigulu, Nyalandu ni madogo
Tena sijui ni wangapi humu wana kumbukumbu na nursey school

Mimi nimesoma vidudu St. Peters Kindegarten Tanga
Nawakumbuka baadhi ya watu niliosoma nao

  • David Naburi
  • Peter Naburi
  • Ceaser Simbeye
  • Oden Simbeye
  • Alex Shaba
  • Allen Semu
  • Magret Semu
  • Robert Kilala
  • Jane Kilala
  • Cecy Minja
  • Jane Mutayoba
Tuliigiza tanthilia ya Cinderela, mimi ndie nilikuwa Prince, yule Jane Mutayoba ndie alikuwa Cinderella, nilianza kumzimikia kweli!.

UDSM nilikuwa na R1.
Wengi wananuona Nchimbi kama VP, mimj nawaambia Nchimbi ndio rais ajae, kwasababu HII issue inakwenda kutokea!.
P
 
Mkuu Kira, Kiranga , kwanza sipendagi kujitaja ni mtoto wa Osterbay kwasababu itaonekana kama ni tuna tamba.

Nchimbi kazaliwa 1971, mimi namaliza darasa la 7, yeye yuko la 4!.

Huyu Dr. Mwinyi alinitangulia madarasa 2.
Darasa langu primary Tumesoma darasa moja na Mtoto wa
  • Malecela
  • Kawawa
  • Malima
  • Mtei
  • Chiduo
  • Warioba
  • Sebabili
  • Katikaza
  • Lupembe
  • Kezilahabi
  • Musiba
  • CDF Twalipo
  • CJ Agustino Saudi
  • CJ Francis Nyalali
  • IGP Samweli Pundugu
  • Kamishna Magereza Mwanguku
  • Kamisha magereza Malisa
  • David Wakati
  • Matiss wote wa pale
  • Sarungi
  • Sepetu
  • Linjewile
  • Tungaraza
  • Kwa kifupi cabinet yote
Sekondari Tambaza
Darasa moja na mtoto wa Mkapa, Nyerere, Mwinyi, Malecela,

Ilboru class moja na Mtoto wa Warioba
Lissu, Mwigulu, Nyalandu ni madogo
Tena sijui ni wangapi humu wana kumbukumbu na nursey school

Mimi nimesoma vidudu St. Peters Kindegarten Tanga
Nawakumbuka baadhi ya watu niliosoma nao

  • David Naburi
  • Peter Naburi
  • Ceaser Simbeye
  • Oden Simbeye
  • Alex Shaba
  • Allen Semu
  • Magret Semu
  • Robert Kilala
  • Jane Kilala
  • Cecy Minja
  • Jane Mutayoba
Tuliigiza tanthilia ya Cinderela, mimi ndie nilikuwa Prince, yule Jane Mutayoba ndie alikuwa Cinderella, nilianza kumzimikia kweli!.

UDSM nilikuwa na R1.
Wengi wananuona Nchimbi kama VP, mimj nawaambia Nchimbi ndio rais ajae, kwasababu HII issue inakwenda kutokea!.
P
Sijasema mtoto wa Oysterbay nimesema wa Oysterbay Primary.

Mimi mtoto wa Oysterbay ila wa Muhimbili Primary so there is a difference.

Umeeleza vizuri nilitaka mtu anayewajua hawa watu tangu siku hizo aje hapa kuweka ushahidi wa kimazingira kuonesha probable age kwa kuangalia miaka ya shule.

Thanks.
 
Kwa utamaduni wa CCM kufanyiwa sub sio hiari ya mtu, unaweza kulazimishwa uombe sub mwenyewe.

Mwulize Ndugai aliomba sub japo alipenda sana kuendelea.
Hata kwa Mpango inaonekana sub ya kibabe na vile haendani na philosophy ya utekaji na upotezaji watu
 
Hata kwa Mpango inaonekana sub ya kibabe na vile haendani na philosophy ya utekaji na upotezaji watu
Kabisa kabisa, madaraka matamu wewe! Mtu huwezi kuomba sub wakati unajua kabisa wakati wowote ule nakuwa rais.

Ila kama ana zali la mentali na amelazimishwa hiyo sub anaweza kuonja urais kabla ya muda wa kukaa pembeni haujafika. Yaani Mungu anasimama upande wake.
 
Back
Top Bottom