Unaweza ukahisi kuwa ukiwa waziri mkuu, lazima uwe na akili timamu kwa vitendo, au ukiwa raisi, lazima uwe na akili za kimaamuzi yenye busara kuliko mtu mwingine yeyote katika taifa husika, lakini mmhhh....hapa kwetu, akili na uwezo wa kiuongozi wa viongozi wetu wakuu wa taifa hili ni wakutiliwa mashaka, hasa ukifocus in their decision making especially in very crucial issues kama katiba mpya, Pinda ameshasema hatogombea tena, lakini eti anataka na yeye hakikishe ccm inabaki madarakani ili tuendelee kuwa maskini....kikwete anamaliza muda wake, hana lingine ambalo taifa hili litamkumbuka kwalo, zaidi ya kutuachia katiba mpya ya watz wote, tena atuache nchi hii ikiwa na amani ya kweli, siyo hii ya kila siku vyombo vya ulinzi hasa polisi na usalama wa taifa kutuhumiwa kuhusika kwenye matukio makubwa ya utekaji na utesaji wa watu....Kikwete taifa hili litabaki na historia juu yako, Nimewahi kuandika hapa kuwa KIKWETE ANA NAFASI MBILI KUBWA,
1. KUIKABIDHI NCHI HII KWA CHAMA KINGINE NA KUICHA NCHI IKIWA SALAMA NA YENYE AMANI AU,
2. KUIKABIDHI NCHI HII KWA CCM KWA NGUVU YA DOLA NA TUME FEKI YA UCHAGUZI LAKINI AICHE NCHI KWENYE MACHAFUKO, NA KATIKA HILI, the hegue haitamuacha salama....KATIBA MPYA YA WATANZANIA NDIYO SULUHU YA KILA JAMBO.