Duh! ndg yangu cjui km umeelewa nilichoandika! Yaani unataka MUNGU atuletee KATIBA? ctumepewa Akili yakujua MEMA na MABAYA? ss kwenye mambo ya Katiba MUNGU anahuckaje? mbona ako na mambo mengi yamaana yakufanya kuliko huu Upuuzi tunaoufanya wakulibomoa TAIFA letu!